AJIRA

AJIRA

800k unaona ni mshahara huo? Hela ya posho ya usafiri kwa baadhi ya watu.

Mshahara kbs wa kukaa mbele za watu ukajinasibu unalipwa Mshahara ni kuanzia 4m kwenda juu not otherwise
 
Ukiajiriwa utajua kumbuka mshahara haukutani, tena usiombe kazi unavyoingia ndo unavyotoka aahh utoboi hasilani, nauli kwenda na kurudi unakuta 3k,chai asubh 2k, vocha2k ,chakula mchana 3k, kodi kwa siku unapokaa ni labda 3k jumla 15k kwa siku lazima itumike apo kumbuka upo bachela huna mtoto kwa mwezi ni 450k matumiz ya lazima hapo bado emejency bado makato, umeme, maji, kingamuzi, 500k inakatika unabaki na 300k ndo ujikaze usave hapo bado ujaweka mademu
 
Hee,,😀 na ukiwaambia mm nitoleeni hii mifumo ya bima siuguagi ovyo🤣
Aaah so kweli..
1AB4CE7C-1CAE-4EEE-8640-B59FF73518F1.jpeg
 
Ukiajiriwa utajua kumbuka mshahara haukutani, tena usiombe kazi unavyoingia ndo unavyotoka aahh utoboi hasilani, nauli kwenda na kurudi unakuta 3k,chai asubh 2k, vocha2k ,chakula mchana 3k, kodi kwa siku unapokaa ni labda 3k jumla 15k kwa siku lazima itumike apo kumbuka upo bachela huna mtoto kwa mwezi ni 450k matumiz ya lazima hapo bado emejency bado makato, umeme, maji, kingamuzi, 500k inakatika unabaki na 300k ndo ujikaze usave hapo bado ujaweka mademu
Je ukikaa kota,, kwa mfano 😀
 
Ukiajiriwa utajua kumbuka mshahara haukutani, tena usiombe kazi unavyoingia ndo unavyotoka aahh utoboi hasilani, nauli kwenda na kurudi unakuta 3k,chai asubh 2k, vocha2k ,chakula mchana 3k, kodi kwa siku unapokaa ni labda 3k jumla 15k kwa siku lazima itumike apo kumbuka upo bachela huna mtoto kwa mwezi ni 450k matumiz ya lazima hapo bado emejency bado makato, umeme, maji, kingamuzi, 500k inakatika unabaki na 300k ndo ujikaze usave hapo bado ujaweka mademu
Na Kuna makato ya benki,, ukiweka 500k unakuta imejikata automatic 😀
 
Back
Top Bottom