2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Ndio mkuu nipo darasa la 3 kipindi hiko . Kombe la Dunia 2010 nilikuwa Brazil shabiki mkubwa namba 9 wao Luis Fabiano mechi ya ufunguzi na Ivory coast alipiga kamba mbili tukaja kutolewa na Netherlands huo ndio ukawa mwanzo wa kuichukia Netherlands mpaka Leo na nilifurahi sana Spain walipotwaa ndoo
Wewe ni kadogo kangu
 
Sizani kama france anabeba kombe hili kombe linaenda tena amerika kusini
Kwa mfano nani ?

France akifanikiwa kumtoa Morocco, ana chances za more than 65 % to win the cup

Kwa sasa wana kikosi kizuri kuliko kilichopita

Egypt wamejivuruga, i think being African country ni Tatizo , how come hawakuweza ku hold 13 min tu ….very disappointing …….kuna namna pia kocha wao amekosa basic experience ya game kubwa —— kama kocha angekuwa Mourihno kazi ilikuwa imeshaisha zaman

Nimeumia sana
 
Hata FIFA wamefurahi sana
IMG_0803.jpeg
 
Yeah, ila Refa kapeta ngoja tuone watawabeba mpaka hatua gani
Ishu sio kubebwa….. Egypt had chances za kuingia robo…. Ni kocha wao alishindwa namna ya ku figure out kulinda goli mbili…. He chose to play …. That was a big mistake

Kuna game alicheza Mourihno na Barcelone nadhan ilikuwa Intermilan…… hiyo game hadi Eto alikuwa anakaba kama beki … hadi 90 min zikaisha na hao kina messi walikuwepo

Kocha hakuwa smart kuheshimu ushindi na kumuheshimu mpinzani

Miaka 4 ni mingi sana
 
Ishu sio kubebwa….. Egypt had chances za kuingia robo…. Ni kocha wao alishindwa namna ya ku figure out kulinda goli mbili…. He chose to play …. That was a big mistake

Kuna game alicheza Mourihno na Barcelone nadhan ilikuwa Intermilan…… hiyo game hadi Eto alikuwa anakaba kama beki … hadi 90 min zikaisha na hao kina messi walikuwepo

Kocha hakuwa smart kuheshimu ushindi na kumuheshimu mpinzani

Miaka 4 ni mingi sana
Huwezi ku rule out kuwa kulikuwa na foul kwenye build up kuelekea goli la 3 La team fifa, wanabebwa sana hiyo ipo wazi
 
Kwa mfano nani ?

France akifanikiwa kumtoa Morocco, ana chances za more than 65 % to win the cup

Kwa sasa wana kikosi kizuri kuliko kilichopita

Egypt wamejivuruga, i think being African country ni Tatizo , how come hawakuweza ku hold 13 min tu ….very disappointing …….kuna namna pia kocha wao amekosa basic experience ya game kubwa —— kama kocha angekuwa Mourihno kazi ilikuwa imeshaisha zaman

Nimeumia sana
Ngoja tuone itakuwaje mkuu misri wameyumba wenyew tu
 
Back
Top Bottom