"Akaunti yangu ina more than billion"- Diamond Platnumz

"Akaunti yangu ina more than billion"- Diamond Platnumz

Atakua nayo tu si anabeba sembe china na US kwaiyo usishangae ila kwa sisi ambao tunawajua diamond na linex wamesota kiaina waache wale maisha.
 
Aisee
sasa kma hutaki kumuamini mwenye account utamuamini nani? muamini tu maana hakuna wa kumsemea.
 
Domond hacha uzuzu wewe keng.e! Unajua 1bilion wewe? Mwenye zaidi ya 1b anatembelea used toyota? Ebu angalia wenye zaidi ya b gari zao,manji vogue,le mogu davis mosha lambogin,bakhresa limosine!! Mwenye zaidi ya b anajenga gofu? Ebu pita kunduchi beach ukaone mijengo ya watu wenye b sio wewe unajenga banda la kuku tegeta,ungekuwa na 1b ungejenga ka gorofa bwana mbezi beach mie nadhani ulimaanisha bilioni za zimbabwe na sio madafu.
 
dah hicho ni kiasi kikubwa sana cha pesa. kama kweli anacho afanye investment co kulipia gest daily. kijiti kina zamu hicho
 
Domond hacha uzuzu wewe keng.e! Unajua 1bilion wewe? Mwenye zaidi ya 1b anatembelea used toyota? Ebu angalia wenye zaidi ya b gari zao,manji vogue,le mogu davis mosha lambogin,bakhresa limosine!! Mwenye zaidi ya b anajenga gofu? Ebu pita kunduchi beach ukaone mijengo ya watu wenye b sio wewe unajenga banda la kuku tegeta,ungekuwa na 1b ungejenga ka gorofa bwana mbezi beach mie nadhani ulimaanisha bilioni za zimbabwe na sio madafu.

This is the fact mkuu King Kong III!
 
Mi siwezi bishi!! Diamond anagonga show nyingi, kiasi kwamba angekuwa ni mwanamuziki wa kenya au Uganda,basi hiyo billion ingepita!!! Angekuwa nazo hata 3bil.
 
Safi sana kijana. Hongera. Ila nakushauri kuliko kuziweka benki bora uwekeze kwenye vitega uchumi. Tafuta wataalamu wakuelekeze jinsi ya kuwekeza.
 
Hii topic imeonesha lack of financial exposure ya watu wengi sana hapa JF. Inashangaza kusoma comment za watu hapa wakiona shilingi bilioni moja ya Tanzania kuwa ni hela kuuuubwa sana.

Nimecheka mmoja amediriki kusema eti kuwa na bilioni moja hapa bongo unakuwa mmoja wa tycoon!

Ndugu zangu bilioni moja ya kibongo sio hela ndefu kiivyo. Watu wengi tu hapa Dar wana ukwasi wa kiwango hicho na wengine wanaendesha corolla kama kawa.

Angalia bei za apartments/nyumba/viwanja na mashamba hapa Dar ndo utajua kuwa shilingi yetu haina thamani na hiyo kufanya shilingi bilioni moja kuwa pesa ya kawaida sana.

Vijumba vya national housing vyenyewe vinauzwa mpaka mil 200 tena kwenye high density areas, Kweli mnaona sh. bilioni moja ni kubwa?

Sijaona hiyo interview ya Diamond so siwezi jua kama alisema ana cash bank au utajiri wake kwa ujumla. Lakini hapana shaka his net worth is at least over a bilioni shillings.

Alitoa project zake za nyumba sita anazijenga, baadhi kwenye prime areas kama kinondoni, Pili kamaliza kumjengea mama yake nyumba ya sh mil 260 kimara n.k. So siwezi shangaa akisema utajiri wake ni bilioni au zaidi.

Source zake za mapato ni verifiable, show anazifanya (anasema analipwa tsh 10 mil kwa show moja), ana sponsorship deals na Voda, Cocacola n.k, mapato ya ring tones tumeambiwa kwa wasanii wa bongo flava yeye ndo anaongoza kwa kuingiza mkwanja mrefu zaidi. Ruge alisema kaingiza zaidi ya mil 27 kutoka push mobile na kampuni nyingine aliingiza mil 24 katika miezi mitatu iliyoishia March mwaka huu.

Na amefanya show back to back for over three years, msisahau pia kuwa Diamond ni msanii wa kwanza kufanya show ya peke yake kwa kiingilio cha elfu 50 na ticket zote kuisha mpaka kuomba ziongezwe zingine.

