Leo mchana kwenye kipindi cha TAKE ONE cha Clouds tv nimemuona na kumsikia Diamond platnumz akisema kwamba mwaka 2011 mwishoni akaunti yake ilikua na million 100, sikatai coz kweli dogo anafanya mziki kazi.
Akaendelea kusema...for the time being akaunti yake ina "more than billion"
Hivi huyu jamaa anafaham billion moja ni million ngapi? au ni matambo tu! Hebu
atokee mtu anishawishi manake nafsi yangu imekataa kbs kuamini...
Hakuna asiyatambua jitihada za Diamond kwenye muziki, tunampongeza sana...thumbs up!
Hakuna mwenye chuki naye mkuu, unless kama umeusoma uzi wangu kinyumenyume...
mmmmmh who cares............
Kweli umeongea ukwel mtupu mependa!dah hicho ni kiasi kikubwa sana cha pesa. kama kweli anacho afanye investment co kulipia gest daily. kijiti kina zamu hicho
Wacha kuiweka akili yako rikizo, ujinga huu.Mkuu hiyo hela ni rahisi tu kuipata...100mil x 10 = 1billion
Ujinga upo wapi sasa hapo...Wacha kuiweka akili yako rikizo, ujinga huu.
Anacheza na bilioni 1! Subiri akija kufulia kama Mr Nice tutamuuliza ziko wapi?!
hajui kama kwa hyo hela hata new york ama hollywood unaweza kumiliki nyumba ya heshima tu,fedha hyo sio ndogo kabisa,hata kama ni ka b1,aache kutafuta sifa,kama vp aweke bank statement atushawishi
Jinga wewe, halafu atakula makalio yako? mafuta ya gari na service utamfanyia wewe? shopping utamfanyia wewe? Dancers wake utawalipa wewe au utawapa dada yako wamgegede? mijitu mingine humu hasara tupu mnashindwa hata kufikiri vitu rahisi.Kwa mwaka mmoja akipata show kubwa 20 Kila show moja akadakishwa 50m mbona bilioni ipo .
Nashukuru kwa kuniweka wazi kuwa mimi ni mjinga . Kwa ujinga wangu sikuandika show kubwa 30 Kwa mwaka mmoja,pia sikuandika show ndogo ndogo za 3m-10m ataazo fanya ndani ya mwaka huo huo . Kwa ujinga wangu nimetoa tu mfano ambao unaweza kuwa halisi ama sio halisi kulingana na uwerevu wa watu kama wewe . Ujinga wangu ndio ulioniponza nikaandika ujinga ,NIWIE RADHI MWEREVUJinga wewe, halafu atakula makalio yako? mafuta ya gari na service utamfanyia wewe? shopping utamfanyia wewe? Dancers wake utawalipa wewe au utawapa dada yako wamgegede? mijitu mingine humu hasara tupu mnashindwa hata kufikiri vitu rahisi.
Kwa nani? Ndo swali, kama ndo hivyo kesho mtaniona jukwaani nimevaa skin jeans, no way