2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Katika historia ya kombe la dunia hakujawahi kutokea mechi ikapangiwa waamuzi wote kutoka nchi moja.

Kwa mara ya kwanza tangu mashindano haya yaanze mwaka 1930, mechi kati ya France Vs Morocco itasimamiwa na waamuzi kutoka taifa moja.

Hao waamuzi ni raia wa nchi gani? Jibu rahisi tu, wote wanatokea Argentina.

Another rigged tournament.
View attachment 3624725
Whatever the case Moroco hana team ya kuifunga France, yaani hata waombe msaada wa Egypt, bado ndani ya dk90 France anamuweka vzuri tu huyo Morocco.
 
Wasio tazama mechi za Argentina wanaweza kusema hapa Messi alikuwa akiangalia mbinguni wakaanza kumpa sifa za ucha Mungu.

Nuh bro you're wrong, he's looking at Infantino in the stands up top
FB_IMG_1783459293395.jpg
 
Wewe kutapeliwa inaonekana ni rahisi sana.
matapeli siku zote wanakushawishi ufikirie kuwa hisia au ushahidi ulio nao mbele ya macho yako sio sahihi, na badala yake uamini kile wanachokwambia wao.

Matapeli pia hukataa kabisa makosa au ushahidi wa wazi unaowaonyesha ili kukulazimisha ukubali matakwa yao.

Mfano Messi ameonekana ana kiwango kizuri kuliko Ronaldo , unaona kabisa Argentina inasonga mbele na Messi anaendelea kupiga nyavu, halafu tapeli anataka kukuaminisha Messi si chochote...

Wewe huwezi kunitapeli..

Ninasimamia kile ninachokiona na kukijua badala ya kubadilisha mawazo yangu haraka pale unapopinga...

Bro, Messi ni Messi tu...

Da'Vinci

Acha utapeli Scars kama umechukia chukua jembe ukalime..
 
Wale watu waliokuwa wanahoji kwanini Ronaldo anaonekana kuchukiwa, kwanini ana ego.

Majibu ni haya.

Kwenye moments kama hizi Ronaldo hajawahi kukaa kimya na akiongea anaongea kwa tone ya kukemea na sio kufanya blanda za kumkanda umbwa ufyele.

Wahusika wa matukio huchukia sana kwasababu wamekuwa exposed na jamaa influence yake ni kubwa hivyo ujumbe unasambaa kwa haraka zaidi.

Ndio maana FIFA wakaamua kumpandisha Messi kwa kumpa treatments za juu ili awe mshindani wa Ronaldo na aweze kumvua crown yake.

FB_IMG_1783371623333.jpg
 
matapeli siku zote wanakushawishi ufikirie kuwa hisia au ushahidi ulio nao mbele ya macho yako sio sahihi, na badala yake uamini kile wanachokwambia wao.

Matapeli pia hukataa kabisa makosa au ushahidi wa wazi unaowaonyesha ili kukulazimisha ukubali matakwa yao.

Mfano Messi ameonekana ana kiwango kizuri kuliko Ronaldo , unaona kabisa Argentina inasonga mbele na Messi anaendelea kupiga nyavu, halafu tapeli anataka kukuaminisha Messi si chochote...

Wewe huwezi kunitapeli..

Ninasimamia kile ninachokiona na kukijua badala ya kubadilisha mawazo yangu haraka pale unapopinga...

Bro, Messi ni Messi tu...

Da'Vinci

Acha utapeli Scars kama umechukia chukua jembe ukalime..
Mbali na uchekeshaji ni kipaji gani kingine ulichonacho?
 
matapeli siku zote wanakushawishi ufikirie kuwa hisia au ushahidi ulio nao mbele ya macho yako sio sahihi, na badala yake uamini kile wanachokwambia wao.

Matapeli pia hukataa kabisa makosa au ushahidi wa wazi unaowaonyesha ili kukulazimisha ukubali matakwa yao.

Mfano Messi ameonekana ana kiwango kizuri kuliko Ronaldo , unaona kabisa Argentina inasonga mbele na Messi anaendelea kupiga nyavu, halafu tapeli anataka kukuaminisha Messi si chochote...

Wewe huwezi kunitapeli..

Ninasimamia kile ninachokiona na kukijua badala ya kubadilisha mawazo yangu haraka pale unapopinga...

Bro, Messi ni Messi tu...

Da'Vinci

Acha utapeli Scars kama umechukia chukua jembe ukalime..
Familia yako inafahamu kuwa wewe ni comedian au tunajua peke yetu tu huku JF?
 
Wale watu waliokuwa wanahoji kwanini Ronaldo anaonekana kuchukiwa, kwanini ana ego.

Majibu ni haya.

Kwenye moments kama hizi Ronaldo hajawahi kukaa kimya na akiongea anaongea kwa tone ya kukemea na sio kufanya blanda za kumkanda umbwa ufyele.

Wahusika wa matukio huchukia sana kwasababu wamekuwa exposed na jamaa influence yake ni kubwa hivyo ujumbe unasambaa kwa haraka zaidi.

Ndio maana FIFA wakaamua kumpandisha Messi kwa kumpa treatments za juu ili awe mshindani wa Ronaldo na aweze kumvua crown yake.

View attachment 3624734
Ronaldo ni hatari kuliko Messi.. hatari sana..
Ataipeleka timu yake fainali na kuchukua kombe...
 
Back
Top Bottom