"Akaunti yangu ina more than billion"- Diamond Platnumz

"Akaunti yangu ina more than billion"- Diamond Platnumz

Weee nawe tutolee storii zako za kijiwenii...tupe mfano wa billionare anayeishi kwenye kijinyumba cha kawaida..siyo unatetea uongo hapa...usitufanye siye tuna akili fupii ebo!!

Achana nae msukule wa diamond huo, linatufanye na sisi misukule kama lenyew
 
HIV billion mnaijua mnaiskia ningeeeza kuamini hii story km Kuna vitu vya maana anafanya lakin kwa show izo zs million kumi ???? Uongo uongo wa wazi kbsa
 
HIV billion mnaijua mnaiskia ningeeeza kuamini hii story km Kuna vitu vya maana anafanya lakin kwa show izo zs million kumi ???? Uongo uongo wa wazi kbsa

Hao wameshazoea kudanganya,kuna kibaraka wake mmoja katudanganya mambo ya hall of fame akajua jf imejaa bongolala kumbe ndivyo sivyo.
 
Nimeamini kweli akaunti ina hela ya kutosha
 
Ulitaka aseme ana million 100 ilione ni haki yake kua na hio... Billion 1 ni million 1000 .kaa umo.
 
Shoo,mikataba na makampuni eg coca,ringtones (miitoya kwenye simu) ,kuuza cd, na kwenye baadhi Ya nchi ana mawakala kusimamia mauzo Ya kazi zake na vinginevyo .
Kama ana only one billion mimi naona ni kidogo kulingana na hatua aliyo fikia kimziki kwa sasa mimi niliitegemea anaweza kuwa hata 8 billion.
Kwa mfanyakazi hii hela ni nyingi ila kwa mfanya biashara ni hela kidogo sana ambayo huwezi kufanya uwekezaji ukaonekana
 
Baada ya miaka miwili au mitatu naye ataanza kuilaumu Clouds FM kwa kufilisika na hatimaye kubwia Azam sembe,saa hizi anazo ni rafiki na Clouds ngoja ziishe ndio utasikia ngonjera za kama wengine za kuilamu Clouds kwa kufilisika na kuanguka kimuziki.

Wabongo mmekariri formula ya maisha ya wasani kwa hiyo ni lazima kila msanii aleye juu kuja kufilisika? Kweli mmezoea umasikini, diamond atashuka kimuziki ila haimaanishi atakuwa masikini msikariri maisha bwana.... Halafu diamond ni kijana wa kuigwa tz kwani ameweza kuonesha kila mtu anaweza kuwa tajiri akiweka juhudi lkn inashangaza wabongo kutwa kumuwazia mabaya. Hizo ni roho za kimasikini ndo zinawatesa, mtu mwenye akili zake atakuwa inspired ila mburulaaz lazima zimburulike tu.
 
Wabongo mmekariri formula ya maisha ya wasani kwa hiyo ni lazima kila msanii aleye juu kuja kufilisika? Kweli mmezoea umasikini, diamond atashuka kimuziki ila haimaanishi atakuwa masikini msikariri maisha bwana.... Halafu diamond ni kijana wa kuigwa tz kwani ameweza kuonesha kila mtu anaweza kuwa tajiri akiweka juhudi lkn inashangaza wabongo kutwa kumuwazia mabaya. Hizo ni roho za kimasikini ndo zinawatesa, mtu mwenye akili zake atakuwa inspired ila mburulaaz lazima zimburulike tu.

