Aibu airport

Aibu airport

JAMANI WADAU MIMI KAMA MTANZANIA KUNA SUALA LILINISHANGAZA sANA BAADA YA KUFIKA AIRPORT YETU TUNAYOIITA INTERNATION AIRPORT WAKATI NASUBIRI MDA WA FLIGHT YANGU UFIKE,NILIBANWA NA HAJA NDOGO,, SIKUWAI KUINGIA TOILET ZA HAPO KABLA,,BASI NILIYOYAKUTA MMMMHH JAMANI NI SUALA LA TOILET ZA ABIRIA ...JAMAN HEBU MAMBO MENGINE TUWE NAYO MAKINI TOILET HAINA HATA TOILET PAPER,FLASH ZIMEKUFA JAMANI KAMA KUNA WADAU WAPO KARIBU NA HAO WATU PLZ WAPEWE TAARIFA KWANN HATUWI MAKINI LAKINI ISIWE KAMA YA UWANJA WA TAIFA VYOO VIMEZIBA UTAFIKIRI MASHABIKI WANAINGIA BURE NI HAYO TU

Shukraani nyingi Mkuu, Walau mwenzetu umekuwa na moyo wakusema haki na UKWELI, Malipo mema kwako.
Jameenii tuwe na moyo na jukumuu la kuwajibika katika kazi zetu. Kwa nini hatupendi kuambiwa au kuonyeshwa makosa yetu au upungufu wa kazi tuzifanyazo? Samahani kusema waTanzania wengi "Baadhi yetu ni wazembe na wafujaji kazini"
Niweeniradhi hapo ndiyo tatizo kubwa. hakuna ufuatiliaji. tubadilike kiutendaji tutafika tu.
 
Aibu sana. Jamaa wanachukua 1000 kama ushuru kwa kila gari inayoingia kwa lisaa limoja. JNIA hawajafanya kitu cha maana kwa mda mrefu kuboresha hali ya uwanja. Siasa zinazidi kuharibu the so called "international airport"
Enewei, labda rasimu ya katiba imechangia. #Whoknows
 
Ulitakiwa uweke picha ya hicho choo sio majengo ya airport
 
Umeenda airport kun.ya au kusubiri usafiri? After all, mara ngapi umeshatumia vyoo hivyo ukakuta toilet paper hakuna?

Ameshakwambia kwenda vyooni ndio mara yake ya kwanza,! Mbona mmekuwa wagumu kuelewa! Na pia huduma kama hizo ni lazima ziwepo katika sehem kama hizo ukizingatia kwamba unaenda kusafiri tu
 
JAMANI WADAU MIMI KAMA MTANZANIA KUNA SUALA LILINISHANGAZA sANA BAADA YA KUFIKA AIRPORT YETU TUNAYOIITA INTERNATION AIRPORT WAKATI NASUBIRI MDA WA FLIGHT YANGU UFIKE,NILIBANWA NA HAJA NDOGO,, SIKUWAI KUINGIA TOILET ZA HAPO KABLA,,BASI NILIYOYAKUTA MMMMHH JAMANI NI SUALA LA TOILET ZA ABIRIA ...JAMAN HEBU MAMBO MENGINE TUWE NAYO MAKINI TOILET HAINA HATA TOILET PAPER,FLASH ZIMEKUFA JAMANI KAMA KUNA WADAU WAPO KARIBU NA HAO WATU PLZ WAPEWE TAARIFA KWANN HATUWI MAKINI LAKINI ISIWE KAMA YA UWANJA WA TAIFA VYOO VIMEZIBA UTAFIKIRI MASHABIKI WANAINGIA BURE NI HAYO TU

Kwa uandishi huu nadhani tofauti ya uwezo wako wa kufikiri na Mamlaka ya Viwanja vya Ndege ni ndogo sana...! SoB
 
Ameshakwambia kwenda vyooni ndio mara yake ya kwanza,! Mbona mmekuwa wagumu kuelewa! Na pia huduma kama hizo ni lazima ziwepo katika sehem kama hizo ukizingatia kwamba unaenda kusafiri tu

Hata sisi pia tunasafiri na tunavijua vyoo vya airport. Dosari ya siku moja au muda mchache isifanye kuponda kiasi hicho. Kumbuka pia kuwa toilet paper ni consumables, inatumika na kuisha hivyo inabidi kuwa replaced
 
