Aina 10 za wanawake wanaopendwa na wanaume

Aina 10 za wanawake wanaopendwa na wanaume

Na nyie wapenda vishudu sikuhizi kuna vishudu feki...... Unakionea kwenye nguo... Nguo ikitoka na kishudu kinapotea...... "Sasa sijui mtakuja na kigezo gani tena". Nawaza kwa masikitiko.
 
Na nyie wapenda vishudu sikuhizi kuna vishudu feki...... Unakionea kwenye nguo... Nguo ikitoka na kishudu kinapotea...... "Sasa sijui mtakuja na kigezo gani tena". Nawaza kwa masikitiko.
Iv unaujua ufahari wa kutembea mtaani na demu mwenye chura?
mm chumbani ata iwe flatscreen poa tu lakn tukiwa mtaan chura la haja liwepo
 
What if maamuzi yake yataitumbukiza familia shimoni?
As long as ushaongea na hasikilizi, omba msaada wa wazee wenu waongee nae juu ya mwenendo unaotilia shaka ustawi wa family. Itasaidia zaidi kuliko kuanzisha mtiti usio na maana! Works way better.
 
B. WAPENDA USAWA
Aina inayohitajika katika katika ulimwengu wa kimapenzi ni wanawake wanaoheshimu usawa wa jinsia, walio tayari kubeba majukumu ya kifamilia kwa ulinganifu sawa na wanaume, wenye uwezo wa kuongoza jamii kwa asilimia 50 kwa 50

CREDITS TO: Lukemusicfactory and Dodoma Clan

Kwa kundi hili you are very wrong. Usiombe kuwa na mwanamke wa sampuli hii. atakutawala by 100%.....wengi wao ni wanaharakati not material girlfriend or wife......publicity is their boyfriends/husbands
 
Wanaume wengi sasa hawajui wanachokitaka!
Unaweza ukawa na sifa zote hizo na wasikutake kisa huna Chura,
Wewe umesema ukweli rubii. Ningeweza kuwashauri wanaume kuwa kabla hawajaanza kutafuta mke wanayemtaka waanze kujitafuta kwanza wao wenyewe. A woman is like raw material inategemea utakavyomuweka.
 
na wakishakuona una misimamo wanaanza kukupakazia ohh umebadirika hukuwa hiv(hapa huwa wanasingiziwa sana sana marafki zako) blah blah kibaoo!
Nyinyi wa kibiti misimamo yenu hatareee
 
Wanataka kila wanachosema uitikie ndio mzee,mfano hata hapa jukwaa kauli zao tunaziona
Wanandoa hupaswa kusaidiana kwenye kila linalowakabili.....lakini wadada msisahau kuwa wanaume ndo nguzo za familia
 
Eee baba. Kitu kikubwa, et'eeh! Siyo mtu unakuwa na kitu halafu hakijai hata kiganjani! Teh teh teh.
c14e721d3c5e81aba3e6a2c302cc7e54.jpg
 
Sure, mwanaume by nature yuko juu, na ndio anapenda iwe hivyo. Ndio maana hata pamoja na juhudi za kuhangaika na haki sawa bado haijaweza kufanikiwa maana we'll be fighting nature.

Ngumu mnoo kumwambia mwanaume eti "leo zamu yako kuosha vyombo, au wahi nyumbani ukapike, uogeshe na watoto mie nitachelewa kurudi leo"!!! Hiyo bado sanaaa, sijui ni mwanaume gani atakuelewa kwakweli.
Huyo atakuwa bushoke pati tuu
 
Ukichunguza ni kweli kabisa hata wanawake walio wengi hawapendi mwanaume wa "ndio/sawa mama". Sijui ni nature au ndivyo tulivyoaminishwa na jamii zetu. Mwanaume lazima awe juu, ndio maana wanaume wanaoapply 50/50 mara nyingi huwa wanadharaulika(sio na mkewe tu bali hata jamii inayomzunguka). Ni wanawake wachache na wanaume wachache wanaoweza kukubaliana na hilo.
Anaekubali 50/50 ni Mume bwege+
 
Wanaume wengi sasa hawajui wanachokitaka!
Unaweza ukawa na sifa zote hizo na wasikutake kisa huna Chura,
Hahaaa Rubii,

Hizo chura ni mihemuko tu ya muda mfupi lakini siyo jwa kuweka ndani.
 
Back
Top Bottom