"Akaunti yangu ina more than billion"- Diamond Platnumz

"Akaunti yangu ina more than billion"- Diamond Platnumz

yan pesa zinaingia tu, hakuna operating cost na wala hafanyi matumizi yeyote. Kweli wenye upeo mdogo mmejazana humu kwa kivuli cha Great thinker!!

kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa show na mambo ya mziki utaona how much he makes, sikatai kuwa hakuna operating cost kama 2011 alikuwa na 100, its about 2 years now na anapiga show kila kukicha hata ukitoa operating cost na matumizi na investment zake still anaweza kuwa na hiyo ela. Last time nakumbuka katika mahojiano alisema amekataa kupiga show UK kwasababu if not mistaken walitaka apige show 4 kwa tshs mil 70 something like that akakataa mpaka walipofikia dau so nadhani unaweza ona how much he makes.
Any way kafanya yake katengeneza zake nasi tufanye yetu tutengeneze zetu kuliko kumjadili
 
Hilo halina tatizo Afande yeye alivua akashika nyeti zake mpaka leo account yake ikijitahidi sana ni elfu 50.. Ila kama angegeuka na kuonesha anachokikalia nadhani sasa hivi anagekuwa na kabilioni 1...

hahahahah
loy
mx
shikamoo.
 
Sasa sijui kati yangu mi na wewe nani mwenye takwimu uchwara mkuu. Numesema Diamond anaongoza kuingiza mkwanja mrefu kwa wasanii wa "bongo flavour" wewe unaeleta hadithi za Rose Muhando. Sasa Rose Muhando anaimba bongo flavour?

Wewe ni mmoja kati ya watanzania mnaopenda maendeleo lakini mnawachukia wenye maendeleo.

Sisi tumejaribu kukuelezea kwa namna gani Diamond anaweza akawa anasema kweli based on his income sources that we know.

Nafikiri wewe ni mmoja kati ya watu ambao ukimwona mtu anaendesha Corolla au Harrier unakimbilia kusema ni Freemason.

Changamka kijana, jitume watu wanaingiza mpunga kila uchwao wewe unabakia kusema haiwezekani.

Unaachwa hivyo!!!

Mkuu kwanza hebu tutafute ni wapi tunapotofautiana...hata kaka ulisema yy ndio anaingiza pesa nyingi kwa wasanii wa bongo fleva sawa, lkn lzm tu-note kwamba yupo anayeingiza pesa nyingi zaidi ingawa hayuko kwenye category ya bongo fleva.

Halafu hapa unazungumza na graduate wa mwaka jana tu, ambaye hafanani na magraduates wengine kimaendeleo, na siri kubwa ni juhudi zangu binafsi, endelea kuzungumzia corolla na harrier as if ndio magari ya kifahari uliyowahi kuyaona, vijana wadogo tupo na tunapush ndinga za maana mjini, swala tunalobishania hapa ni ktk kujaribu kuwaasa hawa wasanii weu wajaribu kuwa wawazi ili wafanane na macelebrity wengine, kuupeleka mziki wetu front si kuwashirikisha wasanii wa nje tu, bali kupata mkwanja wa maana na kubehave like a real celebrity, sio kuja na matambo ya kimamushka kujisifiasifia hovyo, mbona akina AY wana mkwanja mrefu ila huwasikii wakileta matambo ya kisengerema namna hii???
 
Amezipat kweye muziki tu au ana vyanzo vingine?
 
....Bilioni tu...mmmh, Lazima haya majamaa ya clouds yanamuibia.....Ngoja nimpigie majani azuie nyimbo zake

zisichezwe tena na clouds.......Yaani Diamond ana bilioni tu....
 
Hii topic imeonesha lack of financial exposure ya watu wengi sana hapa JF. Inashangaza kusoma comment za watu hapa wakiona shilingi bilioni moja ya Tanzania kuwa ni hela kuuuubwa sana.

Nimecheka mmoja amediriki kusema eti kuwa na bilioni moja hapa bongo unakuwa mmoja wa tycoon!

Ndugu zangu bilioni moja ya kibongo sio hela ndefu kiivyo. Watu wengi tu hapa Dar wana ukwasi wa kiwango hicho na wengine wanaendesha corolla kama kawa.

Angalia bei za apartments/nyumba/viwanja na mashamba hapa Dar ndo utajua kuwa shilingi yetu haina thamani na hiyo kufanya shilingi bilioni moja kuwa pesa ya kawaida sana.

Vijumba vya national housing vyenyewe vinauzwa mpaka mil 200 tena kwenye high density areas, Kweli mnaona sh. bilioni moja ni kubwa?

Sijaona hiyo interview ya Diamond so siwezi jua kama alisema ana cash bank au utajiri wake kwa ujumla. Lakini hapana shaka his net worth is at least over a bilioni shillings.

Alitoa project zake za nyumba sita anazijenga, baadhi kwenye prime areas kama kinondoni, Pili kamaliza kumjengea mama yake nyumba ya sh mil 260 kimara n.k. So siwezi shangaa akisema utajiri wake ni bilioni au zaidi.

Source zake za mapato ni verifiable, show anazifanya (anasema analipwa tsh 10 mil kwa show moja), ana sponsorship deals na Voda, Cocacola n.k, mapato ya ring tones tumeambiwa kwa wasanii wa bongo flava yeye ndo anaongoza kwa kuingiza mkwanja mrefu zaidi. Ruge alisema kaingiza zaidi ya mil 27 kutoka push mobile na kampuni nyingine aliingiza mil 24 katika miezi mitatu iliyoishia March mwaka huu.

Na amefanya show back to back for over three years, msisahau pia kuwa Diamond ni msanii wa kwanza kufanya show ya peke yake kwa kiingilio cha elfu 50 na ticket zote kuisha mpaka kuomba ziongezwe zingine.

So kwa madafu yetu haya, sishangai bwana mdogo kuwa na ukwasi huo. In fact, ningeshangaa sana angesema mpaka sasa hajafikisha utajiri huo.

mkuu Brooklyn inawezekana hayo ya ela ni kwel..
lakin hamna msanii anaefanya show kwa kulipwa zaid ya mil.3 ndan ya tanzania labda hzo za nje..
mimi n mwanamuziki naujua vzur muzki..
 
Last edited by a moderator:
Mkuu with all respect to you, unajua maana ya net worth?
Ndio Mkuu ingawaje sio saana kivile,ila kijuu juu it means ukitoa gharama zoooote ndo unapata utajiri halisi,sasa yeye kashatoa everising auuu?
 
Tatizo lenu mnapata habari kutoka kwenye magazeti ya udaku! Anayeongoza kwa kulipwa pesa nyingi kwenye ringtones ni ROSE MUHANDO, wa pili ndio Diamond.

However, your opinion is not my reality. Kwa maisha ya kibongo hata Diamond angecheza uchi jukwaani, hawezi kuwa na more than a billion, hebu rejea uzi wangu, jamaa amekaririwa akisema ana "more than a billion", that means sio 1 billion net. Acheni kuja na analysis zenu uchwara kujaribu kutushawishi hapa...
Sasa nani kasema Diamond ndie anaongoza kwenye ring tones?! vp wangu? Ina maana kusema kapata zaidi ya 20m inamaanisha kwamba ndo anaongoza?! I know, kwa batch ya mwisho, Rose Mhando ndo katengeneza abt 26m wakati Diamond 22m...so, hoja yako ya kwanza hapa hapakuwa kwake! By the way, ikiwa mtu anaweza kutengeneza karibu 100m a year just for ringtones, unashangaa nini kusikia ana zaidi ya 1bn?!

Jambo la pili ni kutafuta ubishi usio na maana kukana kwamba kwa sasa Diamond ndie anaongoza hapa nchini kwa kupiga show nyingi!! Hutaki unaacha, lakini Diamond ndie msanii anayelipwa mkwanja mrefu zaidi kwenye show!! Leo jaribu kumpa mchongo wa show kama hujapigwa kalenda coz' hata time table yake ya show ipo occupied!! Piga ua, Diamond huwezi kumpa show kwa chini ya 5m, huo ndio ukweli wenyewe! Wengine ambao huwezi kuwapa show chini ya hiyo offer ni AY!

Kama nilivyosema, karibu kila wiki Diamond huwa anapiga show...na wakati mwingine ni more than one show a week! Hutaki, unaacha! Diamond kapiga show karibu katika kila nchi inayotuzunguka....kama hili nalo hutaki, endelea kubishana! Diamond anafanya matangazo, huko nako anavuta mpunga!!

