2025 ndani ya CCM ni team Lowassa + team Magufuli vs. Team Msoga

Mwenyekiti alijaribu kuwaleta karibu team Msoga na kuwatimua team JPM, lakini akausoma mchezo kuwa vijana wa Msoga wana ambitions kubwa mno hiyo 2025, akizembea hata yeye anawekwa pembeni. Vilevile ushawishi wa JPM bado ni mkubwa mno kwenye siasa za nchi hii.

Uelekeo wa sasa ni mwenyekiti kwenda na team Lowasa plus team JPM. Kwa kuzileta hizo team mbili karibu kuna uwezekano wa team Msoga kumalizwa mazima this time.

2025 ni mtihani mzito kwa chama kuliko hata 2015.
Itakuwa ulikuwa umelala tangu mwaka 2015, sasa ndio umeamka!
 
Mwenyekiti alijaribu kuwaleta karibu team Msoga na kuwatimua team JPM, lakini akausoma mchezo kuwa vijana wa Msoga wana ambitions kubwa mno hiyo 2025, akizembea hata yeye anawekwa pembeni. Vilevile ushawishi wa JPM bado ni mkubwa mno kwenye siasa za nchi hii.

Uelekeo wa sasa ni mwenyekiti kwenda na team Lowasa plus team JPM. Kwa kuzileta hizo team mbili karibu kuna uwezekano wa team Msoga kumalizwa mazima this time.

2025 ni mtihani mzito kwa chama kuliko hata 2015.
mtihani uko wapi kama wamekubaliana mama aendelee kuwa mgombea pekee ndani ya chama chao?
 
Mwenyekiti alijaribu kuwaleta karibu team Msoga na kuwatimua team JPM, lakini akausoma mchezo kuwa vijana wa Msoga wana ambitions kubwa mno hiyo 2025, akizembea hata yeye anawekwa pembeni. Vilevile ushawishi wa JPM bado ni mkubwa mno kwenye siasa za nchi hii.

Uelekeo wa sasa ni mwenyekiti kwenda na team Lowasa plus team JPM. Kwa kuzileta hizo team mbili karibu kuna uwezekano wa team Msoga kumalizwa mazima this time.

2025 ni mtihani mzito kwa chama kuliko hata 2015.
Lakini team msoga imejichimbia sana
 
Siasa za Tanzania ni nzuri sana.
Rais aweza kuunda team yake mpya kabisa ambayo itakuwa loyal kwake 100℅ kwa kuyaondoa makundi na wote wakakaa kimya wakisubiri wakati wao.
Nguvu ya mamba ipo kwenye maji.
 
Back
Top Bottom