matapeli siku zote wanakushawishi ufikirie kuwa hisia au ushahidi ulio nao mbele ya macho yako sio sahihi, na badala yake uamini kile wanachokwambia wao.
Matapeli pia hukataa kabisa makosa au ushahidi wa wazi unaowaonyesha ili kukulazimisha ukubali matakwa yao.
Mfano Messi ameonekana ana kiwango kizuri kuliko Ronaldo , unaona kabisa Argentina inasonga mbele na Messi anaendelea kupiga nyavu, halafu tapeli anataka kukuaminisha Messi si chochote...
Wewe huwezi kunitapeli..
Ninasimamia kile ninachokiona na kukijua badala ya kubadilisha mawazo yangu haraka pale unapopinga...
Bro, Messi ni Messi tu...
Da'Vinci
Acha utapeli
Scars kama umechukia chukua jembe ukalime..