2025 FIFA Club World Cup - Special Thread

2025 FIFA Club World Cup - Special Thread

Kabisa wakabisha chelsea katika fainal za makombe makubwa ni fainali moja tu 2008 uefa dhidi ya man u ndo ilishindwa kutwaa tena ilishindwa kwa penati kwahio chelsea ni mfupa mgumu kwelikweli ikifika hatua ya fainal
Watu wanatumia hisia na mahaba

Kuna jamaa yangu bwege hapa kapigwa laki 3, nilimwambia sana kaniona fala sasa kaenda kulala ana stress balaa sijui kama hatokunywa sumu au kujinyonga usiku huu
 
IMG-20250714-WA0006.jpg
 
Back
Top Bottom