Ryzen
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 7,315
- 8,748
WanaJF! Kwema? Moja kwa moja niende kwenye Mada.
Mdogo wangu kapata kazi ya Uhandisi ya Mkataba TARURA ila pia kapata Kazi Permenent HALMASHAURI.
TARURA atapata kama 2M na marupurpu mengine kwa anabyodai Wakati Halmashauri ni 1M pia kwa ufatiliaji wake Halmashauri marupuru ni kwa manati.
Yuko njia panda, check number anaitaka ila pia anaogopa kujiingiza Halmashauri asije kupotea kule na ugumu wa Maisha pia.
Mkataba una faida ya kimaslahi kwa sasa ila anaogopa consequences zake kama kusitishiwa, kutopanda daraja na pia kuwa na zero chances ya kuwa kiongozi unless mkataba ufanywe permenent.
Na Je asiporipoti kuna consequences zipi za ki utumishi? Ataruhusiwa kuendelea kuomba na kupangwa wakati ujao?
Watalaam leteni mawazo yenu.
Mdogo wangu kapata kazi ya Uhandisi ya Mkataba TARURA ila pia kapata Kazi Permenent HALMASHAURI.
TARURA atapata kama 2M na marupurpu mengine kwa anabyodai Wakati Halmashauri ni 1M pia kwa ufatiliaji wake Halmashauri marupuru ni kwa manati.
Yuko njia panda, check number anaitaka ila pia anaogopa kujiingiza Halmashauri asije kupotea kule na ugumu wa Maisha pia.
Mkataba una faida ya kimaslahi kwa sasa ila anaogopa consequences zake kama kusitishiwa, kutopanda daraja na pia kuwa na zero chances ya kuwa kiongozi unless mkataba ufanywe permenent.
Na Je asiporipoti kuna consequences zipi za ki utumishi? Ataruhusiwa kuendelea kuomba na kupangwa wakati ujao?
Watalaam leteni mawazo yenu.