2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

MESSI anapendwa kupita kiasi na wachezaji wenzake, na hii ndiyo silaha kubwa sana wapo teyari kufia uwanja kisa YEYE🐐👑
#Hallelujah!!!
IMG-20260707-WA0106.jpg
 
Ulimwengu wote sasa umeanza kutambua, haiwezi kuwa bahati mbaya mchezaji ambaye anasemwa kuwa sio GOAT ndio awe mchezaji mwenye influence zaidi duniani kuliko kiumbe yeyote.

Hii ni kumaanisha ulimwengu unafahamu vya kutosha kuhusu fraud za kumtengenezea mtu mazingira ya kumrahisishia.

Unaweza kuharibu World Cup au Ballon Dor lakini hakuna mtu timamu atayeweza kutambua hizo prizes kama ni mafanikio halisi.

FB_IMG_1783449598098.jpg
 
Nikisema mechi iishe ndio nifurahi naweza nisifurahi kwasababu yambele siyajui.

Jana nilikuwa na siku mbaya sana na nilisema itafika time namimi nitacheka.

Wakati wenyewe nauona ndio huu sasa kwanini nisiutumie, ukiharibika je?

So yeah this is my hate watch
😀😀 wewe kucheka bado saaana Mkuu na hautakuja kucheka .

Wewe pamoja na Babu yako Cr7.
 
Back
Top Bottom