"2011" – What a year it has been!!! KARIBU 2012....

It was a wonderful year my dear, as kila kitu kilicho tokea kimenisaidia kwenda mbele (like misiba, distant relation etc). I was able to use them positively. Hapa tunafika almost mwisho wa mwaka, balance iko largely positive!


That's the spirit! It is a Great thing learning from yale ambayo yanakuumiza.... It makes as stronger, more human and more understanding....

In addition... One of my Great achievements mwaka huu ni kupata new friends... Diverse, each very interesting in his/her own way. Katika maisha yangu i have never made marafiki wengi kwa mda mfupi kama hapa JF na one of them is you....
 
That's the spirit! It is a Great thing learning from yale ambayo yanakuumiza.... It makes as stronger, more human and more understanding....

In addition... One of my Great achievements mwaka huu ni kupata new friends... Diverse, each very interesting in his/her own way. Katika maisha yangu i have never made marafiki wengi kwa mda mfupi kama hapa JF na one of them is you....
Hapo bold... My heart just melts yaani... thank youuuuuu.
 

:flypig:......Habari wana JF.... Hopefully you are all well and Good.....[/


COLOR]
[/
SIZE]:flypig:



Ni kawaida mwanadamu hasa unapokua mtu mzima na responsibilities kuhakikisha kua one has done walau something productive ama worthwhile kabla mwaka huajaisha, ili ikifika
mwisho wa mwaka wajivunia kwa kufikisha
malengo ama wajizodoa kwa kushindwa. Sijui

kwa wenzangu ila mie kwa upande wangu kila nikipanga jambo/mambo yakufanya, mara nyingi most hugeuka kabisa nje ya matarajio... Mara uchemke! Mara matatizo kama misiba, mitaji
kuyumba na vikwazo vingi kibao!



However 2011 kwangu has been a good year.... One of the Great years of my life. Mengi





niliponga yameenda tofauti BUT ni mengi ambayo




sikua na idea nayo kua yangetokea na



kunifurahisha..... God and life itself has treated me fairly and a lot of wonderful surprises and

fulfilling events and stuffs..... "NAMSHUKU
RU MUNGU"....


Among the few i have been able to achieve the following.....


  • Nimetimiza nusu ya Umri wa kuishi mwanadamu nikiwa na afya njema.
  • For the first time in four years nimeweza sherekea birthdays za wanangu waoote nami nikiwepo.
  • My love life is
    great and constantly rejuvinated.... I feel more of
    a woman as days go on.

  • Nimekua exposed to JF. Hapa ni mambo lukuki nimepata.... Great Friends.... More Networked..... Intensive

    Knowledge... Entertainment.... Great discussions... The list goes on.


Kupanga kwangu ya 2011 na kutotokea kama matarajio yangu hayanikatishi kupanga tena ya 2012; Hivo basi
mwaka ujao (Mwenyezi Mungu akinipa Uzima) the
following ndio mipango yangu....



  • Niache uvivu na nijitume kufanya mazoezi kupunguza kidogo
    weig
    [FONT=palatino
    linotype]ht.[/FONT]


  • Kuongeza elimu – walau ki course chochote CV ipendeze cheti kimoja ukutani kipo lonely.
  • Tafuta organisatiion inayo gusa jamii moja kwa moja na kujiunga nayo; walau nami nijivunie najitolea....lol
  • Badilisha comp na kununua simu nzuri kidogo maana mchina kanichosha.
  • Get pregnant .... AGAIN. Baba watoto kachachamaa....



Fellow JF Members.... Upande wako HOW WAS 2011? (Good OR Bad?) na What are your plans for 2012? GOD Willing?



Pamoja Saana:grouphug:

AshaDii.



Hongera sana,

Hilo la kwanza ulilopanga ndio moja ya mambo niliyoweza kufanikisha mwaka huu.
Nimeweza kuondoa kilo 18,nilikuwa na 85 na urefu wangu ni 5,2 hivyo unaweza ukaelewa shughuli ilivyokuwa lakini sasa nina kilo 67,kwa mtu ambaye hajawahi kuwa na issue ya weight hawezi kuona kama kuna kitu chochote cha kufurahia hapo.

Namshukuru pia Mungu kwa kumaliza chuo na kupata kibarua cha kujishikiza kwa sasa.

Lengo langu kubwa 2012 panapo majaliwa ni kuhama home na kwenda kwenye makazi yangu binafsi,maanake wazee wangu siku hadi siku wanazeeka vibaya ha ha ha.

