RUWASA na TARURA ni taasisi zinazofanya kazi chini ya Halmashauri.una ufahamu wa kutosha kuhusu hili uliloandika?/?
RUWASA na TARURA ni taasisi zinazofanya kazi chini ya Halmashauri.una ufahamu wa kutosha kuhusu hili uliloandika?/?
Hizo Taasisi dah , mishahara sio mirefu sana ila posho ni nyingi... Mwana mmoja anakaa site kusambaza maji mpaka mwezi .RUWASA na TARURA ni taasisi zinazofanya kazi chini ya Halmashauri.
Halmashauri kiukweli kuna uswahili mwingi na usiombe uwakute wale wazee hlmashuri wanaiona kama mali yao ....ndio maana ikaitwa local gvtHalmashauri wapo kwa ajili ya umbea na wivu, kutwa wanasemana😄, ukiwahi kazini utawasikia wakongwe wanakunanga tu, ukiwa na juhudi ya kazi napo ni mipasho ya kukukatisha tamaa yaani. Bora aende MAKKA tu😀
inawezekana ingawa si rahisi sana ila bora aende halmashauri permanent kuliko tarura contractual.As long as hana check namba ninavyojua haiwezi kusumbua
Degree ya Mhandisi, aliyesajiliwa bodi ya wahandisi anaanza na basic ya Milioni HalmashauriHALMASHAURI Kuna mishahara ya milioni, tupeni hiyo michongo
Milion taslimu au nasenti?Degree ya Mhandisi, aliyesajiliwa bodi ya wahandisi anaanza na basic ya Milioni Halmashauri
Milion taslimu au nasenti?
Aende taruraWanaJF! Kwema? Moja kwa moja niende kwenye Mada.
Mdogo wangu kapata kazi ya Uhandisi ya Mkataba TARURA ila pia kapata Kazi Permenent HALMASHAURI.
TARURA atapata kama 2M na marupurpu mengine kwa anabyodai Wakati Halmashauri ni 1M pia kwa ufatiliaji wake Halmashauri marupuru ni kwa manati.
Yuko njia panda, check number anaitaka ila pia anaogopa kujiingiza Halmashauri asije kupotea kule na ugumu wa Maisha pia.
Mkataba una faida ya kimaslahi kwa sasa ila anaogopa consequences zake kama kusitishiwa, kutopanda daraja na pia kuwa na zero chances ya kuwa kiongozi unless mkataba ufanywe permenent.
Na Je asiporipoti kuna consequences zipi za ki utumishi? Ataruhusiwa kuendelea kuomba na kupangwa wakati ujao?
Watalaam leteni mawazo yenu.
Hawezi pangiwa tena kazi huyo.Aende TARURA. Halmashauri kazi zipo tu, akizitaka atazikuta baadaye.
Lakini pia TARURA ni semi autonomy ila iko chini ya Halmashauri hizo hizo.
Hii nilisikia sehemu fulaniukikataa placement ya utumishi hutakuja kupata nyengine.
Hii nilisikia sehemu fulani