Afungwa Kifungo cha Maisha Baada ya Kulipiwa Umeme (Luku) kwa Simu ya Magaidi

Unakumbuka tukio la kigaidi lililotokea Kampala, Uganda wakati wa mechi ya fainali ya World Cup 2010, kati ya Spain na Holland?

Tukio lile lilimfanya mtangazaji wa Radio Salaam FM ya Mombasa, Habib Suleiman Njoroge kuingizwa kwenye kesi ya ugaidi wa tukio lile, na sasa anatumikia kifungo cha maisha.

- Unajua Ilikuwaje?

Mara tu baada ya lile tukio, vikosi vya upelelezi vya MI6 na FBI ni miongoni mwa vikosi vilivyoalikwa ili kufanya uchunguzi, kwa ajili ya kufanikisha kuwanasa wahusika wote.

Jambo la kwanza waligundua mabomu yote yaliyotumika katika tukio lile yaliundwa Mombasa nchini Kenya, na yakasafirishwa kwa basi hadi Malaba, mpakani mwa Kenya na Uganda.

Kisha, Mtanzania (Seleman Hijar Nyamandondo) aliyasafirisha hadi Kampala kwa gari aina ya Land Qruiser (Pickup) na kuyafikisha kwa aliyekuwa Msuka Mipango Mkuu, Issa Ahmed Luyima.

- Alivyoingizwa Mtangazaji!

Vikosi hivyo vya uchunguzi vilibaini, moja ya simu (device) zilizowasiliana na waliolipua mabomu yale, bado ilikuwa ikitumika huko maeneo ya Ukambani, nchini Kenya kwa namba tofauti na ya awali.

Kazi ya kuisaka simu hiyo ikaanza na ikanaswa ikiwa mikononi mwa mchuuzi wa sokoni, Mohamed Adan Abdow naye akiuziwa na Mtanzania, Husein Agade huku akiwa sokoni hapo.

Baada ya simu (device) hiyo kunaswa na kufanyiwa uchunguzi ikagundulika kwamba, iliwahi kufanya huduma ya kununua umeme (kama Luku), wa mita ya nyumba anayoishi mtangazaji huyo, Njoroge iliyopo Mombasa.

Hilo liliwatosha wachunguzi hao kuamini kwamba magaidi hao waliishi kwenye nyumba ya Njoroge wakati wakiunda mabomu hayo na ndiyo maana waliwajibika kulipa bili ya umeme.

- Funzo Kuu
Hiki kilichotokea kwa mtangazaji, Njoroge ni kama ambavyo mhalifu yeyote angelipia kisimbuzi chako au umeme wa mita yako kwa simu yake na moja kwa moja ukaingizwa mtegoni, endapo simu yake itachunguzwa.

Hivyo, si vema kupokea huduma za kulipiwa vifaa vyako vya nyumbani pasipo kumjua vizuri unayemwomba akulipie.

Ova
Nafikiri kuna ushahidi Mwingine zaidi ha huu ulioeleza hapa.

Haitoshi kumtia mtu hatiani.

Simu ya Njoroge, Mita ya Umeme ya Njoroge na Namba ya Nyumba ya Njoroge.

Yaani simu itumike kwenye uharifu badala ya kuiharibu yeye anaiuza tena?

Huyo Gaidi gani hajielewi
 
Wangekuwa wachunguzi wa nchi ya Namibia hata wasingejisumbua kufika kote huko. Angekamatwa mtu mmoja ambaye hahusiki kabisa, kisha kupewa kesi zote kuanzia kupanga hadi kutekeleza, halafu anaunganishwa na watu wake wa karibu wanaokunywaga bia pamoja.

Wale watu akili zipo kwenye mafuta ya tumboni.
 
