Colombia atamtoa uswiziNyie watu mpira mmeujulia wapi, kwahyo Colombia kashamtoa tayari Uswizi?
Colombia atamtoa uswiziNyie watu mpira mmeujulia wapi, kwahyo Colombia kashamtoa tayari Uswizi?
Leo umeamua ucomenti babu 😄👏Umeamua kuiconvect to personal 😃😃😃
Hiyo niachie Mimi, kila mtu ana uhuru wa kuchaguaMimi mwenyewe ni shabiki wa Argentina, na nitafurahi endapo tukipiga back to back 🏆 ila nikuombe tu acha udini na ubaguzi, najua huwapendi kwa sababu ni waarabu pia ni waislamu. Au nisivyo???
Sio rahisi hivyoColombia atamtoa uswizi
Basi sawa msenegaliHiyo niachie Mimi, kila mtu ana uhuru wa kuchagua
Mkuu umetisha..
Sawa mzee , nimekuelewa... sasa umeelewa kati yako na Machiavelli nani ni psychopath Da'VinciSio kila anayeitwa mwanafalsafa basi nukuu zake zinatakiwa kuchukuliwa serious.
Nyie ndio mnakujaga kutapeliwa.
Wengine ni psychopath
Ni sawa na watu walioko nje ya JF wana amini JF kuna watu wenye akili kubwa na fikra pana.
Watu hao wanakuwa wana amini hivyo kwasababu hawajakuona wewe na ndugu zako hapo juu.
Mkuu unanihukumu bure, nime judge tokana na nilichokiona, nina masikio mawili na macho mawili.. No hard feelings..kwani CR7 na Messi walipoanza kucheza mpira waliwaarifu mashabiki kuwa wameanza kushindania kuwa nani bora kama si sisi tu wamatumbi kupenda kulinganisha? ronaldo amefanya kile awezacho bila kuangalia wala kujifananisha na yeyote,vilevile kwa messi,inakuwaje nyie mnawalinganisha? kwa nini msijilinganishe ninyi kwa ninyi namna mlivyofanikiwa mkaachana na mafanikio ya messi na ronaldo? Niwaulizeni, kipindi anacheza ronadinho gaucho mlikuwa mnamlinganisha na nani?Acheni uzwazwa,kila mtu anastahili heshima.
Oyaaa wew mtoto acha kutuharibia uzi na mambo yako ya kidini. Mwenzako ame comment vizuri tu kuhusu mpira wewe unaingiza udini.Mimi mwenyewe ni shabiki wa Argentina, na nitafurahi endapo tukipiga back to back 🏆 ila nikuombe tu acha udini na ubaguzi, najua huwapendi kwa sababu ni waarabu pia ni waislamu. Au nisivyo???
Sahihi mkuu..Muda utajibu
Usipende kumwambia mtu ni mtoto wakati hunijui, ni hilo tuOyaaa wew mtoto acha kutuharibia uzi na mambo yako ya kidini. Mwenzako ame comment vizuri tu kuhusu mpira wewe unaingiza udini.
Fifa wanalao jambo na hawa ArgentinaKatika historia ya kombe la dunia hakujawahi kutokea mechi ikapangiwa waamuzi wote kutoka nchi moja.
Kwa mara ya kwanza tangu mashindano haya yaanze mwaka 1930, mechi kati ya France Vs Morocco itasimamiwa na waamuzi kutoka taifa moja.
Hao waamuzi ni raia wa nchi gani? Jibu rahisi tu, wote wanatokea Argentina.
Another rigged tournament.
View attachment 3624725
Point yako?Katika historia ya kombe la dunia hakujawahi kutokea mechi ikapangiwa waamuzi wote kutoka nchi moja.
Kwa mara ya kwanza tangu mashindano haya yaanze mwaka 1930, mechi kati ya France Vs Morocco itasimamiwa na waamuzi kutoka taifa moja.
Hao waamuzi ni raia wa nchi gani? Jibu rahisi tu, wote wanatokea Argentina.
Another rigged tournament.
View attachment 3624725
Nakuja vzuri mtoto mzuri, ukiendelea kunibishia nakutumia picha hadi za familia yakoUsipende kumwambia mtu ni mtoto wakati hunijui, ni hilo tu
Mmeanza, mkishaona tu ameshinda mechi mnaanzaFifa wanalao jambo na hawa Argentina
Iko wazi Argentina ni timu ya mbeleko ipo wazi ni kama fifa wanataka wa win hili kombe back to backMmeanza, mkishaona tu ameshinda mechi mnaanza