Aisee! Shangaa na wewe

Aisee! Shangaa na wewe

huyuu jamaa amenisikitisha ata kama humpendi sio kufanya vilee. jamaa anaroho ngumu. kuna kitu watu hawaelewi ila hiyoo damu itamtesa mpaka anaingia kaburini. na huyoo dogo ni mwiba kake.

alafu unakuta yeye ndio chanzo kama ameweza kumvideo akiwa anakata roho. ata video za ngono za wanawake wengine alikuwa anachukua na kuziacha kwenye simu. fck him he derve punshmnt.
Punguza vitishoo Kaka!!!
 
Mpaka alifikia kujitoa uhai mbele ya mme wake basi inaonekana kabisa kulikuwa na mgogoro mkubwa wa mda mrefu kati yao

Hatuwezi kujua lakini inaonekana jamaa alikuwa bully sana na huenda ana kimada ambapo mke alikuwa hana nguvu kwa jamaa na inaonekana alikuwa anampiga sana

Acha tuwaze ya kwetu ila hapo inaonyesha kabisa mwanaume ndio alikuwa kichocheo cha mke wake kujiua na alijua anajiuwa na akarekodi kwa roho yake mbaya

Mfanyakazi wa ndani anajua maisha yao atatoa majibu pia watoto wanajua pia

Watoto ndio wa kuwahurumia zaidi kwani kuona mama anakufa huku baba akirekodi ni ngumu sana kwa maisha yao
 
Nimeona hiyo video jamaa alikuwa mtu mmbaya huwezi mwangalia mtu anakunywa sumu anaanza kupoteza nguvu mpaka anaanguka akitoa povu ndo unamwita msichana alete maziwa tena humpi wewe unamwambia msichana wa kazi mpe we ukiendelea kurecord kila kitu.
Labda kwasababu mwanamke alitumia mbinu ya kunywa sumu mana itamuuwa mwenyewe ndo mana jamaa akapata muda wa kurecord.
Ila kama mwanamke angefunga milango yote akamwaga petrol ndani alafu awe kwenye harakati za kutafuta kiwakishio sijui kama huyo jamaa angekumbuka kama simu inayo uwezo wa kurecord.
Yote ya yote jamaa anakesi ya kujibu...🙌🙌🙌
 
Mental slavery is the worst form of slavery.

Bora ufungwe pingu unaziona utatafuta njia za kuzifungua ukimbie.

Ukifungwa akili hata hujitambui kama umefungwa unakuwa kama zombie, unateseka bila sababu

He's very free he just don't see it 👇🏾
images (59).jpeg
 
Ni jambo la kusikitisha kusikia habari kama hizo. Inasemekana kuwa video hiyo iliyovuja ilionyesha tukio la kusikitisha la mwanamke akijitoa uhai mbele ya watoto wake, ambapo inadaiwa kuwa alikuwa mkewe Dj Brownskin. Ni muhimu kwa watu kuzingatia heshima na kutoingilia faragha za watu wengine, na kuhakikisha kwamba hawachukui hatua za kihalifu kama kumrekodi mtu bila ridhaa yake au kusambaza picha au video zake bila idhini. Tukio kama hilo ni janga kubwa na linapaswa kukemewa na jamii nzima
 
Msiwe wepesi kusahau.
Kumbukeni juzi yule Dada aliyesema ana Financial freedom sijui support.

Mtu kama yule hata ale mchongomana mbele ya Mumewe unafikiri ataokolewa.

Kuna wanaume wanapitia matesoo..wanavumilia tu.

Usicheze shilingi kwa tundu ya choo..kama.huna hela.
 
Huwezi kumzuia mtu kufa, hawa super woman mda wao wa kubembelezwa umekwisha ngoja siku zisonge tuone Nani mwanaume
Leo ndio umesema km mwanaume keep it up it's time for masculine now feminism must, Ila si-support aalichofanya DJ Brownskin kupelekea kifo cha mkewe kiasi hicho sio ubinadamu
 
Mshaambiwa ishini nao kwa akili, kama huna akili usioe!!

Tangu lini mwanaume na mwanamke wakawa na akili sawa??
Ukiwa na mke jua wewe ni baba yake, kaka yake nk kifupi wewe ni kiongozi wake wa kila kitu.
Huyo jamaa ni zezeta na nyote mnaomsupport dj akiwemo mpwayungu village wote ni mazezeta, huyo ni kama mwanao tu.

Jamaa lilivyo jinga likaacha dogo ashuhudie as if ni ushujaa dogo kuona mama yake akikata moto huku baba hajishughulishi na chochote!!
 
Back
Top Bottom