AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,078
- Thread starter
- #61
Asante sana dear
Kweli muda sana hatujaonana kokote ila nashukuru uzima wako.
Niko salama kabisa na familia iko salama.
Ni kweli dear napaswa kumshukuru Mungu kwa kila jambo.
Kiafya niko salama na familia pia
Kiuchumi sijayumba niko salama
Mipango yangu imeenda salama na natarajia mengi kwa mwaka ujao Mungu akinilinda.
Matarajio ni mengi sana ikiwa ni pamoja na kuongeza pale nilipofikia
Nikiomba ulinzi wa Mungu kunifanikisha kwa yale niliyopanga.
Kidogo nahitaji weight ibakie hapa hapa nisongezeke sana
R' naona mambo yako yooote yapo kwenye mstari mpaka nakuonea wivu.....lol..
Hongera bana for it is rare .... ILa tu am curious mbona unakwepa kuniambia nini exactly mipango yako mwakani?