Kama Tanganyika tukivamiwa na janga la kunguni tutaathirika kutokana uchafu uliokithiri kwenye mazingira yetu

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,634
697,867
Kamwe siwezi kuwasifia watu weupe kwa usafi, ni wachafu sana lakini wameweza kuvuka kigezo cha uchafu wa jumuiya na kubaki kwenye uchafu wa mtu mmoja mmoja.

Hawaogi kila siku kama sisi tena zaidi ya maramoja kwa siku, hawatumii maji kutawaza, si watu wa kufua kila siku lakini wametuzidi kwenye uchakataji, uhifadhi na utunzaji wa takataka na mazingira kwa ujumla.

Mipangilio ya miji, na mipango miji vinazingitiwa kwa asilimia 100, nini kikae wapi, kipi kiwekwe wapi, uchafu gani uwekwe kwenye pipa gani!

Sisi tumefeli pakubwa kwenye usafi wa jumla, usafi wa jumuiya, usafi wa pamoja, mipangilio na mipango miji, uchakataji utunzaji na uhifadhi wa taka pamoja na mazingira.

Sisi bado tuko kwenye enzi pangu pakavu tia mchuzi. Nikioga mimi na kusafisha nyumba yangu inatosha kabisa, vingine havinihusu.

Kama kuna uchafu nitatupa mtaroni au pembezoni mwa barabara ama kwenye jalala la wabeba uchafu lakini bila utaratibu wala mpangilio.

Mbebataka sio makini anajibebea tu, na anakwenda kutupa bila mpangilio, yeye mwenyewe mchafu, vifaa anavyotumia ni duni na ni vichafu, gari ni chafu bovu, pengine kuzidi uchafu wenyewe.

Kwenye gari ya taka hujui uchafu ni upi, gari ni ipi, dereva ni yupi na wahudumu ni wepi. Unachoona ni uchafu unaotembea, maana hakuna tofauti.

Wazibua mitaro na wasafisha barabara hali kadhalika, mtaro unazibuliwa kwa vifaa duni uchafu unawekwa pembeni na kama utazolewa kwa wakati hauzolewi wote! Wasafisha barabara vivyo hivyo kingo na bustani za barabara zimetengeneza miinuko kutokana na uchafu unaozolewa kuwekwa huko na ukichukuliwa hauchukuliwi wote.

Kama janga la kunguni likivamia Tanganyika hatutaathirika sana, maana kunguni chake ni uchafu. Penye uchafu kunguni atanenepa na kunawiri.

Sisi wenyewe tu wasafi sana; tunaoga maratatu kwa siku, tunafua kila siku, baadhi haturudii nguo, nyumba zetu ni safi, tunafagia na kudeki kila siku, hapo kunguni atakaa wapi!?

Kimbembe ni kwenye mazingira yetu hayana mipangilio, ni machafu, hayahudumiwi ipasavyo, hatuyajali, kama kunguni wakija watakimbilia huko.

Kilichowaponza Ufaransa ni uchafu wa miili, mazingira ni safi sana lakini miili ni majanga. Tofauti na sisi miili ni misafi sana lakini mazingira ni machafu sana.

Je, tunadhani hii ni sifa? La hasha! Tatizo la kunguni Tanganyika lipo ila linafunikwa kuficha aibu. Sehemu nyingi za jumuiya kunakokutanisha watu wengi hili tatizo lipo kwenye shule hasa shule za bweni, Vyuoni (UDOM wamevunja ukinya), hospitalini, kwenye usafiri wa umma (hasa baadhi ya mabasi ya mikoani) vituo vya mabasi nk.

Pengine tunaweza kuteswa na kunguni wetu wenyewe wa kienyeji lakini sio ma broiler toka ufaransa. Kikubwa sasa ni kubadili mitazamo yetu, Mazingira yako ni yangu na ni yetu sote..

Namna tunavyotunza miili na nyumba zetu ndio tunavyopaswa pia kutunza mazingira yanayotuzunguka kwa wakati husika, iwe kwenye chombo cha usafiri, eneo la wazi, sehemu ya mapumziko, barabarani nk.

Mazingira yakiwa safi, nyumba zikiwa safi, miili ikiwa safi si kunguni tu atakosa pa kukaa pamoja na magonjwa mengine yote yatokanayo na uchafu.

Good afternoon Tanganyika

9edf8dfb0336ea475a220676168a0d4c.jpg
 
Kamwe siwezi kuwasifia watu weupe kwa usafi, ni wachafu sana lakini wameweza kuvuka kigezo cha uchafu wa jumuiya na kubaki kwenye uchafu wa mtu mmoja mmoja.

Hawaogi kila siku kama sisi tena zaidi ya maramoja kwa siku, hawatumii maji kutawaza, si watu wa kufua kila siku lakini wametuzidi kwenye uchakataji, uhifadhi na utunzaji wa takataka na mazingira kwa ujumla.

Mipangilio ya miji, na mipango miji vinazingitiwa kwa asilimia 100, nini kikae wapi, kipi kiwekwe wapi, uchafu gani uwekwe kwenye pipa gani!

Sisi tumefeli pakubwa kwenye usafi wa jumla, usafi wa jumuiya, usafi wa pamoja, mipangilio na mipango miji, uchakataji utunzaji na uhifadhi wa taka pamoja na mazingira.

Sisi bado tuko kwenye enzi pangu pakavu tia mchuzi. Nikioga mimi na kusafisha nyumba yangu inatosha kabisa, vingine havinihusu.

Kama kuna uchafu nitatupa mtaroni au pembezoni mwa barabara ama kwenye jalala la wabeba uchafu lakini bila utaratibu wala mpangilio.

Mbebataka sio makini anajibebea tu, na anakwenda kutupa bila mpangilio, yeye mwenyewe mchafu, vifaa anavyotumia ni duni na ni vichafu, gari ni chafu bovu, pengine kuzidi uchafu wenyewe.

Kwenye gari ya taka hujui uchafu ni upi, gari ni ipi, dereva ni yupi na wahudumu ni wepi. Unachoona ni uchafu unaotembea, maana hakuna tofauti.

Wazibua mitaro na wasafisha barabara hali kadhalika, mtaro unazibuliwa kwa vifaa duni uchafu unawekwa pembeni na kama utazolewa kwa wakati hauzolewi wote! Wasafisha barabara vivyo hivyo kingo na bustani za barabara zimetengeneza miinuko kutokana na uchafu unaozolewa kuwekwa huko na ukichukuliwa hauchukuliwi wote.

Kama janga la kunguni likivamia Tanganyika hatutaathirika sana, maana kunguni chake ni uchafu. Penye uchafu kunguni atanenepa na kunawiri.

Sisi wenyewe tu wasafi sana; tunaoga maratatu kwa siku, tunafua kila siku, baadhi haturudii nguo, nyumba zetu ni safi, tunafagia na kudeki kila siku, hapo kunguni atakaa wapi!?

Kimbembe ni kwenye mazingira yetu hayana mipangilio, ni machafu, hayahudumiwi ipasavyo, hatuyajali, kama kunguni wakija watakimbilia huko.

Kilichowaponza Ufaransa ni uchafu wa miili, mazingira ni safi sana lakini miili ni majanga. Tofauti na sisi miili ni misafi sana lakini mazingira ni machafu sana.

Je, tunadhani hii ni sifa? La hasha! Tatizo la kunguni Tanganyika lipo ila linafunikwa kuficha aibu. Sehemu nyingi za jumuiya kunakokutanisha watu wengi hili tatizo lipo kwenye shule hasa shule za bweni, Vyuoni (UDOM wamevunja ukinya), hospitalini, kwenye usafiri wa umma (hasa baadhi ya mabasi ya mikoani) vituo vya mabasi nk.

Pengine tunaweza kuteswa na kunguni wetu wenyewe wa kienyeji lakini sio ma broiler toka ufaransa. Kikubwa sasa ni kubadili mitazamo yetu, Mazingira yako ni yangu na ni yetu sote..

Namna tunavyotunza miili na nyumba zetu ndio tunavyopaswa pia kutunza mazingira yanayotuzunguka kwa wakati husika, iwe kwenye chombo cha usafiri, eneo la wazi, sehemu ya mapumziko, barabarani nk.

Mazingira yakiwa safi, nyumba zikiwa safi, miili ikiwa safi si kunguni tu atakosa pa kukaa pamoja na magonjwa mengine yote yatokanayo na uchafu.

Good afternoon Tanganyika

View attachment 2785248

Sent using Jamii Forums mobile app
Kunguni wasumbufu kama wachawi Kuna gari nilipanda sasa kutokana na ilikuwa usiku sana ikabidi tulale kwenye gari. Like gari lilikua na wajomba wanagonga Ile mbaya, nilishuka nikalala stand
 
Magu na Modi wa India walipoingia wote walianza na usafi
Nikawa nafuatilia India je wataweza maana kwa uchafu sisi cha mtoto
Mwisho nikaona kwenye TV wanahojiwa wahindi wakaambiwa vipi kuhusu usafi? India hao
Wakasema sisi asili yetu ni uchafu hata tufanyaje

Sasa na sisi jamaa alijitahidi akawa anabeba mpaka taka ila zikawa mbio za sakafuni

Hawa kunguni ni balaa lingine mjiandae tu
 
Magu na Modi wa India walipoingia wote walianza na usafi
Nikawa nafuatilia India je wataweza maana kwa uchafu sisi cha mtoto
Mwisho nikaona kwenye TV wanahojiwa wahindi wakaambiwa vipi kuhusu usafi? India hao
Wakasema sisi asili yetu ni uchafu hata tufanyaje

Sasa na sisi jamaa alijitahidi akawa anabeba mpaka taka ila zikawa mbio za sakafuni

Hawa kunguni ni balaa lingine mjiandae tu
vipi kuhusu usafi? India hao
Wakasema sisi asili yetu ni uchafu hata tufanyaje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kamwe siwezi kuwasifia watu weupe kwa usafi, ni wachafu sana lakini wameweza kuvuka kigezo cha uchafu wa jumuiya na kubaki kwenye uchafu wa mtu mmoja mmoja.

Hawaogi kila siku kama sisi tena zaidi ya maramoja kwa siku, hawatumii maji kutawaza, si watu wa kufua kila siku lakini wametuzidi kwenye uchakataji, uhifadhi na utunzaji wa takataka na mazingira kwa ujumla.

Mipangilio ya miji, na mipango miji vinazingitiwa kwa asilimia 100, nini kikae wapi, kipi kiwekwe wapi, uchafu gani uwekwe kwenye pipa gani!

Sisi tumefeli pakubwa kwenye usafi wa jumla, usafi wa jumuiya, usafi wa pamoja, mipangilio na mipango miji, uchakataji utunzaji na uhifadhi wa taka pamoja na mazingira.

Sisi bado tuko kwenye enzi pangu pakavu tia mchuzi. Nikioga mimi na kusafisha nyumba yangu inatosha kabisa, vingine havinihusu.

Kama kuna uchafu nitatupa mtaroni au pembezoni mwa barabara ama kwenye jalala la wabeba uchafu lakini bila utaratibu wala mpangilio.

Mbebataka sio makini anajibebea tu, na anakwenda kutupa bila mpangilio, yeye mwenyewe mchafu, vifaa anavyotumia ni duni na ni vichafu, gari ni chafu bovu, pengine kuzidi uchafu wenyewe.

Kwenye gari ya taka hujui uchafu ni upi, gari ni ipi, dereva ni yupi na wahudumu ni wepi. Unachoona ni uchafu unaotembea, maana hakuna tofauti.

Wazibua mitaro na wasafisha barabara hali kadhalika, mtaro unazibuliwa kwa vifaa duni uchafu unawekwa pembeni na kama utazolewa kwa wakati hauzolewi wote! Wasafisha barabara vivyo hivyo kingo na bustani za barabara zimetengeneza miinuko kutokana na uchafu unaozolewa kuwekwa huko na ukichukuliwa hauchukuliwi wote.