Diamond amekuwapo kwenye game for almost three years now; na tangu aingie kwenye game, ameendelea kuwa top....hajashuka! Sizani kama kuna mwanamuziki mwingine ambae amekaa kwenye game akiwa top kwa muda mrefu namna hii!!! Hata kama hutaki, Bongo flavor inalipa....si kwa kuambiwa; myself nilishakuwa mdau sana kwenye hizi anga back then!! Unawafahamu wanaume Family(ile original). Wale jamaa kama wangekuwa na management ya ukweli...management iliyokuwa well organised na iliyoenda shule; wale jamaa hapa tunapooongea wangekuwa billionaires lakini ni wajanja ndo wamefaidika wakati walipokuwa top! Ingawaje Fella anaonekana ndo kafaidika zaidi, lakini Fella nae kapigwa sana na wajanja!!

By the way, kwangu unashangaza jinzi unavyotoka povu mara oh, tatizo lenu mnapata habari kutoka kwenye magazeti ya udaku; mara oh, analysis zenyewe uchwara....mara oh, hata akicheza uchi hawezi kupata more than a billion...come on men!! mbona jambo dogo sana hili wangu?! Yaani hata suala la mtu binafsi unalishupalia hivyo?!
 
ungejua tofauti ya Saving na Revenue ungerekebisha Comment yako!! Saving =Revenue-Expenditure
Yaani mwenyewe umeona bonge la point?! Yaani bado unatarajia hapa JF au hata huko mitaani mtu asifahamu suala linalopatikana hata katika maisha ya kawaida?! Kama ningetaka ku-consider masuala yote hayo, nisingeweka hizo figures!! Bado tatizo lenu bado lile lile....mnazani haya mambo jinsi yalivyo magumu huu upande mwingie wa shiligi ambao mtu anategemea achukue madgrii yake kisha apate kazi mzuri na ku-make money, basi mnazani kila mahala mambo ni magumu hivyo hivyo!!! I can understand this....unakuta mtu ana degree yake safi sana na ana ajira kwa almost ten years lakini bado ha-qualify hata kwa mkopo wa sh.20m bank!! So, mkiona huu ugumu basi mnazani kila mahala ndo hivyo hivyo!! Mnasahau kwamba kila sehemu duniani wale wanaofanya kazi zisizo degree ya darasani, ndio wenye mkwanja wa kutosha!!
 
kwa nini uwe na bilioni kenye acc? huna cha kufanya?
yaani mimi acc yangu ikifikisha 1M tu huwa napata kichaa, hela yote hiyo naiacha bank inafanya nini?
Kwa hili siwezi kumlaumu Diamond....ni tatizo la management yake!! Na kwa bahati mbaya kabisa management za wasanii wengi zinafanywa na watu wasio na uelewa mkubwa na ndio maana bado mambo yao yanaenda hovyo hovyo!!! Mchukulie kama Ostaadh, hata darasa la saba lenyewe sizani kama alimaliza lakini ana-manage wasanii kibao! So, unatarajia nini? Katika mazingira kama hayo. ni more safe kwake kuziacha bank hadi hapo atakapokuwa na uelewa wa kutosha yeye mwenyewe!! Uzuri wa Diamond, ame-settle ukiacha tatizo la kupenda totoz!! Diamond si mtu wa mara umkute Club hii, mara umkute Club ile for the same night!!
 
Leo mchana kwenye kipindi cha TAKE ONE cha Clouds tv nimemuona na kumsikia Diamond platnumz akisema kwamba mwaka 2011 mwishoni akaunti yake ilikua na million 100, sikatai coz kweli dogo anafanya mziki kazi.

Akaendelea kusema...for the time being akaunti yake ina "more than billion"

Hivi huyu jamaa anafaham billion moja ni million ngapi? au ni matambo tu! Hebu atokee mtu anishawishi manake nafsi yangu imekataa kbs kuamini...
Naweza nikawa sina 1B kwenye AC yangu au sina kabisa lakini siwezi kuwa na Fikra/mawazo ya kimaskini kama wewe huu ni umaskini wa fikra...Nyie ni wale watu ambao mnaona hata millioni moja ni ngumu kumiliki,,,Fungua Macho amkaaa aisee.
Tukiachana na Diamond ambaye ni msanii mkubwa/anaelipa kwa sasa TZ mbona kuna CEO's wanalipwa more than 60Mil per month tena hiyo ni netpay not Gross.Ukiendelea na mawazo ya aina hii hata kibanda cha kwako mwenyewe cha kuishi itakua ngumu kujenga.
 
Mimi mwenyewe siyo msanii kama diamond lakini mawazo na fikra zangu siyo za kimaskini,,,Ndio maana ukinipigia simu ukasema kuna kiwanja hapa dar ambacho kipo kwenye centre nzuri,,,price yake inacheza kuanzia 100mil mpaka 150mil au hata 200mil Huwa sijiulizagi mara mbili faster tunafanya biashara.
 
