"2011" – What a year it has been!!! KARIBU 2012....

2011 - Hakuna jema ambalo nitalikumbuka : Umekuwa ni mwaka wa taabu na mateso kwa watu wengi ninaowafahamu!

2012 - Najiandaa kurudi kwetu KIJIJINI nikachome mkaa kama zamani!
 
Kibanda changu nachoishi kuwaka moto (hii sitokaa niisahau)ahsante Mungu, majirani, mchanga na maji…. Sijui ningekuwa wapi leo.

Duh! Pole sana... kwa upande mwingine ni ufunuo tosha kwako kuwa Mungu yu pamoja nawe na anakupenda... Keep your faith till the end!
 
Thank you so much dear
Babu ujumbe utamfikia tuu ipo siku yake.
Asante sana sana.
Na lengo jingine kubwa ni kwa PA kufunga ndoa maana duh hii biashara yake ya kuzunguka kwa sasa inatosha.
BTW nampa pole sana Babu Kwa yaliyomkuta. Mradi uzima ukiwepo Mungu ana mipango yake. Pole sana Babu

tel him bwana
:juggle::juggle::juggle:
 
Shem langu la ukweli hongera kwa mafanikio.... na hiyo ya kutaka kupata ujauzito, sijamsikia hommie akilizungumza.....unataka kumchakachua?

Kwangu mie natamani huu mwaka uishe haraka iwezekanavyo. Mazuri ni machachekuliko mabaya khaa!

Mazuri:
Sijapata misukosuko yoyote katika maisha yangu.... nyumbani, JF, kazini, kwa ndugu, jamaa, jirani na marafiki
Nimeongeza idadi ya marafiki (ukiwemo wewe ADI wa ukweli)
Sijachangia posti hata moja kwenye jukwaa la mastress
Sijapigwa BAN wala kupewa onyo
Nimeshuhudia binti yangu Matesha akipata sakramenti ya komunyo ya kwanza
Nimekaa na wazazi wangu kwa wiki tatu mfululizo nikiwa na binti yangu Mamshanga(sijawahi kufanya hivyo tangu nianze maisha ya kujitegemea)
Nimekutana LIVE na JF members - niliokuwa nawajua through keyboard (wazee waA-Town).... Mzee wa Rula, Lily Flower, Sweetlady, Blaki Womani, Filipo,Saharavoice, Liverpool, Preta, Pakajimmy, Wiselady na kama kawaida wazee wa Dar na vitongoji vyake, na nimeendelea kuwa na uhusiano nao wa karibu kiasi chakukutana almost kila weekend pareeeparee pa ukweee... - GY, Teamo, MTM,MwanajamiiOne,The Finest, Askofu, Maty, Kaizer, Bigirita, Memo, bombu, RR, LD,Maty, Maskini Jeuri, Fidel80, Manda, Carmel na wengineo.

Mabaya….Dah!
Misiba kibao yaani ya kutisha…. Binamu yangu, jirani yanguna rafiki yangu mwana JF mwenzetu Chetuntu kuwataja wachache (Mungu aendelekuwarehemu)
Kibanda changu nachoishi kuwaka moto (hii sitokaa niisahau)ahsante Mungu, majirani, mchanga na maji…. Sijui ningekuwa wapi leo.
Baba yangu kupata ugonjwa ghafla uliompelekea mpaka sasakutorudi katika hali ya kawaida
Kaimu kangu ka mchina kuharibika

Hivi…. Ngoja niishie hapa kwanza, babu wa watu nsije mwagamichozi mbele ya screen… watanicheka wajukuu!



ODM shem wangu.... I do know for a fact kua this has been a bad year for you. Nisirudie kutoa Pole kwa Mengi na yoote yalokukumba for tutakua tunayapa nguvu yale ambayo yameumiza na yataumiza roho yako in time.... (thru reminising). Naomba nikupe HONGERA kwa kuweza pull thru hayo yooote; nakumbuka your situation (walau thru the keyboard) of how shocked you were kuweza pona baada ya hio fire out break.... Like I said naomba nisiongelee saana. Hata hivo nasema IF ODM is Appreciative of the Lord, ATAMSHUKURU Mungu for it would have been worse.