So kwa madafu yetu haya, sishangai bwana mdogo kuwa na ukwasi huo. In fact, ningeshangaa sana angesema mpaka sasa hajafikisha utajiri huo.
 
Juzi juzi tu hapa amekula zaidi ya 20m kwenye Ring Tones pekee kwa kipindi cha miezi mitatu! So, aki-maintain hicho kiwango, kwa mwaka ana kama 80m; just from ringtones! Beside ringtones, dogo anapiga sana show ! Almost every week anapiga show! So, kibongo bongo tu, tukiacha zile za nje ya nchi, kwa mwezi anapiga si chini ya 20m, so kwa mwaka, hakosi 250m. Ukichanganya na ringtones....anadaka karibu 350m! Akichanganya na show za nje ya nchi...unaweza kuta kwa mwaka ana-make karibu 500m....ukichanganya na kamia kake ka 2011, unakuta by the end of 2012 amedaka angalau 600m. Na tukichukua za miezi 5 iliyopita, angalau 100m....ukijumlisha kwenye 600 yake; unakuta kama 700m! So, cha ajabu nini hapo akisema kwamba ana zaidi ya bilioni moja? Hapo cjazungumzia dili za matangazo ya hapa na pale!

Tatizo lenu mnalinganisha mnavyopata taabu kupata japo mkopo wa 20m huku mkiwa na madigrii ya Upper Second za sifa, za Four point nini sijui....basi mnazani hadi kwenye informal life kila kitu sharti kwa msuli!
 
domo hawezi kuwa amefikisha billion mara hii labda beyond so normal earn.afu kuna wav wanashadadia kama wao wanazijua hela kihivyo, acheni kushadadia upumbavu huo
 
Hii topic imeonesha lack
of financial exposure ya watu wengi sana hapa JF. Inashangaza kusoma
comment za watu hapa wakiona shilingi bilioni moja ya Tanzania kuwa ni
hela kuuuubwa sana.

Nimecheka mmoja amediriki kusema eti kuwa na bilioni moja hapa bongo
unakuwa mmoja wa tycoon!

Ndugu zangu bilioni moja ya kibongo sio hela ndefu kiivyo. Watu wengi tu
hapa Dar wana ukwasi wa kiwango hicho na wengine wanaendesha corolla
kama kawa.

Angalia bei za apartments/nyumba/viwanja na mashamba hapa Dar ndo utajua
kuwa shilingi yetu haina thamani na hiyo kufanya shilingi bilioni moja
kuwa pesa ya kawaida sana.

Vijumba vya national housing vyenyewe vinauzwa mpaka mil 200 tena kwenye
high density areas, Kweli mnaona sh. bilioni moja ni kubwa?

Sijaona hiyo interview ya Diamond so siwezi jua kama alisema ana cash
bank au utajiri wake kwa ujumla. Lakini hapana shaka his net worth is at
least over a bilioni shillings.

Alitoa project zake za nyumba sita anazijenga, baadhi kwenye prime areas
kama kinondoni, Pili kamaliza kumjengea mama yake nyumba ya sh mil 260
kimara n.k. So siwezi shangaa akisema utajiri wake ni bilioni au zaidi.

Source zake za mapato ni verifiable, show anazifanya (anasema analipwa
tsh 10 mil kwa show moja), ana sponsorship deals na Voda, Cocacola n.k,
mapato ya ring tones tumeambiwa kwa wasanii wa bongo flava yeye ndo
anaongoza kwa kuingiza mkwanja mrefu zaidi. Ruge alisema kaingiza zaidi
ya mil 27 kutoka push mobile na kampuni nyingine aliingiza mil 24 katika
miezi mitatu iliyoishia March mwaka huu.

Na amefanya show back to back for over three years, msisahau pia kuwa
Diamond ni msanii wa kwanza kufanya show ya peke yake kwa kiingilio cha
elfu 50 na ticket zote kuisha mpaka kuomba ziongezwe zingine.

So kwa madafu yetu haya, sishangai bwana mdogo kuwa na ukwasi huo. In
fact, ningeshangaa sana angesema mpaka sasa hajafikisha utajiri
huo.

mkuu umetoa Analyis nzuri sana! Big up
 
Bilion moja ni sawa na Milioni 1,000 so yeye anazaidi ya milion 1,000 kwenye account yake.....ni kawaida mbona,,..wala si pesa za kumshangaza mtu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom