AXIOM APEX VERBOSE
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 12,215
- 20,461
Misri imeshatoka hata mkilia imeshakua
Misri imeshatoka hata mkilia imeshakua
Mkubwa kivipi ? 2010 nipo darasa la 3 , nilianza ushabiki wa mpira 2008 nipo darasa la kwanza .Kumbe wewe ni mkubwa yaani uliumia mwaka 2010?
😂Muungane sasa tim GOAT mumueleze mheshimiwa waziri wa michezo amlete CR7 bongo kwasasa maana hana kazi uko
Ndio mpira ulivyo mkuu, Leo unakumiza kesha unakupa furaha. Sema mie ninacho mshukuru MUNGU ni kutojiingiza kwenye masuala ya kubeti.Mechi ya kwanza ya mpira kuumia maumivu makali ni Man U Vs Barca 2010 kama 11 kama sikosei enzi hizo nipo shule ya msingi , napenda Man U kuliko kitu chochote Duniani siku hiyo nilipata tabu sana na ukawa mwanzo wa kumchukia Messi.
Yanga na Mamelodi sikuamini eti mtu mzima nishindwe kulala kisa maumivu ya mpira dah! maumivu yalidumu kama wiki mbili mpaka nikasahau , tokea siku hiyo mpaka leo kama nimeacha hata kuangalia mechi za Yanga . Mpaka Leo haijalishi Yanga anacheza mechi gani hauwezi kunikuta natoa hela yangu kwenda Banda umiza kucheki na kuifuatilia kama zamani .
Sasa maumivu ya mpira sina kabisa baada ya depression nilipunguza kama sio kuacha kabisa ushabiki , sasa nacheki mechi moja Moja tu au michuano muhimu kama burudani tu na sio kama shabiki kindakindaki wa kuumia kama zamani
Kidogo leo angelala na viatu huyo jamaaGreatest Of All Time
Daaah hii ID leo ndo naichek mara kumi kumi aiseee
Ila una heshima na bado unamuita mkuuMkuu pole.
Out of Point 2010 ulikuwa bado shule ya msingi?
Inamaana unapishana kidogo umri na first born wangu 😃😃
Ndio mkuu nipo darasa la 3 kipindi hiko . Kombe la Dunia 2010 nilikuwa Brazil shabiki mkubwa namba 9 wao Luis Fabiano mechi ya ufunguzi na Ivory coast alipiga kamba mbili tukaja kutolewa na Netherlands huo ndio ukawa mwanzo wa kuichukia Netherlands mpaka Leo na nilifurahi sana Spain walipotwaa ndooMkuu pole.
Out of Point 2010 ulikuwa bado shule ya msingi?
Inamaana unapishana kidogo umri na first born wangu 😃😃
Noma sana , Jamaa wana utulivu wa Hali ya juu kuweza kufanya comeback ya magoli 3 ndani ya dkk 15 sio mchezoArgentina wakabidhiwe kombe tu hamna timu itawafunga hawa 😀
Noma sana , Jamaa wana utulivu wa Hali ya juu kuweza kufanya comeback ya magoli 3 ndani ya dkk 15 sio mchezoArgentina wakabidhiwe kombe tu hamna timu itawafunga hawa 😀
Hahaha hakuna siku nimefurahi km leo toka World Cup ianze kudadek leo nimefurahi balaa nimefurahii hahahaWalivyofunga goli la tatu, almanusura nipasue tv yangu, hakika sijawahi kupata huzuni na hasira toka world cup ianze kama leo
Sijui hali ingekuaje aiseeee..Kidogo leo angelala na viatu huyo jamaa
Sio pouwah mkuu hua najiuliza wanao angalizia mpira vibanda umiza na kwenye baa.Sana tu. Me natamani WC iishe tu...turudi kwenye maisha yetu ya kawaida. Ila haya mambo ya kuumia umia kila siku waweza umwa na pressure na kisukari
Oya hiki nini kudadek zako?