Lethergo
JF-Expert Member
- Aug 7, 2023
- 3,428
- 5,841
Kwa hio huyu anasema UONGO? Mboni mnapenda kutetea ujinga? Wenzako wanakwambia maji hakuna wewe unasema maji yapo?Wapo wadada wa usafi wanasafisha kila siku asubuhi kwa sabuni na dawa za kuondoa harufu. Tatizo ni wanafunzi ndo wachafu mtu anaweza kukata gogo bafuni na kuacha vyoo. Kuna siku umeme ulikatika mtu akakata gogo kwenye sehemu ya kunawia mikono. Uchafu wa vyoo unasababishwa na wanafunzi wenyewe sio chuo wala shida ya maji
Kama unaweza kufua na nguo chooni ina maana kuna maji.
Hata UDOM maji yakitoka hukuti choo kichafu,,na nguo huwa zinafuliwa chooni.
Yaani maji yakitoka tu hata wiki moja...hukuti uchafu chooni.