Aisee! Shangaa na wewe

Aisee! Shangaa na wewe

Mpaka alifikia kujitoa uhai mbele ya mme wake basi inaonekana kabisa kulikuwa na mgogoro mkubwa wa mda mrefu kati yao

Hatuwezi kujua lakini inaonekana jamaa alikuwa bully sana na huenda ana kimada ambapo mke alikuwa hana nguvu kwa jamaa na inaonekana alikuwa anampiga sana

Acha tuwaze ya kwetu ila hapo inaonyesha kabisa mwanaume ndio alikuwa kichocheo cha mke wake kujiua na alijua anajiuwa na akarekodi kwa roho yake mbaya

Mfanyakazi wa ndani anajua maisha yao atatoa majibu pia watoto wanajua pia

Watoto ndio wa kuwahurumia zaidi kwani kuona mama anakufa huku baba akirekodi ni ngumu sana kwa maisha yao
Umeona wapi akimpiga?
Umeona wapi aki mbully?
Umeona wapi jamaa akionesha vimada?

Unaongea upuuzi na umbea. Mtu anasema anakunywa sumu. Unamkatazaje?
 
Umeona wapi akimpiga?
Umeona wapi aki mbully?
Umeona wapi jamaa akionesha vimada?

Unaongea upuuzi na umbea. Mtu anasema anakunywa sumu. Unamkatazaje?
Mimi binafsi sijaona kosa la jamaa sababu jamaa hajamgusa huyo mwanamke hata chembe na hatujui story ya nyuma kilichomtuma ajiue.Hao watu ilitakiwa wakae wayajenge.Ila huyo kakimbilia kujiua
 
Mimi binafsi sijaona kosa la jamaa sababu jamaa hajamgusa huyo mwanamke hata chembe na hatujui story ya nyuma kilichomtuma ajiue.Hao watu ilitakiwa wakae wayajenge.Ila huyo kakimbilia kujiua
Watu wengi wana jadili hili jambo kutoka mwisho wa tukoi (out come), lakini hawaangalii na hawataki kujua mwanzo/chanzo (root cause)
 
Wananchi wengi hasa nchini Kenya wamebaki midomo wazi baada ya kuona video iliyovuja ikimuonesha jinsi Dj Brownskin akimrekodi mkewe Sharon Mwangi akijitoa uhai hadi kufa mbele za Watoto wake.

Video hiyo ilianza pale ambapo mkewe anaonekana akikoroga mchanganyiko wa dawa zenye sumu kwenye kikombe, huku akimwambia mumewe kuwa anataka kujiua na baada ya hapo alikunywa na kutupa kikombe na kisha kuketi kwenye kochi.

Dakika chache baadae anaanza kutokwa na povu mdomoni na kuwaambia watoto wake kuwa “nakufa wanangu” – lakini muda wote huo Brownskin haonekani kuchukua hatua yoyote ya kujaribu kuokoa maisha ya mkewe, bali aliendelea kumrekodi akijigaragaza kwenye kochi kisha kuanguka sakafuni.

Baada ya kuanguka sakafuni, Brownskin anamuita msichana mmoja anayedhaniwa kuwa msaidizi wa kazi aliyefika kwenye sebule na kumtaka kumpa maziwa.“Kuna maziwa, hebu mpe maziwa, mlazimishie akunywe,” anasikika Brownskin akimwambia msichana huyo.

Hata hivyo, mkewe wakati huo anaonekana kulemewa kabisa na sumu na yuko sakafuni akijigaragaza kutokana na makali ya sumu mwilini, hawezi hata kushika kikombe cha maziwa.
Hiyo video iko wapi?.
 
Kuna uzi wa jamaa fulani iv aliwah andika kuna watu wengi tu wanazaliwa bila nafsi ,ila wafia dini walimdhihaki mno .
 
Soma huo Uzi hapo chini..
👇👇
Hiyo nilisha isoma tangu jana mkuu, na hapo yamejaa maoni na mitazamo ya watu binafsi.
Lakini swali langu linabaki palepale kwamba..... huyo DJ whatever akamatwe kwa kosa gani??
 
Haya ni matoke ya zile kampeni za ma super women. Mara mnaambiwa muwe na maamuzi magumu, sasa mwenzenu kafaulu vizuri, kafanya maamuzi magumu. Mmekua na drama drama za kipuuzi, watu wanawachoka. Hata yule aliekua anampa maziwa anaonekana hana hata mshtuko. Maana yake huyo mwanamke alikua mtu wa madrama hadi walimchoka na kuona kawaida yake.

Sasa hivi hatuwapigi hata kibao, maana mnatetewa sana. Mtakua mnajidhuru wenyewe tu huku sisi tukishudia na kurekodi kama DJ wetu pale Kenya. Kuna wanawake wapuuzi watakuja na kusema yule mwamba ana roho mbaya, go to hell.

Upumbavu pro max plus
 
Back
Top Bottom