Lakini kubwa kuliko yote ni kumshukuru Mungu kwa uhai na kumuomba atuvushe kuingia2012,haijalishi umetimiza yote,nusu au hujatimiza kabisa coz bila uhai hakuna linaloweza kufanyika.
 
Hongera sana,

Hilo la kwanza ulilopanga ndio moja ya mambo niliyoweza kufanikisha mwaka huu.
Nimeweza kuondoa kilo 18,nilikuwa na 85 na urefu wangu ni 5,2 hivyo unaweza ukaelewa shughuli ilivyokuwa lakini sasa nina kilo 67,kwa mtu ambaye hajawahi kuwa na issue ya weight hawezi kuona kama kuna kitu chochote cha kufurahia hapo.

Namshukuru pia Mungu kwa kumaliza chuo na kupata kibarua cha kujishikiza kwa sasa.

Lengo langu kubwa 2012 panapo majaliwa ni kuhama home na kwenda kwenye makazi yangu binafsi,maanake wazee wangu siku hadi siku wanazeeka vibaya ha ha ha.

Lakini kubwa kuliko yote ni kumshukuru Mungu kwa uhai na kumuomba atuvushe kuingia2012,haijalishi umetimiza yote,nusu au hujatimiza kabisa coz bila uhai hakuna linaloweza kufanyika.



Dah! Soraya kupunguza such weight sio lele mama aise... How did you manage? Hebu nipe tips maana mimi ni mvivu wa kutupwa when it comes to that.... Am serious nidokeze ulifanya nini.....

Hongera dear it seems it was a good year kwako maana naona umetaja vitu ambavo ni vya msingi na vya maana ku achieve... Na naamini kua utaweza mipango yako hio mipya ya mwaka Ujao kwa uwezo na nguvu za Mwenyezi Mungu.

I second on your last sentence.... 100% sababu bila Mungu yoote kazi bure.... Thank you for sharing... Ila tu nikudokeze Nguli akikuona na Avatar yake (maana ipo exact) ama amind....lol
 
Dah! Soraya kupunguza such weight sio lele mama aise... How did you manage? Hebu nipe tips maana mimi ni mvivu wa kutupwa when it comes to that.... Am serious nidokeze ulifanya nini.....

Hongera dear it seems it was a good year
kwako maana naona umetaja vitu ambavo ni
vya msingi na vya maana ku achieve... Na
naamini kua utaweza mipango yako hio mipya
ya mwaka Ujao kwa uwezo na nguvu za
Mwenyezi Mungu.



I second on your last sentence.... 100% sababu bila Mungu yoote kazi bure.... Thank you for
sharing... Ila tu nikudokeze Nguli akikuona na
Avatar yake (maana ipo exact) ama
amind....lol


Ha ha ha...Asante sana na wewe pia
Kitu nilichofanya ni kupunguza starch,sukari na vyakula vyenye mafuta,

lakini kikubwa zaidi kilicho nisaidia ni kutembea muda wa lisaa limoja mara nne kwa wiki na usiku nilikuwa nakula matunda ndio dinner na nnakula saa moja na nusu usiku,ndio mpaka kesho yake.

Kama nikisikia njaa nakunywa maji,ilikuwa ngumu miezi sita ya mwanzo ukichanganya na mazingira ya chuoni lakini hatimaye nilivuka.


Nguli ni nani huyo ni huyu wa kwenye hii picha
...kama ni yeye hawezi kuiona bana ha ha ha!
 
Umegusa topic nzuri sana na wakti muafaka! Personally mwaka 2011 ulizanza doro doro na mambo kwenda hado hado, lakini namshukulu Mungu kwamba for the moment there's a huge turn around ktk mambo yangu muhimu. Nina imani mwaka 2012 utakuwa na mafanikio zaidi kwangu binafsi na kwa kila mmoja wetu including mtoa mada.
The only black spot about 2012 ni hiyo December 21st 2012....mwaya nasikia eti ndio kiama kama ile movie ilivyotabiri.
Mungu akubariki. Mungu awabariki wana JF wote
 
Ha ha ha...Asante sana na wewe pia
Kitu nilichofanya ni kupunguza starch,sukari na vyakula vyenye mafuta,

lakini kikubwa zaidi kilicho nisaidia ni kutembea muda wa lisaa limoja mara nne kwa wiki na usiku nilikuwa nakula matunda ndio dinner na nnakula saa moja na nusu usiku,ndio mpaka kesho yake.

Kama nikisikia njaa nakunywa maji,ilikuwa ngumu miezi sita ya mwanzo ukichanganya na mazingira ya chuoni lakini hatimaye nilivuka.


Nguli ni nani huyo ni huyu wa kwenye hii picha
...kama ni yeye hawezi kuiona bana ha ha ha!


Noted with appreciation hio tip umenipa..... Kuacha kula napo kazi jamani... Dah! Nitajitahidi lakini..... Asante... Kwa miezi sita mfululizo wastahili pongezi... I bet you are Hot sasa! lol.... Waweza niambia mabadiliko.... the good side of it?

Nguli yupo bana, sema tu hayupo active saana at present but he is thea..... Ni vizuri lakini waweza kuta hii avatar yake ya Trey ikamtoa pangoni.....lol
 
Umegusa topic nzuri sana na wakti muafaka! Personally mwaka 2011 ulizanza doro doro na mambo kwenda hado hado, lakini namshukulu Mungu kwamba for the moment there's a huge turn around ktk mambo yangu muhimu. Nina imani mwaka 2012 utakuwa na mafanikio zaidi kwangu binafsi na kwa kila mmoja wetu including mtoa mada.
The only black spot about 2012 ni hiyo December 21st 2012....mwaya nasikia eti ndio kiama kama ile movie ilivyotabiri.
Mungu akubariki. Mungu awabariki wana JF wote


Vuvuzela siku nyingi saana mukuu tumekutana kwenye post... Kama sikosei mara ya mwisho tulikutana kwenye ile ya The Boss na Manager wa Stanbic.... (correct me if am wrong) Enways...

Thanks for the acknowledgement .... Na nimefurahi kua kwa upande wako ni mwaka mzuri pia na wategemea utakua for the better zaidi ya hapo.... Nakuombea Mungu ajalie hayo, na nashukuru pia kwa Maombi juu yangu na Fellow members....

Hio ya Dec the next year mbona ndio naisikia kwako? lol.... safari hii imetoka wapi, AU ndo unasema on the basis ya ile movie ya John Cussack ambayo the whole theme iko based on the mayan Calender? lol.... Ile movie naipenda saana, nampenda saana yule binti alocheza mtoto wa President.... jina lake Thandie Newton (fell in love with her in Mission Impossible ya Tom Cruise), So is it?
 
Mwaka huu naweza kusema kuwa Mungu amenijalia mengi sana. Afya kwangu na familia yangu imekuwa nzuri na mipango yangu mingi imefanikiwa. Naamini Mungu atanijalia na ile niliyoipanga mwaka huu unaokuja.
Kwa kweli sina ambacho naweza sema mwaka ulikuwa mbaya kwangu. Namshukuru Mungu sana.
 

:flypig:......Habari wana JF.... Hopefully you are all well and Good.....:flypig:

.... Sijui kwa wenzangu ila mie kwa upande wangu kila nikipanga jambo/mambo yakufanya, mara nyingi most hugeuka kabisa nje ya matarajio... Mara uchemke! Mara matatizo kama misiba, mitaji kuyumba na vikwazo vingi kibao! ...
.

Great and important thread Adii, Thanks!!

I am very interested on this part...blued..!!
... If that really happens to you ..just as you reported ... that can be a really qualification!! A qualification for something very important and fundamental!

I know you wont mind if I will give my personal comment on the January 1st! ...!
 
Asante...mabadiliko yapo mengi ni kwamba niko mwepesi zaidi,nna jihisi nina energy zaidi,kuchoka choka kumeondoka,sipati shida ya size za nguo, pia nikivaa nguo yoyote nna comfidence.
Pia nimetoka kwenye risk ya magonjwa na mengine mengi.

Aiseee...Kumbe kuna member mwingine mwenye hii avatar hope hata mind ,ila na mi nimeshaizoea anyways.....ndio madhara ya kutokuweka picha zetu halisi hayo!!..ha ha ha!
 
Mafanikio:
Yapo mengi...namshukuru Mungu.
- Familia ipo poa, hakuna mikwaruzano na mamaa.
- nimepata marafiki wapya wengi na pia kukutana na wale tuliopotezana kwa muda mrefu.
...mengine nayaacha kwa sasa ili "SMU" wa JF aendelee kubaki hivyo!

Changamoto:
- bado nipo kwenye ajira....na hili linanikera sana......nimekuwa nikiamini kwa kiwango nilichofikia napaswa kujiajiri na pia kuanza kutoa ajira kwa watu wengine. Exit strategy yangu haikufanikiwa. Wife pia anahofu sana juu ya wazo hili.
- Nimeshindwa kufanya/kuhudhuria ibada kikamilifu na pia sijajishughulisha na shughuli za kujitolea vya kutosha.

Matarajio:
- nitaitikia wito wa kilimo kwanza kwa vitendo...maandalizi yashaanza! Natafuta watu proper kwa ajili ya execution.
- kuwa karibu zaidi na Mungu wangu na pia kujitoa zaidi kwa ndugu na jamii inayonizunguka
- kutekeleza wazo la kuachana na ajira.
Na mengine mengi tu...via mobile inakuwa ngumu kuandika kwa kirefu.
 
Mwaka huu naweza kusema kuwa Mungu amenijalia mengi sana. Afya kwangu na familia yangu imekuwa nzuri na mipango yangu mingi imefanikiwa. Naamini Mungu atanijalia na ile niliyoipanga mwaka huu unaokuja.
Kwa kweli sina ambacho naweza sema mwaka ulikuwa mbaya kwangu. Namshukuru Mungu sana.


R' habari ya siku na how is you family? Siku nyingi pal hata pande zile naona hatujaonana kivile maana ni full mpishano.

Nimefurahi kusikia mwaka ulikua mzuri kwako na unatazamia utakua mzuri zaidi.... Una bahati saana. Hope unatambua hilo for kuna wengine matatizo yamewaandama mpaka wamemkufuru Mungu. Count your blessings na usisahau kumshukuru Mungu.
 
.

Great and important thread Adii, Thanks!!

I am very interested on this part...blued..!!
... If that really happens to you ..just as you reported ... that can be a really qualification!! A qualification for something very important and fundamental!

I know you wont mind if I will give my personal comment on the January 1st! ...!



hahahaha..... Missed you pms AJ....LOL... Pages of them! Did i just say that? lol

Thanks for the Acknowledgement AJ,.... But i wont mind on one condition! Nawe pia utoe list yako; kwa muktadha huo you are free to comment lolote mradi vigezo na masharti ya JF yazingatiwe.....lol
 
Asante...mabadiliko yapo mengi ni kwamba niko mwepesi zaidi,nna jihisi nina energy zaidi,kuchoka choka kumeondoka,sipati shida ya size za nguo, pia nikivaa nguo yoyote nna comfidence.
Pia nimetoka kwenye risk ya magonjwa na mengine mengi.

Aiseee...Kumbe kuna member mwingine mwenye hii avatar hope hata mind ,ila na mi nimeshaizoea anyways.....ndio madhara ya kutokuweka picha zetu halisi hayo!!..ha ha ha!


I like the mabadiliko part... Will work on it, ila sijui...... Dah! Enways...

Avatar yaweza kua isiwe wewe but it is some sort of Sig, for instance mtu akiona avatar yangu naamini anajua mara moja huyu ndo mwenye ID ya ADI hata kabla ya kusoma jina, it helps kua na unuque Avatar, hata hivo waweza baki nayo, hayo ni mawazo tu...
 
kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa uhai na afya kwa mimi na familia yangu mpaka sasa na kumwomba kwa mwaka 2012
mwaka 2011 mipango haikuwa kama nilivyotarajia..... naamini 2012 nitajitahidi na kwa uweza wa Mungu naamini niliyopanga yatafanikiwa

 
2011, what a year it has been!
  1. Nimetunzwa a National award na an International Award for the job my team and I make for rural communities
  2. Nimeanza a distant relation with my husband (good and bad...)
  3. Nimekua karibu zaidi na Mungu wangu (I am a muslim)
Karibu 2012:
  1. Get back to my family (end the distant relation!!!)
  2. Get back to my job (and get promoted, of course)
  3. Boost my little farm project...
But these are my birthday resolution (august), this is merely the time to re-affirm them and assess the first term.

Hongera sana Russian R!

Very inspiring things worked this smoothly ... Mkuu National and internationally ...hope you wont mind ... we r in support kusherekea!!

I wish I could adapt some of the achievements... and you can share the open secret ... How/what do you do to achieve National and international award... and.. I really want to be close to God ... Lakini sijui natumia akili na jitihada za kupitiliza... sometimes is like Ahh!!?
 
Back
Top Bottom