Leo mchana kwenye kipindi cha TAKE ONE cha Clouds tv nimemuona na kumsikia Diamond platnumz akisema kwamba mwaka 2011 mwishoni akaunti yake ilikua na million 100, sikatai coz kweli dogo anafanya mziki kazi.

Akaendelea kusema...for the time being akaunti yake ina "more than billion"

Hivi huyu jamaa anafaham billion moja ni million ngapi? au ni matambo tu! Hebu atokee mtu anishawishi manake nafsi yangu imekataa kbs kuamini...


Hatimaye nimefanikiwa kusikiliza interview ya Diamond aliyoifanya kwenye kipindi cha Take One cha Clouds FM. Mkuu umepotosha watu, Diamond kasema utajiri wake unazidi Tsh. bilioni moja (networth). Yaani mali zake zote alizonazo zinathamani zaidi ya shilingi bilioni moja. Kuhusu account yake benki, Diamond kasema ana zaidi ya shilingi milioni mia moja.

Mkuu siku nyingine sikiliza kwa makini, na kama kuna maneno/terms huzijui uliza ueleweshwe. Kuna tofauti kati ya utajiri na cash iliyoko benki.

Wana JF mnaweza kuiangalia interview hiyo kwenye link TAKE ONE EXCLUSIVE NA DIAMOND PLATINUM part 5 - ATAJA THAMANI YA UTAJIRI WAKE NI KIASI GANI - YouTube
 
Hata kama mkuu, 1 billion sio kiasi kdg cha fedha, kwenye rank za matajiri ni tycoon huyo ujue

acha hizo wewe! anaweza kufikia hizo manake ana mikataba mingi ya matangazo na wanamlipa vzr sana. bilioni 1 ya sasa so ya miaka 5 iliypita. na wale tuliokuwa tunawaona bilioneaz kipindi hicho sasahivi ni trilioneaz.
kwahiyo usiogope sana kwa diamond kumiliki kazi hicho. ni cha tajiri wa kawaida si kama unavosema tycoon.
 
Azinyee wapi?yani more than a billion alafu anamjengea mamake nyumba ya mbavu za mbwa???????????

wewe ushawahi kujenga nyumba au unadhani kujenga nyumba ni sawa na kununulia wetu pombe bar? hebu tuonyeshe yako uliyojenga ya mbavu za tembo!
Nyumba aliyomjengea mama yake tegeta si chini ya milioni 200,+ value ya plot. Bei ya plot mitaa ile so chini ya m70... tena inategemea na ukubwa.
a cha maneno ya kijiweni.
mwenxio akifanya vzr mpe sifa.
kuweni na wivu wa maendeleo na sio wa kubomoana hata kuombeana balaa
 
Azinyee wapi?yani more than a billion alafu anamjengea mamake nyumba ya mbavu za mbwa???????????

wewe ushawahi kujenga nyumba au unadhani kujenga nyumba ni sawa na kununulia wetu pombe bar? hebu tuonyeshe yako uliyojenga ya mbavu za tembo!
Nyumba aliyomjengea mama yake tegeta si chini ya milioni 200,+ value ya plot. Bei ya plot mitaa ile so chini ya m70... tena inategemea na ukubwa.
a cha maneno ya kijiweni.
mwenxio akifanya vzr mpe sifa.
 
Kwa hili siwezi kumlaumu Diamond....ni tatizo la management yake!! Na kwa bahati mbaya kabisa management za wasanii wengi zinafanywa na watu wasio na uelewa mkubwa na ndio maana bado mambo yao yanaenda hovyo hovyo!!! Mchukulie kama Ostaadh, hata darasa la saba lenyewe sizani kama alimaliza lakini ana-manage wasanii kibao! So, unatarajia nini? Katika mazingira kama hayo. ni more safe kwake kuziacha bank hadi hapo atakapokuwa na uelewa wa kutosha yeye mwenyewe!! Uzuri wa Diamond, ame-settle ukiacha tatizo la kupenda totoz!! Diamond si mtu wa mara umkute Club hii, mara umkute Club ile for the same night!!
kupenda totoz ni kawaida kwa kijana wa umri huyo tena ana mkwanja! hata wasio nazo humu humu mtaani nao ni vicheche vilevile! age akikua atapunguza kama c kuacha kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom