"Akaunti yangu ina more than billion"- Diamond Platnumz

"Akaunti yangu ina more than billion"- Diamond Platnumz

chenge hiyo kauli ilimponza et bilioni moja ni vijisent!............balaaaa hiyo hela ndefu sana.
 
Bilioni moja tu? You can do better than that.
 
Tatizo lenu mnapata habari kutoka kwenye magazeti ya udaku! Anayeongoza kwa kulipwa pesa nyingi kwenye ringtones ni ROSE MUHANDO, wa pili ndio Diamond.

Bilashaka ww ndio una-lack financial exposure mkuu, all in all...your opinion is not my reality. Kwa maisha ya kibongo hata Diamond angecheza uchi jukwaani, hawezi kuwa na more than a billion, hebu rejea uzi wangu, jamaa amekaririwa akisema ana "more than a billion", that means sio 1 billion net. Acheni kuja na analysis zenu uchwara kujaribu kutushawishi hapa...


Sasa sijui kati yangu mi na wewe nani mwenye takwimu uchwara mkuu. Numesema Diamond anaongoza kuingiza mkwanja mrefu kwa wasanii wa "bongo flavour" wewe unaeleta hadithi za Rose Muhando. Sasa Rose Muhando anaimba bongo flavour?

Wewe ni mmoja kati ya watanzania mnaopenda maendeleo lakini mnawachukia wenye maendeleo.

Sisi tumejaribu kukuelezea kwa namna gani Diamond anaweza akawa anasema kweli based on his income sources that we know.

Nafikiri wewe ni mmoja kati ya watu ambao ukimwona mtu anaendesha Corolla au Harrier unakimbilia kusema ni Freemason.

Changamka kijana, jitume watu wanaingiza mpunga kila uchwao wewe unabakia kusema haiwezekani.

Unaachwa hivyo!!!
 
"wimbo wa kesho uliingiza milioni mia ndani ya mwezi mmoja kupitia caller tunes"diamond alisema katika mahojiano aliyofanya uingereza

mh!! Duh basi baada ya muda kidogo ataanza kukimbizana na kina Lily Wayne na Birdman kwa style hii..
 
Nahisi we ndio hukusikia vizuri, katamka hivyo hivyo " more than a billion".
Hata mimi napata shaka kama Diamond ana hizo pesa, si angeanzisha hata kampuni!

Mkuu kwa akili yako wewe kampuni ni nini?

Naanza kuhisi kuwa baadhi ya wachangiaji humu pengine ni vijana wadogo na walio shule (most likey sekondari), kwa hivyo mtazamo wao kwenye masuala ya pesa unaishia kwenye viwango vya ada na pocket money mnavyopewa na wazazi/walezi wenu.
 
Talking about money in this manner is so middle class and tacky. Not for the gentry.
 
mh!! Duh basi baada ya muda kidogo ataanza kukimbizana na kina Lily Wayne na Birdman kwa style hii..

we we we usimdanganye mwenzake birdman ana gari buggati veyron sh 2.8b Tsh,stunna island worth more than 30b,birdman ana nyumba star island inacost 18b,birdman ana kampuni ye mafuta! Domo na bilion yake ya zimbabwe hatomfikia miaka 800! Waanhe Braaaa No ceilin' #TeamYMCMB
 
Kama account yake ina billion kama anavyodai,inamaana ni billionaire si ndio??,na mimi ninavyojua diamond kapanga sinza wanyama,sijawahi sikia billionaire anaishi nyumba ya kupanga
 
Kama account yake ina billion kama anavyodai,inamaana ni billionaire si ndio??,na mimi ninavyojua diamond kapanga sinza wanyama,sijawahi sikia billionaire anaishi nyumba ya kupanga

Alikuwa anamrusha roho wema tu,boss wake Ruge tu hana hyo hela
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom