Aende wapi kati ya TARURA kwa Mkataba ama HALMASHAURI ila Perment!

Aende wapi kati ya TARURA kwa Mkataba ama HALMASHAURI ila Perment!

Aende wapi kati ya TARURA kwa Mkataba ama HALMASHAURI ila Permanent!


  • Total voters
    8

Ryzen

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2012
Posts
7,315
Reaction score
8,748
WanaJF! Kwema? Moja kwa moja niende kwenye Mada.

Mdogo wangu kapata kazi ya Uhandisi ya Mkataba TARURA ila pia kapata Kazi Permenent HALMASHAURI.

TARURA atapata kama 2M na marupurpu mengine kwa anabyodai Wakati Halmashauri ni 1M pia kwa ufatiliaji wake Halmashauri marupuru ni kwa manati.

Yuko njia panda, check number anaitaka ila pia anaogopa kujiingiza Halmashauri asije kupotea kule na ugumu wa Maisha pia.

Mkataba una faida ya kimaslahi kwa sasa ila anaogopa consequences zake kama kusitishiwa, kutopanda daraja na pia kuwa na zero chances ya kuwa kiongozi unless mkataba ufanywe permenent.

Na Je asiporipoti kuna consequences zipi za ki utumishi? Ataruhusiwa kuendelea kuomba na kupangwa wakati ujao?

Watalaam leteni mawazo yenu.
 
WanaJF! Kwema? Moja kwa moja niende kwenye Mada.

Mdogo wangu kapata kazi ya Uhandisi ya Mkataba TARURA ila pia kapata Kazi Permenent HALMASHAURI.

TARURA atapata kama 2M na marupurpu mengine kwa anabyodai Wakati Halmashauri ni 1M pia kwa ufatiliaji wake Halmashauri marupuru ni kwa manati.

Yuko njia panda, check number anaitaka ila pia anaogopa kujiingiza Halmashauri asije kupotea kule na ugumu wa Maisha pia.

Mkataba una faida ya kimaslahi kwa sasa ila anaogopa consequences zake kama kusitishiwa, kutopanda daraja na pia kuwa na zero chances ya kuwa kiongozi unless mkataba ufanywe permenent.

Na Je asiporipoti kuna consequences zipi za ki utumishi? Ataruhusiwa kuendelea kuomba na kupangwa wakati ujao?

Watalaam leteni mawazo yenu.
Aende TARURA. Halmashauri kazi zipo tu, akizitaka atazikuta baadaye.

Lakini pia TARURA ni semi autonomy ila iko chini ya Halmashauri hizo hizo.
 
Aende TARURA. Halmashauri kazi zipo tu, akizitaka atazikuta baadaye.

Lakini pia TARURA ni semi autonomy ila iko chini ya Halmashauri hizo hizo.
Mkuu baadaye utumishi hawatamzingua katika kuomba kazi? System si itakuwa inamuona kama mtu ambaye alishapewaga Placement
 
WanaJF! Kwema? Moja kwa moja niende kwenye Mada.

Mdogo wangu kapata kazi ya Uhandisi ya Mkataba TARURA ila pia kapata Kazi Permenent HALMASHAURI.

TARURA atapata kama 2M na marupurpu mengine kwa anabyodai Wakati Halmashauri ni 1M pia kwa ufatiliaji wake Halmashauri marupuru ni kwa manati.

Yuko njia panda, check number anaitaka ila pia anaogopa kujiingiza Halmashauri asije kupotea kule na ugumu wa Maisha pia.

Mkataba una faida ya kimaslahi kwa sasa ila anaogopa consequences zake kama kusitishiwa, kutopanda daraja na pia kuwa na zero chances ya kuwa kiongozi unless mkataba ufanywe permenent.

Na Je asiporipoti kuna consequences zipi za ki utumishi? Ataruhusiwa kuendelea kuomba na kupangwa wakati ujao?

Watalaam leteni mawazo yenu.
HALMASHAURI, ANAWEZA AKAHAMA KUTOKA HUKO AKAENDA TARURA KAMA ANAPENDA TARURA CHA CHECK NUMBER YAKE
 
Akikataa kazi ya permanent Halmashauri asahau kuajiriwa na TARURA. Mwajili ni huyo huyo utumishi. Aingie Halmashauri, then ajiongeze kuwa karibu na watu wa TARURA. Ataweza hama tu huko mbele.
 
Akikataa kazi ya permanent Halmashauri asahau kuajiriwa na TARURA. Mwajili ni huyo huyo utumishi. Aingie Halmashauri, then ajiongeze kuwa karibu na watu wa TARURA. Ataweza hama tu huko mbele.
Mbona ni balaa sasa
 
Halmashauri wapo kwa ajili ya umbea na wivu, kutwa wanasemana😄, ukiwahi kazini utawasikia wakongwe wanakunanga tu, ukiwa na juhudi ya kazi napo ni mipasho ya kukukatisha tamaa yaani. Bora aende MAKKA tu😀
 
Halmashauri wapo kwa ajili ya umbea na wivu, kutwa wanasemana😄, ukiwahi kazini utawasikia wakongwe wanakunanga tu, ukiwa na juhudi ya kazi napo ni mipasho ya kukukatisha tamaa yaani. Bora aende MAKKA tu😀
Aisee mbona balaa..
 
Halmashauri wapo kwa ajili ya umbea na wivu, kutwa wanasemana😄, ukiwahi kazini utawasikia wakongwe wanakunanga tu, ukiwa na juhudi ya kazi napo ni mipasho ya kukukatisha tamaa yaani. Bora aende MAKKA tu😀
Aisee mbona balaa..
 
Halmashauri wapo kwa ajili ya umbea na wivu, kutwa wanasemana😄, ukiwahi kazini utawasikia wakongwe wanakunanga tu, ukiwa na juhudi ya kazi napo ni mipasho ya kukukatisha tamaa yaani. Bora aende MAKKA tu😀
😹😹😹
 
Halmashauri wapo kwa ajili ya umbea na wivu, kutwa wanasemana😄, ukiwahi kazini utawasikia wakongwe wanakunanga tu, ukiwa na juhudi ya kazi napo ni mipasho ya kukukatisha tamaa yaani. Bora aende MAKKA tu😀
Kama ofisi ya walimu ahahaah ukiingizwa huko utachambwa weee
 
Aende TARURA. Halmashauri kazi zipo tu, akizitaka atazikuta baadaye.

Lakini pia TARURA ni semi autonomy ila iko chini ya Halmashauri hizo hizo.
una ufahamu wa kutosha kuhusu hili uliloandika?/?
 
Back
Top Bottom