Aina 10 za wanawake wanaopendwa na wanaume

Aina 10 za wanawake wanaopendwa na wanaume

Acha kupotosha kina dada, ukwel wanaume hatupendi swala la usawa yaani 50 kwa 50 kwani ni kinyume hata na maagizo ya MUNGU... Mwanaume ana mamlaka makubwa zaidi kuliko m/mke na wanawake wanapenda mwanaume kiongozi wa familia sio bwabwa wa kutaka wagawane majukumu ya BABA(m/me) kuwa ya wote... take care brother.
Mkuu,nimegundua alianzisha hii thread si brother ni sister

Sent from my HUAWEI Y221-U22 using JamiiForums mobile app
 
Naunga mkono hoja wanawake mwamanamke mwenye sifa moja kati ya hizo siku nikimpata naweka ndani kbsa

Send from my IPhone 6 using Jamii forum mobile app
 
Wanaume wa Tanzania au wanaume wa wapi?

Maana msije kukopi kwenye vijarida vya watu halafu mkatafsiri Kiswahili halafu mkawabandika wanamume wa Tanzania tabia zisizo zao bureee.

Ukianza na sababu ya kwanza tu, mwanamke mwenye msimamo ni tatizo katika jamii ya Tanzania.

Labda kama msimamo wake ni kumpenda mwanamme na kumsikiliza kwa kila kitu.
Hahahaaa leo kuna vituko humu hahaha so usawa kwa mwanamke wa kitz ni dhoruba na kiburi ndani ya nyumba let us be as old days
 
Wanaume wa Tanzania au wanaume wa wapi?

Maana msije kukopi kwenye vijarida vya watu halafu mkatafsiri Kiswahili halafu mkawabandika wanamume wa Tanzania tabia zisizo zao bureee.

Ukianza na sababu ya kwanza tu, mwanamke mwenye msimamo ni tatizo katika jamii ya Tanzania.

Labda kama msimamo wake ni kumpenda mwanamme na kumsikiliza kwa kila kitu.
Haswaa, huo ndio msimamo unaotakiwa mzee baba. Mwanamke mwenye committment kwa lugha ya kigeni, aweze kutunza heshima ya mumewe sio akiwa alone anacheat kipuuzi au anadanganyika kizembe!
 
kwenye kupenda usawa hapo
hakuna mwanaume anapenda mwanamke atakae taka wagawane majukumu maana hiyo 50 50 ndio ile ukiwahi nyumbani unapika
ukichelewa amka unatandika
nguo osha zako
Apo naona mtoa mada alikula mueleka kidogo, mie mwanamke nataka afanye yaleyale ambayo mama alimfanyia baba hapo ndio ntaridhika. Na huo ndio usawa naoutaka
 
Back
Top Bottom