2025 FIFA Club World Cup - Special Thread

2025 FIFA Club World Cup - Special Thread

Chelsea ndo bingwa wa kwanza wa hii michuano. Sioni utofauti mkubwa kimbinu kati ya Chelsea na PSG. Madrid akifanikiwa kumtoa PSG tutashuhudia pira la hovyo fainali japo mimi ni Madrid dam dam.
 
Nipo upande wa PSG mana ndo namtaka nicheze nae fainali, the blues tuchukue ubingwa mbele ya bingwa wa Ulaya 🔥
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom