JAMANI WADAU MIMI KAMA MTANZANIA KUNA SUALA LILINISHANGAZA sANA BAADA YA KUFIKA AIRPORT YETU TUNAYOIITA INTERNATION AIRPORT WAKATI NASUBIRI MDA WA FLIGHT YANGU UFIKE,NILIBANWA NA HAJA NDOGO,, SIKUWAI KUINGIA TOILET ZA HAPO KABLA,,BASI NILIYOYAKUTA MMMMHH JAMANI NI SUALA LA TOILET ZA ABIRIA ...JAMAN HEBU MAMBO MENGINE TUWE NAYO MAKINI TOILET HAINA HATA TOILET PAPER,FLASH ZIMEKUFA JAMANI KAMA KUNA WADAU WAPO KARIBU NA HAO WATU PLZ WAPEWE TAARIFA KWANN HATUWI MAKINI LAKINI ISIWE KAMA YA UWANJA WA TAIFA VYOO VIMEZIBA UTAFIKIRI MASHABIKI WANAINGIA BURE NI HAYO TU
Umeenda airport kun.ya au kusubiri usafiri? After all, mara ngapi umeshatumia vyoo hivyo ukakuta toilet paper hakuna?
Umeenda airport kun.ya au kusubiri usafiri? After all, mara ngapi umeshatumia vyoo hivyo ukakuta toilet paper hakuna?
Umeenda airport kun.ya au kusubiri usafiri? After all, mara ngapi umeshatumia vyoo hivyo ukakuta toilet paper hakuna?
Umeenda airport kun.ya au kusubiri usafiri? After all, mara ngapi umeshatumia vyoo hivyo ukakuta toilet paper hakuna?
Kwani kwako mabomba huwa hayazibi?
Umeenda airport kun.ya au kusubiri usafiri? After all, mara ngapi umeshatumia vyoo hivyo ukakuta toilet paper hakuna?
Watanzania wengi wanawaza kama wewe.ukipewa kazi fanyakazi kwa ufanisi mkubwa.of all the places toilets zinatakiwa kuwa safi kila wakati mwaka mzima.unajua watu wengi wanapewa kazi sehemu nyeti bila kujua uwezo wao.Aibu gani tunapata kwa wageni kutoka Nchi za wenzetu.
Halafu ni bora angepiga picha huo uchafu kuliko kuongea bila ushahidi,JNIA kuna wafanya usafi ambao wapo uwanjani masaa 24 na wanafanya kazi yao.Inawezekana ilikuwa bahati mbaya but ni tofauti na huyo mleta mada alivyosemaUsichukulie vitu kirahisi rahisi. Huyo mleta mada anaongelea JNIA maana ameweka picha yake. Mimi natumia uwanja huo twice a month na sijawahi kuona hicho kinachoongelewa. Kama ilitokea basi lilikuwa ni tatizo la siku moja. Mnataka wawawekee na sambusa chooni?
Halafu ni bora angepiga picha huo uchafu kuliko kuongea bila ushahidi,JNIA kuna wafanya usafi ambao wapo uwanjani masaa 24 na wanafanya kazi yao.Inawezekana ilikuwa bahati mbaya but ni tofauti na huyo mleta mada alivyosema