Wametepeta sana aiseeWatu waliwadharau Chelsea, ila ndiyo kapita hivyo. Sioni Hawa Wabrazil wakirudisha hizo BAO mbili.
Wapo vizuri... Ila Leo wamekutana na fundi wao!!Sijui waliifungaje al hilal
Nimemsikia mtangazaji akisema he is taking too long
Na ninaomba Chelsea akutane na PSG, tutashuhudia mechi nzuri sana.
Mpira hauko hivo.. ungekuwa hivo mhindi tungemchakaza sana.Kwa PSG, Chelsea atapigwa mpaka achakae.
Hovyo kabisa.Sijui waliifungaje al hilal
Unaendeleaje mkuu 😂Fluminence bingwa
Chelsea ana bahati sanaFT
Fluminense 0
Chelsea 2.
Chelsea to The FINAL....
First Club to Final 2025....
Mpira hautabiriki.Maombi yenu Wakuu Chelsea SC anaenda kupata aibu kubwa fainali ya world club cup 2025 tangu kuumbwa kwa ulimwengu.
Fire Maresca The Chelsea FC Coach.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Waingereza wanavyopenda Sifa.London is blue