Hata sisi pia tunasafiri na tunavijua vyoo vya airport. Dosari ya siku moja au muda mchache isifanye kuponda kiasi hicho. Kumbuka pia kuwa toilet paper ni consumables, inatumika na kuisha hivyo inabidi kuwa replaced

basi ndo imembidi afikishe jukwaani ili wadau wanaojua au waliopo karibu na hapo, sio majibu hayo unayompa
 
JAMANI WADAU MIMI KAMA MTANZANIA KUNA SUALA LILINISHANGAZA sANA BAADA YA KUFIKA AIRPORT YETU TUNAYOIITA INTERNATION AIRPORT WAKATI NASUBIRI MDA WA FLIGHT YANGU UFIKE,NILIBANWA NA HAJA NDOGO,, SIKUWAI KUINGIA TOILET ZA HAPO KABLA,,BASI NILIYOYAKUTA MMMMHH JAMANI NI SUALA LA TOILET ZA ABIRIA ...JAMAN HEBU MAMBO MENGINE TUWE NAYO MAKINI TOILET HAINA HATA TOILET PAPER,FLASH ZIMEKUFA JAMANI KAMA KUNA WADAU WAPO KARIBU NA HAO WATU PLZ WAPEWE TAARIFA KWANN HATUWI MAKINI LAKINI ISIWE KAMA YA UWANJA WA TAIFA VYOO VIMEZIBA UTAFIKIRI MASHABIKI WANAINGIA BURE NI HAYO TU

ohh kumbe first tym ndo maana ila huwa vinadafishwa sana tu labda ulienda siku ya mgomo
 
Umeenda airport kun.ya au kusubiri usafiri? After all, mara ngapi umeshatumia vyoo hivyo ukakuta toilet paper hakuna?

Kwani kwako mabomba huwa hayazibi?

umeua mkuu. wajifunze sio kila kitu kuponda tu

NO bhana! that is business bhana! life is business! sio wafanye masikhara hata pa kujisaidia haja ndogo! au ndo tunasubiri mwekezaji aje awekeze toilet paper na flashing system ya chooni! shame upon us!
 
Kwani kwako mabomba huwa hayazibi?
usilete habari ambazo hazina tija kwenye dunia ya biashara .....cha muhimu TAA warekebishe mambo ambayo hayajakaa vizuri kama hizo Toilet na ziwe zina mvuto na harufu nzuri, AIC zinavuja na hazitoi ubaridi

mimi binafsi bananibore kiukweli
 
Ameshakwambia kwenda vyooni ndio mara yake ya kwanza,! Mbona mmekuwa wagumu kuelewa! Na pia huduma kama hizo ni lazima ziwepo katika sehem kama hizo ukizingatia kwamba unaenda kusafiri tu

mara kibao hamna toilet paper na maji hayatoki na harufu mbaya
 
NO bhana! that is business bhana! life is business! sio wafanye masikhara hata pa kujisaidia haja ndogo! au ndo tunasubiri mwekezaji aje awekeze toilet paper na flashing system ya chooni! shame upon us!

BUHABU .....Huna jipya na nina wasiwasi na utendaji wako wa kazi kwenye ofisi yako
 
Ulitakiwa uweke picha ya hicho choo sio majengo ya airport

04032010(001).jpg
 
usilete habari ambazo hazina tija kwenye dunia ya biashara .....cha muhimu TAA warekebishe mambo ambayo hayajakaa vizuri kama hizo Toilet na ziwe zina mvuto na harufu nzuri, AIC zinavuja na hazitoi ubaridi

mimi binafsi bananibore kiukweli

NO bhana! that is business bhana! life is business! sio wafanye masikhara hata pa kujisaidia haja ndogo! au ndo tunasubiri mwekezaji aje awekeze toilet paper na flashing system ya chooni! shame upon us!

BUHABU .....Huna jipya na nina wasiwasi na utendaji wako wa kazi kwenye ofisi yako

tofauti yetu nini I have a dream, mbona sioni tofauti ya mawazo yangu na yako! BUHABU ni tusi ama sijaelewa nifafanulie mkuu!
 
Last edited by a moderator:
oooh....bwoy......

cc....TAA.....
 
Wewe ndiyo juha. Mtu mmoja anaibuka na kuleta umbeya wake halafu unakaa unashabikia
Hakuna umbeya, vyoo vya airport ni vichafu, vinanuka na ile sabuni wanayotumia inanuka na ni locally made chini ya viwango, mambo ya rushwa kwenye mikataba ya usafi

ficha pumbavu wako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom