Aina 10 za wanawake wanaopendwa na wanaume

Aina 10 za wanawake wanaopendwa na wanaume

Hakuna post, nauliza tu.

Kwa maana nyingine, where do you draw the line between a man being overly weak on the one hand, being rightfully assertive in the middle and being out and out abusive on the far hand?

Mwanamme mwingine akisikia unasema yeye awe juu anaona ndiyo umempa leseni ya kuwa abusive.

Akirudi tu "We mwanamkeee, ukowapi, maji ya kuoga ushanichemshia? Mwanamme nimetoka kazini usifanye kulala lala hapa lazima ufanye kama mwanamke anavyotakiwa".

Na unatakiwa ujibu "Hewalla bwana sayyid yangu kipenzi"

Hapo vipi?
Hapo umemaanisha dikteta...Mwanaume anaemheshimu mkewe hawezi kuropokwa hivyo kwa kumuamrisha kama mtumwa wake
 
A. Wako wachache sana japo ki ukweli ukijenga familia na huyo, mwanaume hauna presha kabisa
 
hahhaaha nawaamni saaaaaaaaaaaaaana! we kitu gan knakufanya usiwaamin?tafit zao huwa sahihi kbs! teh teh! hapana bwana hyo nimeikisia mm tu



bdw! ww umeoa?na kama ndio ni shughui gan unamsaidia mkeo?
 
hahhaaha nawaamni saaaaaaaaaaaaaana! we kitu gan knakufanya usiwaamin?tafit zao huwa sahihi kbs! teh teh! hapana bwana hyo nimeikisia mm tu
Hawa watu sijawahi kuwaamini sijui kwa nini, na pia nashangaa mnaowaamini mnatumia mbinu gani kuwaamini.
 
Kwa kundi hili you are very wrong. Usiombe kuwa na mwanamke wa sampuli hii. atakutawala by 100%.....wengi wao ni wanaharakati not material girlfriend or wife......publicity is their boyfriends/husbands
kumbe ee
 
As long as ushaongea na hasikilizi, omba msaada wa wazee wenu waongee nae juu ya mwenendo unaotilia shaka ustawi wa family. Itasaidia zaidi kuliko kuanzisha mtiti usio na maana! Works way better.
Hii habari ya kufuata wazee kwa kila tatizo linalowakabili noma sana, bora basi uolewe na wazee ujue moja kuwa umeolewa na mtu aliekua.
 
Acha kupotosha kina dada, ukwel wanaume hatupendi swala la usawa yaani 50 kwa 50 kwani ni kinyume hata na maagizo ya MUNGU... Mwanaume ana mamlaka makubwa zaidi kuliko m/mke na wanawake wanapenda mwanaume kiongozi wa familia sio bwabwa wa kutaka wagawane majukumu ya BABA(m/me) kuwa ya wote... take care brother.
 
Hii habari ya kufuata wazee kwa kila tatizo linalowakabili noma sana, bora basi uolewe na wazee ujue moja kuwa umeolewa na mtu aliekua.
Hahahah ndio utaratibu huwezi ku bypass
 
Hii habari ya kufuata wazee kwa kila tatizo linalowakabili noma sana, bora basi uolewe na wazee ujue moja kuwa umeolewa na mtu aliekua.


hahahaha espy hata mm sipend kwakwel binafs unawaumiza tu hisia zao!
 
Back
Top Bottom