Dr Dre
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 2,557
- 2,585
ila ukweli mchungu mzazi huwapenda watoto wake wote kwa usawa wakiwa wadogo wakishakuwa watu wazima, wanapendwa kulingana na kipato na msaada wanaotoa.hasa hawa wakina mama zetu .Nilipokua
Nilipokua kwenye huo umri,mipango ikavurugika,nikarudi home,wa kwanza kunionesha dharau ni bi mkubwa,akawafundisha na watoto wa wadogo zangu pale home kunidharau,hakutosheka..akawa ananijengea dharau kwa watu mitaani,usiombe huo msongo wa mawazo,nikaanza kubeti nipate hela niondoke,mungu siyo benard Morrison network yangu ikalipa,kwa Sasa Nina kipato kuliko kunguni yoyote kwenye ukoo,na huwa sijui Cha kumfanya no mkubwa..Ila bado Nina grudge nae