Sasa alipojiua alikuwa anamkomoa nani?Video hiyo ilianza pale ambapo mkewe anaonekana akikoroga mchanganyiko wa dawa zenye sumu kwenye kikombe, huku akimwambia mumewe kuwa anataka kujiua na baada ya hapo alikunywa na kutupa kikombe na kisha kuketi kwenye kochi.
Kwanini uishi na mwanamke ujipe kero zote hizo kwanini usiishi mwenyewe?Wanawake tunaishi nao tunajua tabia zao mwanamke mwanaume usipokua na msimamo umekwisha unaweza ukatangilia wewe yeye ukamuacha kwa hio ukiwa na msimamo hatua ya mwisho anaona Bora kujimaliza yeye mwenyewe maana wewe umegoma kumalizwa sababu una msimamo wako binafsi, ukiwa huna msimamo mbele ya mwanamke you're dead tena haufi mbele ya camera unakufa usingizini asubuhi anapiga ukunga weeee hukuuuuu majiraniiii anajilizaaa wewe kuja kushtuka umekufa
Naishi mwenyewe mkuu ndio maana nazungumzia uhalisia wangu sio uhalisia wa mwanamke, tho naishi na mwanamke Ila ni km naishi mwenyewe simuingilii kwenye mambo yake na yeye anaheshimu mambo yangu life linasonga no stresskwanini usiishi mwenyewe
Kwelii ni vijana tu watakomaambaya sana hii shida kuna watu wanalfikiri mwisho wa urefu wa pua zao hawaijui kesho
Lengo la kuishi pamoja lilikuwa nini kama kama unaishi kama uko peke yako!!!Naishi mwenyewe mkuu ndio maana nazungumzia uhalisia wangu sio uhalisia wa mwanamke, tho naishi na mwanamke Ila ni km naishi mwenyewe simuingilii kwenye mambo yake na yeye anaheshimu mambo yangu life linasonga no stress
Nikweli lakini hatuwezi kufikia hatua ya kuwakatili kiasi hichi tuna tuliozaa naoHuwezi kumzuia mtu kufa, hawa super woman mda wao wa kubembelezwa umekwisha ngoja siku zisonge tuone Nani mwanaume
Akili mkuu ishi nae kwa akili km upo kwenye Battle field alafu umewekwa Frontline kwa hio tumia vizuri akili yako hapo Frontline kifo nje nje usipokua makini, usipoelewa na hii ndio basi Tena huwezi kuelewa tenaLengo la kuishi pamoja lilikuwa nini kama kama unaishi kama uko peke yako!!!
Hujajibu swali , lengo la kuleta kero/adui nyumbani kwako lilikuwa nini ?Akili mkuu ishi nae kwa akili km upo kwenye Battle field alafu umewekwa Frontline kwa hio tumia vizuri akili yako hapo Frontline kifo nje nje usipokua makini, usipoelewa na hii ndio basi Tena huwezi kuelewa tena
Tena imekua vizuri alirecord maana kesi ingemrudia kua ameua kumbe mtu kajiua mwenyewe na kifo kakipanga mwenyewe sasa mtu kaandaa hadi dawa kakoroga kanywa alijua anakunywa juice au?,Kabla ya kumuhukumu mwanaume kwa kurekodi mbele ya mtoto.
Yaan mtu mwenye akili zako unakoroga sumu, pengine unaiweka kwenye Friji ili IPOE kabisa unamsubiri mume ili unywe mbele zake, ukitegemea Akuokoe kwa kuwa mnaitana bebi bebi,
Ukute mwanaume alikuwa na stress zake liva wamemchania mkeka afu we unakunywa sumu mbele yake...
Huyo jamaa hata kuvuja kwa hii video akiishi mda mrefu kweli atamalizwa na mwanae hii haitomuacha salama kabisaaaahuyuu jamaa amenisikitisha ata kama humpendi sio kufanya vilee. jamaa anaroho ngumu. kuna kitu watu hawaelewi ila hiyoo damu itamtesa mpaka anaingia kaburini. na huyoo dogo ni mwiba kake.
alafu unakuta yeye ndio chanzo kama ameweza kumvideo akiwa anakata roho. ata video za ngono za wanawake wengine alikuwa anachukua na kuziacha kwenye simu. fck him he derve punshmnt.
Sio kero sio adui elewa kwanza kabla haujauliza nmekwambia mwanamke akikubuluza wewe huchukui round unakufa ndani ya mda mfupi tu Ila ukiwa na msimamo akitaka hiki unachomoa akisema hiki unachomoa mwanamke timamu atafuata unachomwambia mwanamke zuzu chizi kichaa punguani hamnazo atakoroga sumu afe,lengo la kuleta kero/adui nyumbani kwako lilikuwa nini ?
Kwanini uishi na mtu anayekuburuza?Sio kero sio adui elewa kwanza kabla haujauliza nmekwambia mwanamke akikubuluza wewe huchukui round unakufa ndani ya mda mfupi tu Ila ukiwa na msimamo akitaka hiki unachomoa akisema hiki unachomoa mwanamke timamu atafuata unachomwambia mwanamke zuzu chizi kichaa punguani hamnazo atakoroga sumu afe,
Kwa kosa lipi mtu kaamua kujiua mwenyewe una akili wewe? Ulitaka ajipendeze na yeye amnyweshe hio sumu?Mwanamme achukuliwe hatua kali!
Kwani nikifa mdomo wazi Kuna shida itakayonipata tofauti nawaliokufa wameziba mdomo?Woman hater roho mbaya utakufa mdomo wazi