Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,773
- 5,931
Ni agizo alilolitoa mapema mwaka huu baada ya kuapishwa kuwa watuhumiwa wa makosa ya jinai mahakama za mwanzo waww wanajidhamini wenyewe
Tatizo limekuja kuwa gumu baada ya wanaojidhamini mahakamani kutorudi tena na kutokomea kusikojulikana.
Ingawa alielekeza kuwa kesi ziendelee upande mmoja na baada ya kufungwa Polisi iwakamate hao wafungwa waliotoroka. Je hii itawezekana?
PolisiTz wapo hoi taabani
Tatizo limekuja kuwa gumu baada ya wanaojidhamini mahakamani kutorudi tena na kutokomea kusikojulikana.
Ingawa alielekeza kuwa kesi ziendelee upande mmoja na baada ya kufungwa Polisi iwakamate hao wafungwa waliotoroka. Je hii itawezekana?
PolisiTz wapo hoi taabani