Napenda kufanya mambo yanayonihusu kwa simu yangu, hata kutuma pesa sipendi kumwambia wakala amuwekee mpokeaji moja kwa moja, ni kheri nikatwe kiasi kadhaa ila pesa niitume kwa namba yangu mwenyewe.
Upo sahihi sana. Ila kuna mazingira inakulazimu usitumie namba yako
° Mimi situmii namba yangu mfano ninavyotuma nauli natumia kwa wakala .
° Watu wa jamii hiyohiyo ya kupewa nauli huwa nawasiliana kwa namba ambayo hata wakiangalia kwenye usajili haioneshi majina ili kuepuka usumbufu kikiwaka upande wa pili wasinijue jina.
 
Unakumbuka tukio la kigaidi lililotokea Kampala, Uganda wakati wa mechi ya fainali ya World Cup 2010, kati ya Spain na Holland?

Tukio lile lilimfanya mtangazaji wa Radio Salaam FM ya Mombasa, Habib Suleiman Njoroge kuingizwa kwenye kesi ya ugaidi wa tukio lile, na sasa anatumikia kifungo cha maisha.

- Unajua Ilikuwaje?

Mara tu baada ya lile tukio, vikosi vya upelelezi vya MI6 na FBI ni miongoni mwa vikosi vilivyoalikwa ili kufanya uchunguzi, kwa ajili ya kufanikisha kuwanasa wahusika wote.

Jambo la kwanza waligundua mabomu yote yaliyotumika katika tukio lile yaliundwa Mombasa nchini Kenya, na yakasafirishwa kwa basi hadi Malaba, mpakani mwa Kenya na Uganda.

Kisha, Mtanzania (Seleman Hijar Nyamandondo) aliyasafirisha hadi Kampala kwa gari aina ya Land Qruiser (Pickup) na kuyafikisha kwa aliyekuwa Msuka Mipango Mkuu, Issa Ahmed Luyima.

- Alivyoingizwa Mtangazaji!

Vikosi hivyo vya uchunguzi vilibaini, moja ya simu (device) zilizowasiliana na waliolipua mabomu yale, bado ilikuwa ikitumika huko maeneo ya Ukambani, nchini Kenya kwa namba tofauti na ya awali.

Kazi ya kuisaka simu hiyo ikaanza na ikanaswa ikiwa mikononi mwa mchuuzi wa sokoni, Mohamed Adan Abdow naye akiuziwa na Mtanzania, Husein Agade huku akiwa sokoni hapo.

Baada ya simu (device) hiyo kunaswa na kufanyiwa uchunguzi ikagundulika kwamba, iliwahi kufanya huduma ya kununua umeme (kama Luku), wa mita ya nyumba anayoishi mtangazaji huyo, Njoroge iliyopo Mombasa.

Hilo liliwatosha wachunguzi hao kuamini kwamba magaidi hao waliishi kwenye nyumba ya Njoroge wakati wakiunda mabomu hayo na ndiyo maana waliwajibika kulipa bili ya umeme.

- Funzo Kuu
Hiki kilichotokea kwa mtangazaji, Njoroge ni kama ambavyo mhalifu yeyote angelipia kisimbuzi chako au umeme wa mita yako kwa simu yake na moja kwa moja ukaingizwa mtegoni, endapo simu yake itachunguzwa.

Hivyo, si vema kupokea huduma za kulipiwa vifaa vyako vya nyumbani pasipo kumjua vizuri unayemwomba akulipie.

Ova
Hadithi njoo uongo njoo utamu kolea
 
Unakumbuka tukio la kigaidi lililotokea Kampala, Uganda wakati wa mechi ya fainali ya World Cup 2010, kati ya Spain na Holland?

Tukio lile lilimfanya mtangazaji wa Radio Salaam FM ya Mombasa, Habib Suleiman Njoroge kuingizwa kwenye kesi ya ugaidi wa tukio lile, na sasa anatumikia kifungo cha maisha.

- Unajua Ilikuwaje?

Mara tu baada ya lile tukio, vikosi vya upelelezi vya MI6 na FBI ni miongoni mwa vikosi vilivyoalikwa ili kufanya uchunguzi, kwa ajili ya kufanikisha kuwanasa wahusika wote.

Jambo la kwanza waligundua mabomu yote yaliyotumika katika tukio lile yaliundwa Mombasa nchini Kenya, na yakasafirishwa kwa basi hadi Malaba, mpakani mwa Kenya na Uganda.

