Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 53,261
- 72,431
- Thread starter
- #181
source ya habari mkuu (blog)Mkuu pale mwsho wa thread umeweka wadhamini wa uzi au ni akina nani
source ya habari mkuu (blog)Mkuu pale mwsho wa thread umeweka wadhamini wa uzi au ni akina nani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaan wanawake wa kizazi hiki walivyo na akili za kuambiwa sasa hivi wataanza kutuigizia hizo tabia
[emoji23][emoji23][emoji23]haiwezekani...sasa nijireply mwenyewe?Joseverest, kumbe kinyozi hajinyoi nikajua utakua first to reply wewe mwenyewe kwenye thread yk
Nakosa hata jibu la moja kwa moja mkuuNdio inaitwaje hiyo?
Haaaah haaaaah mbavu zangu mie!Wanaume wengi sasa hawajui wanachokitaka!
Unaweza ukawa na sifa zote hizo na wasikutake kisa huna Chura,
Kwa kweli kama chura haipo pita hivi!![emoji53][emoji53]
Kama unayo F nipo tayar kutangaza ndoa kabisa kwakwel
Hata mimi navutiwa na mwanamke mwenye chura.
Siku nikibalehe nikianza kutafuta mwenza nitamtafuta mwenye sifa alizotoa Joseverest plus awe na chura kidogo.
Sio unyonge, ni kuwa submissive tu...Huwa wanataka wale wanyonge wasio jua na kuogopa kukosoa eti kisa wataonekana hawana heshima kwa waume wao.
Toa suggestion then acha mwanaume afanye maamuzi sio ulazimishie lako ndio lifanyike. inaboa, A man has to lead usimpangie jinsi ya kuongoza!Hayo yalikuwa zamani ila kwa sasa penye kukosoana ni lazima mana mwisho wa siku mnaweza kupotea na hakuna wa kumrudisha mwenzie kwenye mstari kutokana na uoga.
What if maamuzi yake yataitumbukiza familia shimoni?Toa suggestion then acha mwanaume afanye maamuzi sio ulazimishie lako ndio lifanyike. inaboa, A man has to lead usimpangie jinsi ya kuongoza!
Huwa wanataka wale wanyonge wasio jua na kuogopa kukosoa eti kisa wataonekana hawana heshima kwa waume wao.
Embu tanganza nionee