2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Playing victim card anatuoneshea fake sympathy ili kuficha biggest robbery in football history
FB_IMG_1783449796977.jpg
 
Refa alikuwa Fair hamna kubebwa, mimi nimeangalia current performance ya Colombia na Argentina ,Colombia wapo vizuri . Salah kazingua mwenyewe, Julian alicheza mpira kwanza na ukawa out of control upande wa Salah. Salah kwanza alikuwa na option mapema ya kupiga pasi au krosi anastahili lawama. Lisandro kweli kakanyagwa so ni faulo.
Hawa ni wehu achana nao 😂😂😂😄
 
Mechi ya kwanza ya mpira kuumia maumivu makali ni Man U Vs Barca 2010 kama 11 kama sikosei enzi hizo nipo shule ya msingi , napenda Man U kuliko kitu chochote Duniani siku hiyo nilipata tabu sana na ukawa mwanzo wa kumchukia Messi.

Yanga na Mamelodi sikuamini eti mtu mzima nishindwe kulala kisa maumivu ya mpira dah! maumivu yalidumu kama wiki mbili mpaka nikasahau , tokea siku hiyo mpaka leo kama nimeacha hata kuangalia mechi za Yanga . Mpaka Leo haijalishi Yanga anacheza mechi gani hauwezi kunikuta natoa hela yangu kwenda Banda umiza kucheki na kuifuatilia kama zamani .

Sasa maumivu ya mpira sina kabisa baada ya depression nilipunguza kama sio kuacha kabisa ushabiki , sasa nacheki mechi moja Moja tu au michuano muhimu kama burudani tu na sio kama shabiki kindakindaki wa kuumia kama zamani
2010 upo shule ya msingi!

Uwe unasalimia wakubwa mjukuu wangu.
 
Back
Top Bottom