Aibu airport

Aibu airport

kwa mara zote ninazoenda hua nakuta visafi sijui imekuwaje kwako
 
halafu kitu cha Publlic usikute baadhi ya wabongo wanahamisha hadi Toilet paper
 
Vyoo hapo airport ni vichafu banaa hii sio rocket sayansi hio...na wanaotetea uchafu huu ukute hawajawahi kusafiri wakaona international airport za wenzetu...kwenda chooni ni starehe banaa lazima pawe pasafi ...tutake tusitake vyoo vya airport ya bongo vinatia aibu period!!!! ndo maana ndege zinazotoka huko lazima jamaa wapulizie mizigo dawa wanaogopa maambukizi kutokana na vyoo kama hivyo..
 
olivatambo int'nal airpot niliikubali kulinganisha na hiki cha kwetu hatupo makini na kazi.
 
JAMANI WADAU MIMI KAMA MTANZANIA KUNA SUALA LILINISHANGAZA sANA BAADA YA KUFIKA AIRPORT YETU TUNAYOIITA INTERNATION AIRPORT WAKATI NASUBIRI MDA WA FLIGHT YANGU UFIKE,NILIBANWA NA HAJA NDOGO,, SIKUWAI KUINGIA TOILET ZA HAPO KABLA,,BASI NILIYOYAKUTA MMMMHH JAMANI NI SUALA LA TOILET ZA ABIRIA ...JAMAN HEBU MAMBO MENGINE TUWE NAYO MAKINI TOILET HAINA HATA TOILET PAPER,FLASH ZIMEKUFA JAMANI KAMA KUNA WADAU WAPO KARIBU NA HAO WATU PLZ WAPEWE TAARIFA KWANN HATUWI MAKINI LAKINI ISIWE KAMA YA UWANJA WA TAIFA VYOO VIMEZIBA UTAFIKIRI MASHABIKI WANAINGIA BURE NI HAYO TU
Nafikiri msisitizo uwe kwa wasafiri zaidi yaani ni waharibifu mno kuanzia matumizi ya karatasi choo na vifungo vya kuflash,abiria matata bwana mpaka watu wanachoka kufanya maintenance mara kwa mara!
 
nafikiri msisitizo uwe kwa wasafiri zaidi yaani ni waharibifu mno kuanzia matumizi ya karatasi choo na vifungo vya kuflash,abiria matata bwana mpaka watu wanachoka kufanya maintenance mara kwa mara!
kama matatizo ni ya wasafiri how about other airports???huko hakuna wasafiri???ni wabongo wazembe tuu kila kitu ni kulalamika na kuhamishia lawama kwa serikali na rais kumbe matatizo watu wenyewe hawafanyi kazi zao vizuri....it can be done play ur part...
 
kama matatizo ni ya wasafiri how about other airports???huko hakuna wasafiri???ni wabongo wazembe tuu kila kitu ni kulalamika na kuhamishia lawama kwa serikali na rais kumbe matatizo watu wenyewe hawafanyi kazi zao vizuri....it can be done play ur part...

you have a point there matey!i take back my comment!
 
Mleta mada big up sana endelea ivyoivyo kuibua uozo mtu ambaye hajafika kwenye ivyo vyoo ndo atashadadia ,ni kweli mtupu vichafuuuuu na vinanuka sasa huyo mtu anayejiita police huenda ana ndugu yake aliyepewa tenda ya usafi sasa kaona huena kibarua kikaota nyasi ndo mana povu linamtoka atakosa msaada!chezea life wewe!,,,,,,,,,,........eti kuna vya wageni na wenyeji hopeless kabisa so sisi tuingie vichafu sio?na ungeona vya kike ndo ungeshangaa kabisa eti international airport!
 











JAMANI WADAU MIMI KAMA MTANZANIA KUNA SUALA LILINISHANGAZA sANA BAADA YA KUFIKA AIRPORT YETU TUNAYOIITA INTERNATION AIRPORT WAKATI NASUBIRI MDA WA FLIGHT YANGU UFIKE,NILIBANWA NA HAJA NDOGO,, SIKUWAI KUINGIA TOILET ZA HAPO KABLA,,BASI NILIYOYAKUTA MMMMHH JAMANI NI SUALA LA TOILET ZA ABIRIA ...JAMAN HEBU MAMBO MENGINE TUWE NAYO MAKINI TOILET HAINA HATA TOILET PAPER,FLASH ZIMEKUFA JAMANI KAMA KUNA WADAU WAPO KARIBU NA HAO WATU PLZ WAPEWE TAARIFA KWANN HATUWI MAKINI LAKINI ISIWE KAMA YA UWANJA WA TAIFA VYOO VIMEZIBA UTAFIKIRI MASHABIKI WANAINGIA BURE NI HAYO TU
 
JAMANI WADAU MIMI KAMA MTANZANIA KUNA SUALA LILINISHANGAZA sANA BAADA YA KUFIKA AIRPORT YETU TUNAYOIITA INTERNATION AIRPORT WAKATI NASUBIRI MDA WA FLIGHT YANGU UFIKE,NILIBANWA NA HAJA NDOGO,, SIKUWAI KUINGIA TOILET ZA HAPO KABLA,,BASI NILIYOYAKUTA MMMMHH JAMANI NI SUALA LA TOILET ZA ABIRIA ...JAMAN HEBU MAMBO MENGINE TUWE NAYO MAKINI TOILET HAINA HATA TOILET PAPER,FLASH ZIMEKUFA JAMANI KAMA KUNA WADAU WAPO KARIBU NA HAO WATU PLZ WAPEWE TAARIFA KWANN HATUWI MAKINI LAKINI ISIWE KAMA YA UWANJA WA TAIFA VYOO VIMEZIBA UTAFIKIRI MASHABIKI WANAINGIA BURE NI HAYO TU

Playboy, uzi wako ni somo tosha kwa wahusika kupitia JF. Inasikitisha kuona kuna watu badala ya kuujadili uzi huu kwa manufaa ya wanajamii, wanafanya masihara kwa kutoa majibu mepesi na kubeza! Inatia aibu kwa vyoo vya JK International Airport au uwanja wa Taifa kuwa vichafu au kuziba na kuachwa kwa muda mrefu bila matengenezo!

Wanaosababisha vyoo hivyo kuziba,kuwa vichafu na kukosa vitu kama toilet papers na sabuni ni watanzania wanaovitumia vyoo hivyo bila ustaarabu! Watu wanaingia kujisaidia na kisha hubeba kama siyo kuiba toilet papers au sabuni na kuondoka nazo! Wakati mwingine hutupa matambala au pedi zilizotumika na kusababisha vyoo kuziba!

Wezi nao huingia katika vyoo hivyo nakuiba cock za bomba na kusababisha maji kumwagika hovyo! Kwa hiyo mamlaka husika zinapaswa kufanya ukaguzi wa mara kwa mara sehemu hizo na kufanya matengenezo au kuweka vitu kama toilet papers na sabuni pindi vitu hivyo vinapoisha,ili kuiepusha jamii na magonjwa pamoja na aibu toka kwa wageni!
 
Umeenda airport kun.ya au kusubiri usafiri? After all, mara ngapi umeshatumia vyoo hivyo ukakuta toilet paper hakuna?

Kwani kwako mabomba huwa hayazibi?

Kwa nini unaleta mambo ya kijuha wakati watu wapo serious, ni better ukaacha kuchangia kuliko kuongea c.rap, watu wanaongea vitu vya maana unaleta upuuzi eti umeenda Airport kunya au kusafiri, st,upid!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom