Umekumbuka kile kinjia kinapita pale KISOSORA PRIMARY kwenda kutokea CHUMVINI...
utusamehe tu mtani ndo ujue sisi watani zako huwa tunakamatika balaa, lol!yaani hapa ndani nilibakia na dadayo snowhite, ambaye naye kawa mtu adimu sana....
kabisaaa...............au hii ya huku juuu inayotokea/elekea nguvumali....mweeeee
utusamehe tu mtani ndo ujue sisi watani zako huwa tunakamatika balaa, lol!
kaa vizuri na mzee mwenzio!kaa vizuri babu!Haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,
Walau pressure imeshuka....kijasho kilishaanza kunitoka kwani nilijua udhu wa mzee mwenzangu ndo hivyo tena...ulishamiminwa siku nyingi...
Pole sana kaka....Naamini hiyo RB ilishafutwa...
Babu DC!!
Mkuu Erickb52, miaka hiyo ya 87, ndio nilikuwa nimebalehe na kama ujuavyo balehe huja na visa vyek, kwa kweli kama ningetumia akili ule utamblisho ulikuwa na ujumbe mahsusi kwmaba usimnyemelee mke wangu, lakini wapi, nilikuwa nawaza kwa kichwa cha chini..
Lakini nashukuru nilimudu kukimbia ile dhahama maana hata nisingeweza kusimulia hapa...
Kwa babu DC Dark City sitokanyaga kwani yule mzee bado yupo na nahisi anaweza kuniona akanikumbuka....
kaa vizuri na mzee mwenzio!kaa vizuri babu!
mlongo wangu taratibuuuuuuu.......
huyu shem Mtambuzi :shut-mouth: