george

George Papagheorghe (born 22 June 1982, in Constanța) a.k.a. Jorge and at times GEØRGE is a Romanian singer, dancer and TV host, specially for the talent competition România dansează on Antena 1 starting 2013.

View More On Wikipedia.org
  1. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Huyu billionea george soros ni nani haswa? Mtu anaesadikika kufadhili kampeni za kusambaza maudhui ya kishoga duniani kwa kununua haki za televisheni

    Namuona huyu mtu akitajwa sana kwenye maandamano ya kumpinga trump, maandamano ya upinde na maandamano ya free palestine. Mwenye moja mbili tatu zake anishtue
  2. Streetot

    JamiiForums Tanzania Being Real George Accuses Apostle Arome Osayi of Contradictions in His Sermons

    Breaking News: Apostle Arome Osayi Under Fire as Being Real George Alleges Contradictions in Sermons Tuesday, April 28, 2026 FCT, Abuja – Nigeria A growing online controversy has erupted around Nigerian cleric Apostle Arome Osayi, following claims of inconsistencies in his past sermons. The...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Bishop George John: Watumishi wanaoomba Rais afe watakufa wao, yeye atadunda

    Bishop George John ameongea hayo katika mkutano uliowakutanisha viongozi wa dini na kutoa onyo kwa watu wanaaomba Rais afe kwani kitu kama hicho hakiwezi kutokea, na badala yake watakufa wao.
  4. R

    JamiiForums Tanzania Askofu George John: Wote mnaomlaani na kumtakia mabaya Rais Samia haiwezi kumpata

    Wakuu, Askofu kalambishwa asali :Alien: "Kwa wale wote wanaotamka mabaya juu ya Rais, sikia: Hakuna neno lolote kwenye Biblia linalosema unaweza kumtamkia Rais neno lolote, wala kumlaani kwa jambo lolote, haiwezi kumpata. Haimpati! Jambo lolote baya halimpati Rais. Sasa kwa wale ambao...
  5. Keyboard_Warrior

    JamiiForums Tanzania George Galloway: Askari 173 wa Marekani kutoka katika kikosi cha Delta force wametekwa na Iran

    George Galloway anasema askari 173 kutoka katika kikosi hatari cha Delta force wametekwa na Jeshi la Iran.
  6. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Governer George Natembeya Wins Big: Court Yatupilia Mbali Charges, Apewa Sh2.5M for Rights Violation”

    High Court imetupilia mbali kesi ya ufisadi dhidi ya Gavana wa Trans Nzoia, George Natembeya, ikisema uchunguzi uliofanywa ulikiuka katiba. Justice Bahati Mwamuye aliamua kuwa maafisa wa Ethics and Anti-Corruption Commission walikiuka haki za gavana wakati wa kumkamata, hasa kwa kumkatalia...
  7. Twilumba

    JamiiForums Tanzania Silaha inayonyanyuliwa dhidi ya raia asiye na hatia huanzisha laana ya kizazi-Simulizi kuhusu Kijana George Chipeta

    Siku ya 29 Oktoba 2025 ilianza kama siku nyingine ya kawaida kwa George Chipeta, fundi wa umeme wa magari anayejitafutia riziki kwa jasho la mikono yake. Asubuhi hiyo alichukua pikipiki yake mwenyewe, akaondoka Vingunguti, akavuka daraja kuelekea Tabata kufuata spare ya mteja. Aliipata spare...
  8. Think2

    JamiiForums Tanzania Huyu ni George aliyepigwa risasi Gongo la Mboto

    Kijana akieleza kwa machungu kisa kilichumpata hadi kukatwa mguu wake alipigwa risasi akiwa maeneo ya gongo la mboto kisha kapelekwa hospital na kukatwa mguu alikuwa na pikipiki polisi waliondoka nayo hadi leo hajui pikipiki yake ilipo. Wamemyia ukilema kijana wa watu hawezi tena kufanya kazi...
  9. kibori nangai

    JamiiForums Tanzania Simbachawenye George shwaaaaaa

    Wahuni hawana mdaaa As well as huuelekeee kuwa karibu nao na huendani na matarajio yao Shwaaaaaaaaa. Wewe sio chawa. Shwaaaaaaaaaa. Eti huyu dogo katambi ana misuli ya kutosha wizara mambo ya ndanii Eeeeee makubwaaa Ninachoona Katambi ni KACHERO ASEEE,MKUBWA
  10. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Ushaidi wa Afande George katika kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu dhidi ya Jamhuri

    Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu imeendelea tena leo, Jumatatu Oktoba 06.2025 kwenye Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam chini ya jopo la Majaji watatu (3) wakiongozwa na Jaji Danstan Ndunguru Kesi hiyo...
  11. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa zamani wa Uingereza George Galloway amezuiliwa baada ya kueneza Uchochezi huko Uingereza!!!

