Aisee! Shangaa na wewe

Aisee! Shangaa na wewe

Baada ya kurekodi mke wake akijiua jamaa anaonekana kwenye msiba akimlilia na kusikitika.Hii ni zaidi ya unafiki.
Screenshot_20230402-200607.jpg
 
Kwanini uishi na mtu anayekuburuza?
Ooho kuburuzwa ? Nani kakwambia naburuzwa aisee unasoma vizuri nnachokiandika au unadandia maelezo Mimi ndio nipo frontier ushaelewa I say I say you follow hutaki chukua habari zako nenda, hakuna muda wa kubembelezana nimekwambia mwanamke ndani ya nyumba ukimuendekeza sana unakufa huchukui round you're dead man kwa hio ishi nae kwa akili na tahadhari usikubari kila kitu akitaka kujiua muache ajiue maana ameamua mwenyewe kufa Ila usimuue maana utakua umefanya kosa la jinai,
 
Mshaambiwa ishini nao kwa akili, kama huna akili usioe!!

Tangu lini mwanaume na mwanamke wakawa na akili sawa??
Ukiwa na mke jua wewe ni baba yake, kaka yake nk kifupi wewe ni kiongozi wake wa kila kitu.
Huyo jamaa ni zezeta na nyote mnaomsupport dj akiwemo mpwayungu village wote ni mazezeta, huyo ni kama mwanao tu.

Jamaa lilivyo jinga likaacha dogo ashuhudie as if ni ushujaa dogo kuona mama yake akikata moto huku baba hajishughulishi na chochote!!
Unauwezo wa kuzuia kifo?
 
Duh yule mtoto masikini!!!!
Huyo dj hana hata chembe ya huruma jmn hata km mama kayataka mwenyewe
Sometimes huruma inaenda mfukoni mtu kalazimisha mwenyewe utamzuia kataka mwenyewe kufa unamzuiaje akuue alafu ajiue?
 
One of my favorite fathers, Rupert Spira. What's the purpose of a relationship/marriage? 👇🏾
 
  • Thanks
Reactions: _ly
Hili tukio ni la mwaka Jana.Dj Brown skin alimrekodi mke wake akijiua lakini Kwa akili za kawaida Kuna mtu anaweza akafanya tukio la aina hiyo na kupata ujasiri wa kutuma mitandaoni??

Inasemekana alituma video Kwa rafiki wake mmoja wapo anayemuamini na huyo rafiki yawezekana ndiye kavujisha maana simu ya Dj Brown skin haikuwa hacked.
 
Hili tukio ni la mwaka Jana.Dj Brown skin alimrekodi mke wake akijiua lakini Kwa akili za kawaida Kuna mtu anaweza akafanya tukio la aina hiyo na kupata ujasiri wa kutuma mitandaoni??

Inasemekana alituma video Kwa rafiki wake mmoja wapo anayemuamini na huyo rafiki yawezekana ndiye kavujisha maana simu ya Dj Brown skin haikuwa hacked.
Kumbe ni mwaka Jana,

Muwe na siku njema leo ni sikukuu ya Matawi, wiki inayo kuja ijumaa ni Ijumaa kuu na Jumapili ni Pasaka
 
.........sijui ndo kutofautiana akili au mawazo, ninavyofahamu mimi mtu yeyote anapofikia uamuzi wa kujiua ni kwamba anakua tayari kashaathirika kisaikilojia kwa kiasi kikubwa........hivyo basi hii Ina maana anakuwa out mind anaona hakuna msaada wowotektk maisha yake, amekata tamaa, na hili la kujiua kujiua lina sababu kuu mbili 1.kuzidiwa na matatizo yoyote yale 2.Kurogwa (kwa wanaoamini hili)........
.......Sasa katika hayo utaona kwamba kumbe mtu akipata msaada katika hayo basi atapona katika kifo, kwa hiyo kumbe tunaweza kuokoa vifo vya wanaotaka kujiua kwa kuwazuia kujiua na kuwasaidia ktk shida zao, au kwa kuwakamata na kuwafanyia tiba kama ni maombi au ni uganga(Incase wamerogea).........
...........Sasa kinachonishangaza hapa ni komenti za wadau eti alistahili kufa coz alitaka mwenyewe!!, wengine eti hapo kosa la Jamaa ni korekodi pekee na sio kuruhisu kifo kutokea ktk mazingira aliyopo!!, imenishangaza sana hii!... eti ndio tunajiita great thinkers, kwamba tunaona huyo mama kujiua kwake ilikuwa ni starehe na ameinjoy, eti Jamaa hajakosea....

......nishauri tu kuwa ikitokea umekutana na mtu yupo kwenye hali ya kutaka kujiua tafadhali msaidie kwa namna yeyote, coz kisaikilojia mtu huyo anakuwa sio yeye tena, hata akifa kinakuwa ni kifo cha bahati mbaya kama ajali tu ndo mana watu wanaokolewa, tubadili mindset wakuu...je angekuwa ndugu yako ndo au mama zetu tungeacha wafe kisa wametaka wenyewe?!!!.....
 
Sijaiangalia na sitokuja kuiangalia. I don't need more filth/negativity in my system
Mkuu kua uyaone ubaya hawatulazimishi kujaza miaka humu shida ndio ipo hapo kua uyaone ya wanawake sisi tuliokua tumeshayoana na kujifunza mengi, kuna wakati usipokua na roho ngumu za kum-control anaweza akat*mbwa mbele yako na usimfanye kitu huyo ndio mwanamke
 
Mkuu kua uyaone ubaya hawatulazimishi kujaza miaka humu shida ndio ipo hapo kua uyaone ya wanawake sisi tuliokua tumeshayoana na kujifunza mengi, kuna wakati usipokua na roho ngumu za kum-control anaweza akat*mbwa mbele yako na usimfanye kitu huyo ndio mwanamke
If there's anyone who needs growing here it's you.

If your spouse does not help you find God/peace leave. There's no other purpose for that relationship other than testing Israeli mtoa roho
 
Mkuu kua uyaone ubaya hawatulazimishi kujaza miaka humu shida ndio ipo hapo kua uyaone ya wanawake sisi tuliokua tumeshayoana na kujifunza mengi, kuna wakati usipokua na roho ngumu za kum-control anaweza akat*mbwa mbele yako na usimfanye kitu huyo ndio mwanamke
 
Back
Top Bottom