"2011" – What a year it has been!!! KARIBU 2012....

Hilo ndo la muhimu sana kwangu..........hayo mengine acha yapite tu!!!
After all huu mwaka ulikuwa mbaya sana kwangu, acha tu uishe kwakweli.

Ila mwakani nitahakikisha nanenepa aisee...........labda zitokee avoidable reasons!!! L.O.L


Know that ukinenepa there is no turning back!

Sikushauri! lol
 
watu bar wakiagiza kinywaji. wa kwanza akaagiza MARTINS single, mwingine JACK DANIELS double, wa tatu GORDON single, basi dada yetu mtanzania hakuelewa akajua wav wanajitambulisha nae akasema MANKA MUSHI married

Smiles - you have made my YEAR! Mtundu sana weye!
 
Siwezi kukukimbia dia wangu.......nilikuwa natafuta hela ya nguo ya sikukuu........mpaka sasa bila bila :smash:. Nitoe basi mtu wangu.

Jamani Kbd mbona wanisikitisha? Inamaana ungepata hiyo pesa ya nguo ndo ungenisahau kabisa my carpet wako?? Poa bana, kibubu changu mie kina hela bado sijakibomoa kwa mwaka mzima.....subiri jumapili twende gulioni nikakununulie!! Lol!
 
Damn! Where have you been? Tena nilimwuliza AshaDii juzi tuu if she has seen you around.

Merry Christmas.

Am around jamani though mdogo mdogo, pleased to know you remember me....! I miss you people. Happy Holidays!
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Michelle Dearest.... How elated I am to find you here..... And so dissapointed I was not around to tell you exactly how I and JF misses you So! Thou it seems uligusa tu...lol... Ni kweli EMT katoka kukuuliza kama 2/3 days ago.... I KNOW he (among others) will be So happy kukuona mahala hapa.... It is a sign to us ambao twakupenda kua you are safe and sound....

:focus:


I know dear you had a hard/complicated year... to what extent? only you know that.... Pole saaana na obstacles zoote na makwazo yooote Dearest.... I Just really hope (and it's my belief) kua you have learned from the good and bad things za 2011, kwamba imekufanya uwe stonger, uwe wiser and a better person.

Napenda the fact kua wajua imepita na sasa you look forward to 2012... With plans ambazo kwa kweli am impressed and proud of you.... Mwenyezi Mungu akuwekee wepesi katika mipangilio yako na akupe nguvu uweze lea hao mayatima as per your plans.... Hongera saana Michelle....

THANK YOU for the warm Wishes Love.... Love you more' and Miss you So So So...... Pamoja saaana.:A S-rose:

Thank you dearest for the blessings and love...Trust me, I miss you more, and tuko pamoja na tutakuwa pamoja zaidi.

Am so proud of you,i pray that next year brings us closer,there is so much to learn,gain from you and am open to receive more...Love you...my love to your family!!
 
kwanza kabisa namshukuru MUNGU kwa kunipa afya nzuri kwa mwaka wote huu ,maana afya ikiwa mgogoro mengine yote hayaendi.
mwaka huu kwangu umekua na mibaraka mingi na moja ya mibaraka hiyo ni kwamba mafanikio ya mwaka huu yataniwezesha mwakani kuanza project ambayo nilikua nadhani ni watu wa aina fulani ndio wanaweza lkn MUNGU ni mwema sana maana kitu ninachotaka kufanya ni kikubwa hasa ukilinganisha na umri wangu na japo itanichukua kama miaka mitatu kuumaliza lkn MUNGU aliyeniwezesha kuweza kuanza ndiye MUNGU huyo huyo atakayeniwezesha kumaliza.

Pamoja na mafanikio twenty eleven pia ilikua na vikawazo vyake lkn nimejifunza mengi kutokana na vikwazo hivyo na vimenikomaza akili.

happy holidays Ashadii and everybody.
 