Kaka usiwe mjinga ,tunazungumzia hivyo baada ya kuona wasanii wengi si hapa tu TZ hata nchi nyingine,lifestyle zao ndio zinawaangusha na wengi wao hawana elimu,na hela haikai tu sababu eti una mamilioni bila mpangilio hata ungekuwa na fedha kiasi gani zitaisha,ni bora anayesema ukweli kuliko nyie walamba viatu.
 
wakati ana sema akaunti yake ina b1 huku anadaiwa na chief kiumbe hela ya gari mpaka likachukuliwa b1 angekua nayo endapo asingekua na mameneja matapeli hasa yale mawili ni hatari sana kwa muziki wa bongo
 
Kaka usiwe mjinga ,tunazungumzia hivyo baada ya kuona wasanii wengi si hapa tu TZ hata nchi nyingine,lifestyle zao ndio zinawaangusha na wengi wao hawana elimu,na hela haikai tu sababu eti una mamilioni bila mpangilio hata ungekuwa na fedha kiasi gani zitaisha,ni bora anayesema ukweli kuliko nyie walamba viatu.
Ukitoa mfano wa yeyote kati ya hao utaona life style yao na Diamond ni tofauti! Wasanii wengi kinachowaangusha na anasa... watu wanapenda kumtolea mfano Mr. Nice... life style ya Mr. Nice na Diamond ni tofauti! Wakati Mr. Nice alikuwa ni mtu wa Club, pombe na yeye, Diamond ni mtu wa nyumbani!

But all in all, why should you anticipate people's downfall? Ikiwa kuna wasanii kibao hata mbele ambao hufilisika, unataka kuniambia hakuna wasanii ambao hata baada ya kuacha muziki bado maisha yao yanakuwa mazuri? Kwanini hamtaki kuwatumia hao kama chachu au mifano ya kuwapa watu moyo na badala yake chachu yenu inakuwa ni wale waliofilisika na kuonesha ndo basi tena wengine wote watafilisika?

Haya, sie ni walamba viatu, tuambie wewe msema ukweli! Unatumia vigezo gani katika kutetea hu unaoita ukweli? Kwavile mtu kajenga nyumba ya millions of TSZ ndo atafilisika, au? Au kwavile washroom kuna gold plated accessories, au? Kwaavile alisema akaunti yake ina more than 1 billion, au? Hoja yenu hasa ni nini?? Manake ningewaona mnaongea hoja za maana endapo labda tungemuona baada ya kuonesha nyumba, anatuonesha migari ya bei mbaya, leo ana gari hili, kesho ana gari lile... tungeona hoja zenu zinaingia akilini, labda tungesikia analeta yacht na mambo mengine kama hayo! Hoja yenu hasa nyie wasema ukweli tofauti na sie walamba viatu ni ipi hasa?
 
Ukitoa mfano wa yeyote kati ya hao utaona life style yao na Diamond ni tofauti! Wasanii wengi kinachowaangusha na anasa... watu wanapenda kumtolea mfano Mr. Nice... life style ya Mr. Nice na Diamond ni tofauti! Wakati Mr. Nice alikuwa ni mtu wa Club, pombe na yeye, Diamond ni mtu wa nyumbani!

But all in all, why should you anticipate people's downfall? Ikiwa kuna wasanii kibao hata mbele ambao hufilisika, unataka kuniambia hakuna wasanii ambao hata baada ya kuacha muziki bado maisha yao yanakuwa mazuri? Kwanini hamtaki kuwatumia hao kama chachu au mifano ya kuwapa watu moyo na badala yake chachu yenu inakuwa ni wale waliofilisika na kuonesha ndo basi tena wengine wote watafilisika?

Haya, sie ni walamba viatu, tuambie wewe msema ukweli! Unatumia vigezo gani katika kutetea hu unaoita ukweli? Kwavile mtu kajenga nyumba ya millions of TSZ ndo atafilisika, au? Au kwavile washroom kuna gold plated accessories, au? Kwaavile alisema akaunti yake ina more than 1 billion, au? Hoja yenu hasa ni nini?? Manake ningewaona mnaongea hoja za maana endapo labda tungemuona baada ya kuonesha nyumba, anatuonesha migari ya bei mbaya, leo ana gari hili, kesho ana gari lile... tungeona hoja zenu zinaingia akilini, labda tungesikia analeta yacht na mambo mengine kama hayo! Hoja yenu hasa nyie wasema ukweli tofauti na sie walamba viatu ni ipi hasa?

Ha ha ha, itakuwa wanataka aishi watakavyo wao wakati hela anatafuta mwenyewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom