Andromeda Galaxy
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 8,654
- 14,051
Sasa wajiandae na either Madrid au psgChelsea huwa anahangaishwa na waingerza wenzake ila akikutana na wa ligi nyingine, huwa sio kazi ndogo.
Sasa wajiandae na either Madrid au psgChelsea huwa anahangaishwa na waingerza wenzake ila akikutana na wa ligi nyingine, huwa sio kazi ndogo.
Hii tunabeba mkuu 😎Waingereza wanavyopenda Sifa.
Chelsea itaonekana ndio national team.
Wataanza campaign ya we will take it home 😃😃
Halafu wanapigwa
Maji kupanda mlima ni kipengele kizito sana kiukweli, washabiki wa Chelsea FC hatutaamini dhahama itayotukuta siku hiyo.....🤔😭Sasa wajiandae na either Madrid au psg
Hamna kitu mtabebaHii tunabeba mkuu 😎
Hata kufika fainali mlisema hatutofika 😂Hamna kitu mtabeba
Aje anyooshwe vizuri, Fluminence iliyokuwa mwiba kweli kweli jana kakalishwa na alizidiwa kila kitu.Sisi Chelsea tunamtaka PSG 😎
Mkuu unayajua ma PSG ya zama hizi? Utaona Leo Madrid atakavyokula kipigo!Mnaichukulia poa sana Chelsea eh!
Heeeeeee!Sisi Chelsea tunamtaka PSG 😎😂😂😂😂
Pia mlitegemea hatutofika fainali Ila tumefika 😂
Ngoja tuone lakiniHata kufika fainali mlisema hatutofika 😂
Mtatisha sanaNipo upande wa PSG mana ndo namtaka nicheze nae fainali, the blues tuchukue ubingwa mbele ya ubingwa wa Ulaya 🔥
Timu kubwa.PSG tujuane mapema