Thank you dearest for the blessings and love...Trust me, I miss you more, and tuko pamoja na tutakuwa pamoja zaidi.

Am so proud of you,i pray that next year brings us closer,there is so much to learn,gain from you and am open to receive more...Love you...my love to your family!!


Humbled Dearest.... How I miss you Michelle.... Enways, Ukija natakupa update ya 5 pages of "A 7 font Times new roman A4 sized page" lol.... Be good Love, and I repeat, Happy Festive Greetings....
 
kwanza kabisa namshukuru MUNGU kwa kunipa afya nzuri kwa mwaka wote huu ,maana afya ikiwa mgogoro mengine yote hayaendi.
mwaka huu kwangu umekua na mibaraka mingi na moja ya mibaraka hiyo ni kwamba mafanikio ya mwaka huu yataniwezesha mwakani kuanza project ambayo nilikua nadhani ni watu wa aina fulani ndio wanaweza lkn MUNGU ni mwema sana maana kitu ninachotaka kufanya ni kikubwa hasa ukilinganisha na umri wangu na japo itanichukua kama miaka mitatu kuumaliza lkn MUNGU aliyeniwezesha kuweza kuanza ndiye MUNGU huyo huyo atakayeniwezesha kumaliza.

Pamoja na mafanikio twenty eleven pia ilikua na vikawazo vyake lkn nimejifunza mengi kutokana na vikwazo hivyo na vimenikomaza akili.

happy holidays Ashadii and everybody.


Cheusie your post is full of high spirits.... I am happy for you dear... Na tumuombe Mwenyezi Mungu ajaalie na 2012 iwe hivo tena.... Or beta yet iwe hata bora zaidi ya hii 2011 ambayo umeifurahia kwa mabaraka yake tele... HONGERA saana kwa hilo ufanyalo ukijua dhahiri kua you have achieved beyond.... Best of Luck kakita kila kitu Dear.... Pamoja Saaana.


Happy Festive Greetings nawe pia.....:A S-rose:
 
I Know you have it Right in theory and in Practice! ...have seen that in many post of yours!

But one thing ..doubt thing.. you should not doubt when you deliver such product to your opponent, like the one who bad pressed you in that disgusting thread! Yes no doubt once your heart signals you to confront with full love scented in your gloves..:shock: you simply advance and go and do it!! ... That was wrong and could never be dealt with Wrong kind of method neither Energy! There must exist a right method and energy to deal with such disgusting people!! .. Its FIRM correcting LOVE ... With Impact clearly observed!

Me and many people knows what you did in that thread was right! Combination of strength ... Good ..strength ..lessons ...Kindness and firmness! That is what I said this kind of treatment only comes from someone with firm character of love ... which finally can compel the opponent to reevaluate and possibly change for the good! But its because you had no doubt and delivered a firm correcting Love!

mkuu hv hiyo ndio iliyosababisha huyu bidada huu uzi aje kuutupia huu CC badala ya MMU?? maana kule MMU siku hz kumechafuka kabisa, hata sijui mdudu gani kaingia!
 

Fellow JF Members.... Upande wako HOW WAS 2011? (Good OR Bad?) na What are your plans for 2012? GOD Willing?

pal, it has been so long ... and i shuld 1st admit kwamba kama usingenichomoa kule then nisingejua kama kuna huu uzi muhimu huku. MMU has been full of shit nowdays, sijui hata imekuwaje ... utoto mwingi sana na kunapoteza mvuto! hope moderators watarekebisha hilo!

back to topic:

1. Namshukuru Mwenyezi Mungu kwanza kwa afya njema, na pili kwa yale aliyonijalia this year. The year 2011, was full of challenges lkn nilifanikiwa ku-accomplish machache kama sio mengi.

