Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 52,042
- 126,057
Kweli kabisa BAK.Naam vilaza wasiojua haki zao, ambao ni rahisi kuburuzwa. Ni mama wa nyumbani hana ajira anaogopa akiachwa ataishi vipi wakati hana kipato.
Kweli kabisa BAK.Naam vilaza wasiojua haki zao, ambao ni rahisi kuburuzwa. Ni mama wa nyumbani hana ajira anaogopa akiachwa ataishi vipi wakati hana kipato.
Kweli kabisa BAK.
Unaweza sema labda lengo lao ni kupata walinzi mana anajua 24/7 atakuwa nyumbani na hana pa kwenda mana hai ingii akilini. Na pia anajua hatakuwa na ubavu wa kumuhoji chochote na anajua mke wake zake zitakuwa ni ndio tu.Mie huwa nashangaa sana kumkuta mtu ana Phd anataka kwenda kuoa darasa la saba.
Wanaume wengi sasa hawajui wanachokitaka!
Unaweza ukawa na sifa zote hizo na wasikutake kisa huna Chura,
Unaweza sema labda lengo lao ni kupata walinzi mana anajua 24/7 atakuwa nyumbani na hana pa kwenda mana hai ingii akilini. Na pia anajua hatakuwa na ubavu wa kumuhoji chochote na anajua mke wake zake zitakuwa ni ndio tu.
Ila baadhi ya wanaume mungu anawaona aisee.Kabisa aisee, na ndoa za hivi huwa hakuna majadiliano ya mke na mume kwa faida ya familia ni orders tu mbele kwa mbele hata kama hizo orders hazina tija kwa familia husika.
Ila baadhi ya wanaume mungu anawaona aisee.
Sawa hivyo ikiwa baadhi yetu ni pasua kichwa kilicho bora ni kutunyima haki ya kuzungumza ndani ya nyumba.Hili lipo pande zote Emmyta, wanawake wengine nao ni pasua kichwa.
Sawa hivyo ikiwa baadhi yetu ni pasua kichwa kilicho bora ni kutunyima haki ya kuzungumza ndani ya nyumba.
Haya bana. [emoji2] [emoji2]Hilo mimi la kuwa dikteta ndani ya ndoa mimi siliungi mkono lakini kuna visa humu vya waliomo kwenye ndoa wake na waume mpaka vinakuacha mdomo wazi.
Haya bana. [emoji2] [emoji2]
Ila inabidi kuvizowea.
H. MARIDADI(Warembo)
Kundi lingine la wanawake wanaopendwa na wanaume ni wanaozingatia usafi na kujiremba. Wanaokwenda na wakati katika mavazi na mvuto wa nje lakini pia ni waelewa wa mazingira, si washamba. Wanapendeza kwa mwonekano.
Hahaaa. Uoga wako tu [emoji124] [emoji124]Mh! ni shida kuvizoea aisee, unaweza kurukwa na akili lol! hahahahahahaha.
Hahaaa. Uoga wako tu [emoji124] [emoji124]
Basi punguza kushangaa na weye. [emoji12] Mana wenyewe wanasema dunia ni uwanja wa fujo kila mwenye ngoma yake na acheze.hahahahahaha eti uoga wa BAK tu, si muoga miye 🙂🙂🙂 ila mengine yanayoandikwa humu yananishangaza sana na haya ni kiduchu tu. Ila wapo ambao wametulizana kama maji ya mtungini.
Basi punguza kushangaa na weye. [emoji12] Mana wenyewe wanasema dunia ni uwanja wa fujo kila mwenye ngoma yake na acheze.
Sawa nimekusikia ngoja BAK aanze kuicheza ngoma yake. 😛😛😛
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sio kwa kunichekesha na kunikumbusha mbali hivyo. Lol.
Haya wacha nami nije tucheze wote ngoma yako. [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Karibu sana Emmyta, lakini kwanza niambie nimekukumbusha wapi? Mtaa wa saba au Masiwani?