Kisha, Mtanzania (Seleman Hijar Nyamandondo) aliyasafirisha hadi Kampala kwa gari aina ya Land Qruiser (Pickup) na kuyafikisha kwa aliyekuwa Msuka Mipango Mkuu, Issa Ahmed Luyima.

- Alivyoingizwa Mtangazaji!

Vikosi hivyo vya uchunguzi vilibaini, moja ya simu (device) zilizowasiliana na waliolipua mabomu yale, bado ilikuwa ikitumika huko maeneo ya Ukambani, nchini Kenya kwa namba tofauti na ya awali.

Kazi ya kuisaka simu hiyo ikaanza na ikanaswa ikiwa mikononi mwa mchuuzi wa sokoni, Mohamed Adan Abdow naye akiuziwa na Mtanzania, Husein Agade huku akiwa sokoni hapo.

Baada ya simu (device) hiyo kunaswa na kufanyiwa uchunguzi ikagundulika kwamba, iliwahi kufanya huduma ya kununua umeme (kama Luku), wa mita ya nyumba anayoishi mtangazaji huyo, Njoroge iliyopo Mombasa.

Hilo liliwatosha wachunguzi hao kuamini kwamba magaidi hao waliishi kwenye nyumba ya Njoroge wakati wakiunda mabomu hayo na ndiyo maana waliwajibika kulipa bili ya umeme.

- Funzo Kuu
Hiki kilichotokea kwa mtangazaji, Njoroge ni kama ambavyo mhalifu yeyote angelipia kisimbuzi chako au umeme wa mita yako kwa simu yake na moja kwa moja ukaingizwa mtegoni, endapo simu yake itachunguzwa.

Hivyo, si vema kupokea huduma za kulipiwa vifaa vyako vya nyumbani pasipo kumjua vizuri unayemwomba akulipie.

Ova
Naamini huyo mwenye nyumba alikuwa ni mmojawapo katika kufanikisha huo ugaidi.
 
Vipi kama mnunuaji wa hizo token alikosea,akanunua token za huyo muhusika?

Watamuamini?
Huo uchunguzi hauwezi kuwa uliishia kugundua tu kuwa alinunuliwa luku. Hiyo lazima ilikuwa ndio lead clue ya kuvumbua connection iliyokuwepo kati yake na magaidi.

Sababu kuu inaweza kuwa ni kununuliwa LUKU lakini ndio iliyopelekea kuhusishwa na tukio kwakupelekea kupatikana kwa ushahidi mwingine zaidi.
 
Huo uchunguzi hauwezi kuwa uliishia kugundua tu kuwa alinunuliwa luku. Hiyo lazima ilikuwa ndio lead clue ya kuvumbua connection iliyokuwepo kati yake na magaidi.

Sababu kuu inaweza kuwa ni kununuliwa LUKU lakini ndio iliyopelekea kuhusishwa na tukio kwakupelekea kupatikana kwa ushahidi mwingine zaidi.
Inawezekana mkuu, labda kwa vile mimi nilijielekeza zaidi kwenye hiyo connection ya kununuliwa umeme, kwa ajili ya kutoa tahadhari kwa wana JF wenzangu.

Ova
 
Nilikuelewa mkuu, na comment yako imeongeza tafakari ya mjadala huu. Nimekusoma vizuri.

Ova
Yes mkuu. Kwamaana ninyingine hiyo simu yawezekana ilifanya mawasiliano mengi na miamala mingi tu lakìni mwisho wa siku huo wa LUKU ulifungua njia kupatikana mhusika mwingine kwa ushahidi wa huko mbele zaidi.

Yawezekana kuna waliotumiwa hela na hiyo simu lakini hiyo miamala haikuwa linked na tukio so huwezi kusikia wakihusishwa japo lazima walichunguzwa na kuwa cleared.

Najaribu tu kuelewesha wasiokuwa na uelewa juu ya kazi za detectives.
 
Back
Top Bottom