Kama janga la kunguni likivamia Tanganyika hatutaathirika sana, maana kunguni chake ni uchafu. Penye uchafu kunguni atanenepa na kunawiri.

Sisi wenyewe tu wasafi sana; tunaoga maratatu kwa siku, tunafua kila siku, baadhi haturudii nguo, nyumba zetu ni safi, tunafagia na kudeki kila siku, hapo kunguni atakaa wapi!?

Kimbembe ni kwenye mazingira yetu hayana mipangilio, ni machafu, hayahudumiwi ipasavyo, hatuyajali, kama kunguni wakija watakimbilia huko.

Kilichowaponza Ufaransa ni uchafu wa miili, mazingira ni safi sana lakini miili ni majanga. Tofauti na sisi miili ni misafi sana lakini mazingira ni machafu sana.

Je, tunadhani hii ni sifa? La hasha! Tatizo la kunguni Tanganyika lipo ila linafunikwa kuficha aibu. Sehemu nyingi za jumuiya kunakokutanisha watu wengi hili tatizo lipo kwenye shule hasa shule za bweni, Vyuoni (UDOM wamevunja ukinya), hospitalini, kwenye usafiri wa umma (hasa baadhi ya mabasi ya mikoani) vituo vya mabasi nk.

Pengine tunaweza kuteswa na kunguni wetu wenyewe wa kienyeji lakini sio ma broiler toka ufaransa. Kikubwa sasa ni kubadili mitazamo yetu, Mazingira yako ni yangu na ni yetu sote..

Namna tunavyotunza miili na nyumba zetu ndio tunavyopaswa pia kutunza mazingira yanayotuzunguka kwa wakati husika, iwe kwenye chombo cha usafiri, eneo la wazi, sehemu ya mapumziko, barabarani nk.

Mazingira yakiwa safi, nyumba zikiwa safi, miili ikiwa safi si kunguni tu atakosa pa kukaa pamoja na magonjwa mengine yote yatokanayo na uchafu.

Good afternoon Tanganyika

View attachment 2785248

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wengine watashindwa kuchangia kwa sababu ya hivyo viatu. Vinaogopesha!
 
vipi kuhusu usafi? India hao
Wakasema sisi asili yetu ni uchafu hata tufanyaje

Sent using Jamii Forums mobile app
Hao hao wahindi ndio walisema wao ni wachafu kiasili
Kwa kweli wametuzidi bali kuna baadhi ya miji ni misafi nilienda ila Delhi imevunja rekodi
Inatakiwa kodi zetu zilipe usafi kwa kuwapa tenda watu ambao wana uwezo kifedha
Tenda wanapeana wao halafu unakuta mama wa watu masikini ana jembe kwenye lami
Mwingine kwama halafu hata zile alama za watu wanafanya usafi hakuna, matokeo yake wanagongwa na kila siku kutukanwa
Nidhamu hakuna tu na usafi unawezekana kama watu watajituma
 
Ndiyo maana Mungu yupo, Africa inalindwa na mkono wa Mwenyezi Mungu wenyewe - sisi tukipata sunami ana upepo kama katalina ama maganga je tuta survive kweli? achilia mbali mafuriko.

Kwa hiyo hata hao kunguni, viroboto na wengineo wanashindwa kwa jina la baba yetu wa mbinguni. Sisi adhabu yetu ya umaskini inatutosha.
 
Mzungu akikata kimba anatumia toilet paper na wipes yenye alcohol kama namna ya kujisafisha. 😁
 
Ndiyo maana Mungu yupo, Africa inalindwa na mkono wa Mwenyezi Mungu wenyewe - sisi tukipata sunami ana upepo kama katalina ama maganga je tuta survive kweli? achilia mbali mafuriko.

Kwa hiyo hata hao kunguni, viroboto na wengineo wanashindwa kwa jina la baba yetu wa mbinguni. Sisi adhabu yetu ya umaskini inatutosha.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom