Mimi siyo mchumi na bado somo halijaingia kichwani, sasa kama hiyo ndo suluhu si nchi zote zingenetengeza hela mpya ili kupandisha hela zao, naamini mmerekani asingekubali hela yake kuzidiwa na currency yoyote duniani.Hawajapandisha thamani Bali wametengeneza hela mpya yenye jina jengine.
Kuelewa zaidi chukulia mfano huu, hela yetu inaitwa Tanzanian shillings (TSh) kwa sasa 2400 Unapata Dola 1. Halafu serikali iamue wanatengeneza hela mpya, iitwe New Tanzanian shillings (NTsh) halafu hii hela mpya iwe na thamani Mara 4800 ya Hela ya zamani. Ina maana hapa NTsh 1 itakuwa sawa na Dola 2.
Wazimbabwe wametengeneza hela mpya inaitwa New Zimbabwean Dollar (ZWL) ambayo ni sawa na matrilioni ya Hela ya zamani, hela ya zamani ilikuwa na Noti hadi ya Trilioni 100.
Soma zaidi hapa
Zimbabwean dollar - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
Hela kuwa na thamani si kigezo cha uchumi mkubwa, inatakiwa tu hela iwe stable. Na hela mpya haipandishi thamani inapunguza tu sifuriMimi siyo mchumi na bado somo halijaingia kichwani, sasa kama hiyo ndo suluhu si nchi zote zingenetengeza hela mpya ili kupandisha hela zao, naamini mmerekani asingekubali hela yake kuzidiwa na currency yoyote duniani.
kwa hiyo unaamini currency ya usa haizidiwi na yoyote duniani!Mimi siyo mchumi na bado somo halijaingia kichwani, sasa kama hiyo ndo suluhu si nchi zote zingenetengeza hela mpya ili kupandisha hela zao, naamini mmerekani asingekubali hela yake kuzidiwa na currency yoyote duniani.
Hawajapandisha thamani Bali wametengeneza hela mpya yenye jina jengine.
Kuelewa zaidi chukulia mfano huu, hela yetu inaitwa Tanzanian shillings (TSh) kwa sasa 2400 Unapata Dola 1. Halafu serikali iamue wanatengeneza hela mpya, iitwe New Tanzanian shillings (NTsh) halafu hii hela mpya iwe na thamani Mara 4800 ya Hela ya zamani. Ina maana hapa NTsh 1 itakuwa sawa na Dola 2.
Wazimbabwe wametengeneza hela mpya inaitwa New Zimbabwean Dollar (ZWL) ambayo ni sawa na matrilioni ya Hela ya zamani, hela ya zamani ilikuwa na Noti hadi ya Trilioni 100.
Soma zaidi hapa
Zimbabwean dollar - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
Hilo haliwezekani tena kwa sasa,hata tutengeneze noti ya dhahabu bado purchasing power ita favor kwa mwenye stable economy,mwisho tutakuwa na kilo ya dhahabu yenye uwiano na kilo ya maharage,what a shit!!Fafanua vizuri
Tunataka tufkke tulikotoka 1Tz shiling =1 dollar
Apa ndugu yangu sijakuelewa kusema 2400 itafanya manunuzi mengi kuliko 500 si ni sawa kwa sababu 2400 ni zaid ya mara nne kwa 500 ,au sijaelewa wapMkuu hata wewe leo ukiamua unaweza kufanya currency denomination upya na ukaipeg pesa yako na pesa ya nchi nyingine let's say Dollar kwa hiyo pesa yako mpya itakua na ratio labda ya 1:1 yaani Dollar 1 sawa na JF shillings 1.
Sasa changamoto inakuja je kwenye soko kukoje? Mfumuko wa bei ukitokea ina maana noti yako ya 1 JF Shillings itahitajika ziwe nyingi ili ununue bidhaa moja. Hivyo basi muda unavyozidi kusonga ukipiga hesabu za purchasing power parity yaani uwezo wa pesa kufanya manunuzi kwa kulinganisha nchi utagundua nguvu ya Dollar 1 ya US ni kubwa mnoo kuzidi JF shillings kuliko TZS. So mwisho wa siku ndio unakuta kutoka ratio ya USD 1= 1 JF Shs inakua USD 1= 1000 JF Shs.
So kikubwa hapo usiangalie tu Dollar moja ya marekani inalingana vp na 500 Zim dollars bali angalia purchasing power parity utagundua bado ipo nyuma sana kulinganisha na maybe pesa ya Tanzania.
Yaani 2400 ya TZ unakuta ina fanya manunuzi mengi kuliko hyo 500 ya Zimbabwe.
Hii kitu hata Zambia walifanya hivyohivyo. Walifanya rebase.Miaka si mingi iliyopita, thamani ya 1USD ilikua ni sawa na matrilioni kadhaa ya pesa ya Zimbabwe. Lakin leo thamani ya 1USD ni sawa na 500ZWD tu.
Wakati huo thamani ya 1USD ikiwa matrilioni kadhaa nchini Tanzania 1USD ilikua 1600TZS lakin sasa ni 2400TZS.
Wamewazaje kupandisha thamani ya pesa yao kwa haraka hivyo? Na sisi tunakwama wapi?
View attachment 1906061
😂 😂 😂Dogo huyu
Matoroli haya
''500'' ya Kenya inafanya manunuzi kuliko elfu 10 ya Tanzania.... I hope unalijua hilo. Kwahyo sio issue sana eti kuwa na hela yenye shillingi 1-1000 basi eti una uchumi mzuri kuliko mwenye noti ya elfu 50. Kikubwa ni jinsi gani pesa yako ina nguvu kulinganisha na dollar.Apa ndugu yangu sijakuelewa kusema 2400 itafanya manunuzi mengi kuliko 500 si ni sawa kwa sababu 2400 ni zaid ya mara nne kwa 500 ,au sijaelewa wap
Mbona nimeandika Kiswahili hebu rudia kusoma, naona ulitamani kucomekwa hiyo unaamini currency ya usa haizidiwi na yoyote duniani!
Miaka si mingi iliyopita, thamani ya 1USD ilikua ni sawa na matrilioni kadhaa ya pesa ya Zimbabwe. Lakin leo thamani ya 1USD ni sawa na 500ZWD tu.
Wakati huo thamani ya 1USD ikiwa matrilioni kadhaa nchini Tanzania 1USD ilikua 1600TZS lakin sasa ni 2400TZS.
Wamewazaje kupandisha thamani ya pesa yao kwa haraka hivyo? Na sisi tunakwama wapi?
View attachment 1906061
Mimi siyo mchumi na bado somo halijaingia kichwani, sasa kama hiyo ndo suluhu si nchi zote zingenetengeza hela mpya ili kupandisha hela zao, naamini mmerekani asingekubali hela yake kuzidiwa na currency yoyote duniani.
Sio dhamani ni thamaniTuagnzie hapa 500ZWD = 3250 TZSH, Angalia vitu unavyoweza kununua na iyo pesa ukiwa zimbabwe ndo utajua dhamani yake
Jifunze kusoma ukaelewa Jambo ndo ukachangia soma tena nilichokiandika nazijua currency zoote za dunia hii. Rudi soma, rudia, rudia utaelewa yawezekana darasani wewe ni wale ambao huwa wanaelewa kesho yake baada ya mwalimu kutoka darasaniUnajua kuwa 1USD = 0.85 EURO