Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 5,872
- 2,489
Wakati utasema ,Sasa watafanya Kwa mlengo wa alieshika hatam sio kwa historian ya huko nyuma!
Juzi tu CHAGUZI ZA HUKU PEMBA za majimbo , WALIJARIBU YALEYALE , ACT walikaza buti wakashindwa kufanya yao