Android
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 970
- 1,207
Miaka si mingi iliyopita, thamani ya 1USD ilikua ni sawa na matrilioni kadhaa ya pesa ya Zimbabwe. Lakin leo thamani ya 1USD ni sawa na 500ZWD tu.
Wakati huo thamani ya 1USD ikiwa matrilioni kadhaa nchini Tanzania 1USD ilikua 1600TZS lakin sasa ni 2400TZS.
Wamewazaje kupandisha thamani ya pesa yao kwa haraka hivyo? Na sisi tunakwama wapi?
Wakati huo thamani ya 1USD ikiwa matrilioni kadhaa nchini Tanzania 1USD ilikua 1600TZS lakin sasa ni 2400TZS.
Wamewazaje kupandisha thamani ya pesa yao kwa haraka hivyo? Na sisi tunakwama wapi?