Inawezekana anatafuta wa pili kusaidiana na bi mkubwa, au hufagilii mitala?
Kizuri ule na nduguyo atii, au ?
wadau watujibuSwali zuri.
Wewe hutakikupendwa na mumeo na bi mkubwa pia?Eeet eeh!!
mbona wewe chura yako inafitWanaume wengi sasa hawajui wanachokitaka!
Unaweza ukawa na sifa zote hizo na wasikutake kisa huna Chura,
Haki zibaki katika mambo ya msingi mfano, kujiendeleza kielimu, uhuru wa kutoa mawazo yako, kuhusiana na marafiki na zenye kufanana na hayo. Ila usawa hauwezi kuwa katika kila jambo. Hatuwezi kuwa sawa katika majukumu yote. Hata jinsi tunavyoingia kwenye mahusiano mpaka kwenye ndoa kuna utofauti mkubwaHawakawii kusema tunajifanya vichwa vya familia kumbe saa nyingine hatutaki kuburuzwa pasi kuwa na sababu za msingi
Hahahahaaaaa aiseeehWanaume wengi sasa hawajui wanachokitaka!
Unaweza ukawa na sifa zote hizo na wasikutake kisa huna Chura,
Hii iloileta ni kesi mzee baba tulia hapo uone wanavyojiteteaOhooo..chura tena...lakini sio wote ee..eti..?
Wapo.Wenye sifa hizo tz hii sidhani kama wapo.
ahahaha sawaHii iloileta ni kesi mzee baba tulia hapo uone wanavyojitetea
Sure, mwanaume by nature yuko juu, na ndio anapenda iwe hivyo. Ndio maana hata pamoja na juhudi za kuhangaika na haki sawa bado haijaweza kufanikiwa maana we'll be fighting nature.Ninavyoisoma zaidi, imeandikwa kama kejeli.
Hata Wamarekani hawajafikia huku.
Huu ni usanii.
Ukiona imeandikwa "wanaume wanapenda wanawake wanaopenda usawa", soma "wanaume hawapendi wanawake wanaopenda usawa".
Hapo kikwetu utaelewa.
Ndiyo maana ninayoweza kuiona.
Exceptions ni C,G,H,I na J
[emoji23] [emoji23] [emoji23] KBS mpedwa umejuajeWanaume wengi sasa hawajui wanachokitaka!
Unaweza ukawa na sifa zote hizo na wasikutake kisa huna Chura,