baba-mwajuma
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 5,870
- 12,426
Mechi imeisha Argentina hawana Yellow hata moja, japo kuna Foul za wazi wazi wanafanya, toka Mashindano ya yaanze Kadi Hadi zinazodeserve red hawapewi,
Marefa wanawabeba hadi keroPole.sana
Ilikuwa lazima iwe hivo. Match Ilikuwa FIFA vs Egypt. Hio haitaki tochi
Wewe ni kadogo kanguNdio mkuu nipo darasa la 3 kipindi hiko . Kombe la Dunia 2010 nilikuwa Brazil shabiki mkubwa namba 9 wao Luis Fabiano mechi ya ufunguzi na Ivory coast alipiga kamba mbili tukaja kutolewa na Netherlands huo ndio ukawa mwanzo wa kuichukia Netherlands mpaka Leo na nilifurahi sana Spain walipotwaa ndoo
Kwa mbeleko hizi atabeba kweliMnajua mtapata presha na kisukari kwasababu ya kumchukia MESSI 🐐, shauri yenu nishawaambia Fainali itakuwa ni
Argentina vs Spain
Na MESSI 🐐 anabeba WC back to back.
Hata ronaldo amebebwa sana kuichezea Portugal kwenye hii michuano, yeye ameikwamisha team. Kwahiyo muache MESSI abebwe kwasababu anabebeka 😎👽Kwa mbeleko hizi atabeba kweli
Kwa mfano nani ?Sizani kama france anabeba kombe hili kombe linaenda tena amerika kusini
Enjoy MkuuGreatest Of All Time
Daaah hii ID leo ndo naichek mara kumi kumi aiseee
Nyie watu mpira mmeujulia wapi, kwahyo Colombia kashamtoa tayari Uswizi?Huyu argentina kavuka hii hatua kwa msaada refa,ngoja tuone mechi ijayo akikutana na colombia
Marefa wanawabeba hadi kero
Ishu sio kubebwa….. Egypt had chances za kuingia robo…. Ni kocha wao alishindwa namna ya ku figure out kulinda goli mbili…. He chose to play …. That was a big mistakeYeah, ila Refa kapeta ngoja tuone watawabeba mpaka hatua gani
Huwezi ku rule out kuwa kulikuwa na foul kwenye build up kuelekea goli la 3 La team fifa, wanabebwa sana hiyo ipo waziIshu sio kubebwa….. Egypt had chances za kuingia robo…. Ni kocha wao alishindwa namna ya ku figure out kulinda goli mbili…. He chose to play …. That was a big mistake
Kuna game alicheza Mourihno na Barcelone nadhan ilikuwa Intermilan…… hiyo game hadi Eto alikuwa anakaba kama beki … hadi 90 min zikaisha na hao kina messi walikuwepo
Kocha hakuwa smart kuheshimu ushindi na kumuheshimu mpinzani
Miaka 4 ni mingi sana
Mimi mwenyewe ni shabiki wa Argentina, na nitafurahi endapo tukipiga back to back 🏆 ila nikuombe tu acha udini na ubaguzi, najua huwapendi kwa sababu ni waarabu pia ni waislamu. Au nisivyo???Argentina nipigie PAIPU hao mafirauni mpaka nifurahi.
Ngoja tuone itakuwaje mkuu misri wameyumba wenyew tuKwa mfano nani ?
France akifanikiwa kumtoa Morocco, ana chances za more than 65 % to win the cup
Kwa sasa wana kikosi kizuri kuliko kilichopita
Egypt wamejivuruga, i think being African country ni Tatizo , how come hawakuweza ku hold 13 min tu ….very disappointing …….kuna namna pia kocha wao amekosa basic experience ya game kubwa —— kama kocha angekuwa Mourihno kazi ilikuwa imeshaisha zaman
Nimeumia sana
Ukweli upi?Ila mioyo yao inakuwa inajua ukweli ndio maana wengine wakishaondoka wanakuja kusema ukweli kuwa walilazimika.