2. Malengo ya mwakani:

- kuhakikisha naendelea kuwa baba mwema, mwenye heshima, uvumilivu, na upendo wa dhati kwa familia yangu hasa mke wangu na binti yangu.
- kuanza project nyingine 2 na pia kumalizia hii 1 ambayo kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu, still inalazimu ku cross over to 2012
- kuwekeza zaidi katika ujasiria mali (kwa mapana yake, hii itaingiliana na hiyo '2012 crossing-over project 1')
- kuendelea kuwa muumini mzuri, kufanya maombi zaidi na kushiriki swala/ibada zaidi (kunenepesha roho kiimani zaidi).

my 0.02,

mdbd
 
mkuu hv hiyo ndio iliyosababisha huyu bidada huu uzi aje kuutupia huu CC badala ya MMU?? maana kule MMU siku hz kumechafuka kabisa, hata sijui mdudu gani kaingia!

Pal it takes more than words through the key board to shake me down.... This thread is in the right place for it is some sort of Chit Chat no discussions of which are required in MMU....

pal, it has been so long ... and i shuld 1st admit kwamba kama usingenichomoa kule then nisingejua kama kuna huu uzi muhimu huku. MMU has been full of shit nowdays, sijui hata imekuwaje ... utoto mwingi sana na kunapoteza mvuto! hope moderators watarekebisha hilo!

back to topic:

1. Namshukuru Mwenyezi Mungu kwanza kwa afya njema, na pili kwa yale aliyonijalia this year. The year 2011, was full of challenges lkn nilifanikiwa ku-accomplish machache kama sio mengi.

2. Malengo ya mwakani:

- kuhakikisha naendelea kuwa baba mwema, mwenye heshima, uvumilivu, na upendo wa dhati kwa familia yangu hasa mke wangu na binti yangu.
- kuanza project nyingine 2 na pia kumalizia hii 1 ambayo kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu, still inalazimu ku cross over to 2012
- kuwekeza zaidi katika ujasiria mali (kwa mapana yake, hii itaingiliana na hiyo '2012 crossing-over project 1')
- kuendelea kuwa muumini mzuri, kufanya maombi zaidi na kushiriki swala/ibada zaidi (kunenepesha roho kiimani zaidi).

my 0.02,

mdbd


Nimefurahije kukuona? Na kutia kwako mguu hapa... How are you Madabwada, your family and your Loved ones? (Hopefully watoto nguo za sikukuu tayari....lol... ) And I am so glad you saw the thread and have responded to it.... Kule MMU kidogo kumelega na kama unavosema kidogo kumevamiwa vibaya mno na threads za kitoto saana.... INNOVATOR how ever alituahidi kua kutakaua na changes pale... Hivo lets wait and see....

B2T THANK YOU for the acknowledgement Pal... HONGERA saana kwa kuweza side step hizo challenges and kuweza fanikiwa.... Thus some how it is an admittance kua 2011 was somehow good to you.... Nimependa hizo plans zako za 2012, inaonesha you are really moving forward and that you are indeed dedicated to your family.... I like that in you. And I like the fact kua you keep your promises....lol.... Madabwada Nakutakia kila la kheri katika hizi sikukuu.... Na nakuombea kwa Mwenyezi Mungu akujalie 2012 iwe one of your best years in your live.... Pamoja Saana.
 
Hongera Da AshaDii kwa tathmini yako ya mwaka 2011 na dondoo zako za matarajio ya mwakani.................... Ni vyema kujiwekea malengo, ili iwe rahisi kwako kujitathmini na kujua changamoto ulizopitia kwa lengo la kuweka misingi imara kwa yale uyatarajiayo........

Kwa upande wangu kwa kweli, ninachoamini ni kwamba yote niliyopitia na yale nitakayoyapitia mwakani ni majaaliwa ya Mwenye enzi Mungu...............
 
... But I take my life as it comes b'se life is a roller coaster. You can either scream every time you hit a bump or you can throw your hands up in the air and enjoy it. It's full of surprises. Just say never and you'll see. So, I will learn from the past, live for today, look for tomorrow, take a nap this afternoon and just chill

.. I Love to live spontaneously!!

Hongera Da AshaDii kwa tathmini yako ya mwaka 2011 na dondoo zako za matarajio ya mwakani.................... Ni vyema kujiwekea malengo, ili iwe rahisi kwako kujitathmini na kujua changamoto ulizopitia kwa lengo la kuweka misingi imara kwa yale uyatarajiayo........

Kwa upande wangu kwa kweli, ninachoamini ni kwamba yote niliyopitia na yale nitakayoyapitia mwakani ni majaaliwa ya Mwenye enzi Mungu...............

...Nimemulewa Mtambuzi... And by that I repeat .. I love and believe in spontaneity .....

Just for refreshing ... do you know who said these words ..?!!! :shock::shock:!!

...Sijui kwa wenzangu ila mie kwa upande wangu kila nikipanga jambo/mambo yakufanya, mara nyingi most hugeuka kabisa nje ya matarajio... Mara uchemke! Mara matatizo kama misiba, mitaji kuyumba na vikwazo vingi kibao!ds!!...

Baada ya kumtaja ... I know you have enough love and confidence to face it, remember and be honest ... Ulisha jiuliza ni kwa nini?

Because there some type of People with enough consciousness... call it Utambuzi au Ufahamu ... They are Big enough and so independetly to completely fix them in very tight rigid program ...kama kumkremisha mambo hivi...kumkaririsha kitu cha kufanya kila dakika, kila siku ...etc! They can work on general plan ..but not otherwise!

I knew long time ago That Person can't be ?
 
Hongera Da AshaDii kwa tathmini yako ya mwaka 2011 na dondoo zako za matarajio ya mwakani.................... Ni vyema kujiwekea malengo, ili iwe rahisi kwako kujitathmini na kujua changamoto ulizopitia kwa lengo la kuweka misingi imara kwa yale uyatarajiayo........

Kwa upande wangu kwa kweli, ninachoamini ni kwamba yote niliyopitia na yale nitakayoyapitia mwakani ni majaaliwa ya Mwenye enzi Mungu...............



Mtambuzi.... Thanks for the acknowledgement kakangu.... Kwako nikimbilie kusema pole saaana kwa huu mwaka kwa yoote ambayo yalikuja kama kikwazo kwako... Ni a very short time nimesoma ajali yako, kufiwa kwako, mafuriko.... Mengine sikuchangia tokana na responsibilities kubana mno (as you have noticed kidogo mda wangu mfinyu hapaz). Nakupa pole saana, na I really do hope there are some good things worth remembering in 2011.... Na nakuombea kwa Mwenyezi Mungu 2012 iwe moja ya mwaka wa mafanikio kwako.... Nakutakia kila la kheri... Pamoja saana.
 
mkuu hv hiyo ndio iliyosababisha huyu bidada huu uzi aje kuutupia huu CC badala ya MMU?? maana kule MMU siku hz kumechafuka kabisa, hata sijui mdudu gani kaingia!

Pal it takes more than words through the key board to shake me down.... This thread is in the right place for it is some sort of Chit Chat no discussions of which are required in MMU....

Mkuu Madabwada; Hah hah ... Siunaona! To shake her down? No way!!... She has inborn talents of how to Deal with Wrong people who always everywhere we go in our life! AND always ... Tough Love ... Is the right way to counter the opponents! In this way The wrong person or the opponents is given two choice!

To change and turn to the right polarity that is become a better person or REJECT the offer and BARE THE CONSEQUENCE!!
 
.... HAPPY NEW YEAR TO EVERY BODY!!

Last Year I did all what I did ... I Meet each moment of it ..with full awareness and my whole heart open for it! It was rewarding and all its challenges ... I thank God for that!

My resolutions for the year 2012 ... Is Be To The Moment As Much as Possible ... Take Each Presenting Event of this year In all the right way I can do ... and don't care the out come and the consequences ..since I did all the best ... at each Moment and God Be with Me!!
 
Back
Top Bottom