    Mbunge wa zamani wa Uingereza George Galloway amezuiliwa chini ya 'Sheria ya Ugaidi' leo, kwa klipu aliyoirusha hewani saa chache kabla kwenye chaneli yake ya YouTube ambapo alisema: "Israeli itafutwa kabla ya Palestina kuwa, na kama unavyojua, ni matakwa yangu na matumaini yangu."wachochezi...
  12. B

    JamiiForums Tanzania GE2025 Chief Justice George Masaju's Speech Towards the 2025 General Election in Tanzania

    Lushoto, Tanzania Alhamisi, 18 Septemba 2025 MAFUNZO YA UENDESHAJI MASHAURI YA UCHAGUZI KWA MAJAJI, MAHAKIMU YAHITIMISHWA https://m.youtube.com/watch?v=WAAaVOMqZkM · Jaji Mkuu asema ipo haja ya kufanya marekebisho ya Kanuni za uchaguzi · Jaji Mkuu Mstaafu, Mhe. Mohamed Chande Othman ashiriki...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Agizo la Jaji Mkuu George Masaju ladaiwa kuharibu kesi za polisi mahakama za Mwanzo

    Ni agizo alilolitoa mapema mwaka huu baada ya kuapishwa kuwa watuhumiwa wa makosa ya jinai mahakama za mwanzo waww wanajidhamini wenyewe Tatizo limekuja kuwa gumu baada ya wanaojidhamini mahakamani kutorudi tena na kutokomea kusikojulikana. Ingawa alielekeza kuwa kesi ziendelee upande mmoja...
  14. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 George SimbaChawene can be the best PM if appointed

    Hello GT! With due respect to NRE and whatever results that can be achieved, baada ya uchaguzi mkuu 2025 kukamilika mtajwa ana uwezo mkubwa wa kuwa PM ikiwa mamlaka itamuona na kumpa nafasi hiyo. Sababu zitokanazo na mtazamo wangu; 1. Mtajwa ana busara, hekima na uwezo wa kuongoza. 2. Ana...
  15. Z

    JamiiForums Tanzania Jaji Mkuu wa Tanzania George Masaju apendekeza kuwepo kwa mahakama za rufaa katika mikoa yote ya Tanzania

    Jaji Mkuu ameyasema hayo leo mara baada ya kula kiapo. Amepend2keza kuwepo kwa Mahakama ya Rufaa kwa kuanzia na Mikoa ya DSM, Mbeya na Arusha ili kurahisisha upatikanaji wa haki kwa wakati kuliko ilivyo sasa hadi majaji kutoka Dodoma watembelee jambo ambalo linachelewesha haki za wananchi...
  16. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania Karibu Mahakama ya Tanzania George M. Masaju. Una kazi kubwa sana ya kufanya, Turudishie Mahakama chini ya Ibara 107A ya Katiba

    Kwanza hongera sana kwa Uteuzi wako. Kama sikosei ulipelekwa Mahakama ya Rufani ukiwa na miaka 60. Hivyo sasa utakuwa Jaji Mkuu kwa kipindi kisichozidi miaka 5 kwa kuwa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatamka Jaji wa Mahakama ya Rufani anapaswa kuhudumu katika nafasi hiyo hadi...
  17. Z

    JamiiForums Tanzania Jaji Mkuu George Masaju baada ya kuapishwa anza na mambo yafuatayo;-

    Kwanza nampongeza Jaji Masaju kwa kuaminiwa na Mhe. Rais na kumteua kuwa Jaji Mkuu mpya wa Tanzania. Mara baada ya kula kiapo tunashauri aanze na mambo yafuatayo;_ 1. Ondoa uonevu na upendeleo ndani ya muhimili wenyewe, jenga umoja na mshikamano. tenda haki kwa watumishi wote bila upendeleo...
  18. Comred Mbwana Allyamtu

    JamiiForums Tanzania George W. Bush; Rais wa Marekani anayesemwa kuwa na kiwango kidogo cha akili (IQ), lakini ndie Rais mbabe, mkali na aliyeogopwa zaidi duniani

    GEORGE W. BUSH; RAIS WA 43 WA MAREKANI ANAYESEMWA KUWA NA KIWANGO KIDOGO CHA AKILI (IQ), LAKINI NDIE RAIS MBABE, MKALI NA ALIYEOGOPWA ZAIDI DUNIANI, ANATAJWA KUPENDWA SANA NA KUCHUKIWA SANA MAREKANI NA DUNIANI. Na. Comred Mbwana Allyamtu -CMCA Friday-30/12/2022 Marangu Kilimanjaro Tanzania...
  19. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Saidi Kazumari Mlapanya hili la Mayelle na George Mpole Ulipuyanga

    Huyu mjukuu wa mzee Mlapanya anayependa kujiita Jemedari Said ambaye hataki kabisa kujitambulisha kwa jina la ukoo wake (ukoo wa mzee Mlapanya) aliongoza fitina dhidi ya Mayelle na sasa maji yamejitenga na mafuta. Pole sana, roho imekuuma sana ila ndiyo hivyo tena.
  20. Mindyou

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mbunge wa Juja George Koimburi aliyetekwa apatikana kwenye shamba la kahawa akiwa amejeruhiwa vibaya

    Mbunge wa Juja, George Koimburi, amepatikana akiwa amejeruhiwa vibaya kwenye shamba la kahawa Kaunti ya Kiambu. Koimburi,ambaye ni mtetezi mkubwa wa Naibu Rais wa zamani Rigathi Gachagua, alitekwa nyara Jumapili, Mei 25, nje ya Kanisa la Full Gospel Mugutha akiwa na mkewe, Anne Koimburi...
Back
Top Bottom