Argentina nipigie PAIPU hao mafirauni mpaka nifurahi.Proved Muulize comrade_kipepe tangu ameanza kuwachukia waarabu amepata faida gani??? Akiwachukia, akiwabagua na kuonyesha roho mbaya haiwapunguzii chochote,, kama ni hela wanazo, sasa ukiwasusia ama kuwachukia itakusaidia nini 😄😄
Mwanaume unaonyesha hisia kwa mwanaume mwenzio kweli!!!! hahaaaaa aibu gani hiyo!!!
Mwilage lolo mami
Leo farao anawarudisha nyumbaniRaia wa Argentina mpoooo🔥
Umenza lini ulozi ?Leo farao anawarudisha nyumbani
Hapo hakuna ulozi ....Umenza lini ulozi ?
🔥🔥🔥🔥🔥 farao must winHaya tukutane tena kwa maslahi ya bara la Afrika.
Kila la kheri Misri
Pole mzee unafanya kazi call centre nini 😀😀😀😀😀Wakuu tunaomba Updates bado wengine tuko mbali na TV leo.
Majukumu yamekaza...
Amina....Niko hapa kuwapa Moyo wana Egypt wote Msiogope hawa Argentina wa kawaida tuu, nendeni mkaishangaze dunia leo mrudisheni messi nyumbani
Tulia uone namna mnavyorudi kwenye nchii ya ahadi sawa kijanaHapo hakuna ulozi ....
Sawa nasikia imam Ashur 😅😅Wakuu tunaomba Updates bado wengine tuko mbali na TV leo.
Majukumu yamekaza...
Hata wakisema tudeki bahari, tutadeki tu mkuu 😂