Mkuu kwa akili yako wewe kampuni ni nini?
Naanza kuhisi kuwa baadhi ya wachangiaji humu pengine ni vijana wadogo na walio shule (most likey sekondari), kwa hivyo mtazamo wao kwenye masuala ya pesa unaishia kwenye viwango vya ada na pocket money mnavyopewa na wazazi/walezi wenu.
That's true! ha ha ha ha.....