Nikija Mazuri yako, inanipa hope kwamba kumbe it was not that bad..... Such a string of Friends, variety of them and interesting Characters....lol... Mfano the way huwa nam-imagine Teamo na Biggie .... naona anaweza nipiga mawe akijua (hivi wakoje if you don't mind....lol).

As I always say.... ODM it seems you are a good person... Dad, hubby and Son (tatizo tu mabinti wakusumbua akili yako ) ni wanaume wachache saana hukumbuka kuenda salimu nyumbani akiwa na wanae tena kwa mda more than a weekl. Am impressed and makes me proud you are my Darling shem.... Alafu Shem naomba nipongeze.... Jana nimefikisha Post 10,000.... By the time nimemaliza Mwaka God willing it has to be atleast 25,000 post.....lol
 
mbona unashangaa na macho yamekutoka kama mjusi kabanwa na mlango
funguka toka kwenye hicho kifungo cha kujiona sharobaro wa mjini muda umeisha.
Lol....
tell him bro?????aseme anataka sh ngapi mchango ndo habari tunataka hapa
 
tell him bro?????aseme anataka sh ngapi mchango ndo habari tunataka hapa

Tatizo hajui amwambie nani maana ni wengi amewapa ahadi za kufunga ndoa
Hilo ndo tatizo lake kubwa
Michango wala sio issue kabisa ila tatizo nani awe mhusika sasa
 
Thank you so much dear
Babu ujumbe utamfikia tuu ipo siku yake.
Asante sana sana.
Na lengo jingine kubwa ni kwa PA kufunga ndoa maana duh hii biashara yake ya kuzunguka kwa sasa inatosha.
BTW nampa pole sana Babu Kwa yaliyomkuta. Mradi uzima ukiwepo Mungu ana mipango yake. Pole sana Babu

Nataka update hapo mambo yanaenda vipi BUT PA ananikwepa kichizi yaani.

Mambo yanaenda vipi pande hizo?

niliwish kufanya mambo mengi before that big day ila my fellow honey ana haraka it seems like haniamini ila i wish ningepewa sometime ila kama ujuavo mimi mwanamke shosti ukikataa sana yanaweza kukukuta makubwa ila namini all in all mungu atanisaidia


Kid sis sio kwamba hakuamini... I think it has to do with wewe kua HOT, yeye kuogopa kunyang'anywa.... After all you are too wild bana... Wee mara utangaze unatafuta mchumba.... Jana umetoa ofa vijana waseme nini wanataka kwako.... Ngoja kwanza nipige simu nimwambie aharakishe...
 
2011:mwaka wa huzuni sana kwangu, nimepoteza marafiki wengi wa karibu kuliko miaka yote iliyopita( Mungu awarehemu wote)
Namshukuru mungu bado nahema! Mafanikio ni mengi, malengo mengi nilojiwekea yametimia kwa uwezo wa mungu...machache sana yamesalia.


Sweetlady.... Pole dear... This is bad news... Dah! Moja ya kitu inaumiza saana ni kupoteza our Loved ones.... Inaumaaaaaah Mno! May they Rest in peace....

Nafurahi thou kua walau una mafanikio as per your say, hivo Mungu ni Mkubwa na hakukutupa moja kwa moja kwa kukuexpose na yalo mabaya tu! Na nakuombea hata hayo machache yalosalia uweze kamilisha 2012 God Willing.... Best of Luck Sweet Lady my sweet Wifi...
 
kid sis sio kwamba hakuamini... I think it has to do with wewe kua hot, yeye kuogopa kunyang'anywa.... After all you are too wild bana... wee mara utangaze unatafuta mchumba.... Jana umetoa ofa vijana waseme nini wanataka kwako.... Ngoja kwanza nipige simu nimwambie aharakishe...
izo ni swaga za kwenye keyboard bwana
 
tatizo hajui amwambie nani maana ni wengi amewapa ahadi za kufunga ndoa
hilo ndo tatizo lake kubwa
michango wala sio issue kabisa ila tatizo nani awe mhusika sasa
mwishowe atakosa wote. Mjini hapa mimi nimeacha misala kibao mtaani watu walikuwa wananizingua mimi nikaamua kusepa zangu sasa wanarudi nafasi imejaaa
mjini bwana watu kibaaaaaaaaaao mwambie
 
Thanks AshaDii.. Pia Tuko pamoja katika maombi kwa Mola atuongoze vijana wake hasa wote wa hapa jamvini..
Ha ha ha ..huwa nakunywa ulanzi kama kinywaji na sio kama sumu au dawa ya Stress ambayo haikawii kumbadili Bint muuza ulanzi toka kuwa “ugly betty” hadi kuwa “miss world”..
Yes, ila timu yenyewe ina wachezaji wachache (watoto wangu tu) na wengine bado wako kindergarten…Ila tuko kwenye mazungumzo ya kumsajili mama watoto..ili ajiunge nasi..


AMEEN to the first Sentence.... Thank you.....

hahahaha to the rest of the sentences....lol.... Una watoto wangapi Tulizo? (very curious indeed!):eyebrows:
 
2011 - Hakuna jema ambalo nitalikumbuka : Umekuwa ni mwaka wa taabu na mateso kwa watu wengi ninaowafahamu!

2012 - Najiandaa kurudi kwetu KIJIJINI nikachome mkaa kama zamani!


Baba_Enock.... Hii post is SO pessimitic and gloomy! Naomba walau urudi na U-justify why.... Dah!
 
Sweetlady.... Pole dear... This is bad news... Dah! Moja ya kitu inaumiza saana ni kupoteza our Loved ones.... Inaumaaaaaah Mno! May they Rest in peace....

Nafurahi thou kua walau una mafanikio as per your say, hivo Mungu ni Mkubwa na hakukutupa moja kwa moja kwa kukuexpose na yalo mabaya tu! Na nakuombea hata hayo machache yalosalia uweze kamilisha 2012 God Willing.... Best of Luck Sweet Lady my sweet Wifi...
Inauma Ashadii asikwambie mtu, ilifika mahali mie pia nikajikatia tamaa, achana na ajali za barabarani mpendwa, huezi amini wote wamekufa kwa ajali kasoro mmoja ambae, yeye aliugua kama siku 3 tu akaondoka.( mwezi oct, & nov 2011 sitaisahau aisee)... Ila ndio hivyo tena kazi ya mungu... Tuliwapenda ila mungu kawapenda zaidi. Wapumzike kwa amani Amina!



Ahsante sana mpendwa.... Nashukuru pia kwa maombi... Nakuombea na wewe mwenyezi mungu akujalie afya njema kwa mwaka ujao ili hatimae ufanikishe malengo yote uliojiwekea.... Barikiwa sana wifi yangu mpenzi...
 
ODM shem wangu.... I do know for a fact kua this has been a bad year for you. Nisirudie kutoa Pole kwa Mengi na yoote yalokukumba for tutakua tunayapa nguvu yale ambayo yameumiza na yataumiza roho yako in time.... (thru reminising). Naomba nikupe HONGERA kwa kuweza pull thru hayo yooote; nakumbuka your situation (walau thru the keyboard) of how shocked you were kuweza pona baada ya hio fire out break.... Like I said naomba nisiongelee saana. Hata hivo nasema IF ODM is Appreciative of the Lord, ATAMSHUKURU Mungu for it would have been worse.

Nikija Mazuri yako, inanipa hope kwamba kumbe it was not that bad..... Such a string of Friends, variety of them and interesting Characters....lol... Mfano the way huwa nam-imagine Teamo na Biggie .... naona anaweza nipiga mawe akijua (hivi wakoje if you don't mind....lol).

As I always say.... ODM it seems you are a good person... Dad, hubby and Son (tatizo tu mabinti wakusumbua akili yako ) ni wanaume wachache saana hukumbuka kuenda salimu nyumbani akiwa na wanae tena kwa mda more than a weekl. Am impressed and makes me proud you are my Darling shem.... Alafu Shem naomba nipongeze.... Jana nimefikisha Post 10,000.... By the time nimemaliza Mwaka God willing it has to be atleast 25,000 post.....lol
:poa:poa:poa:poa:poa
 
Mbona unashangaa na macho yamekutoka kama mjusi kabanwa na mlango
Funguka toka kwenye hicho kifungo cha kujiona sharobaro wa mjini muda umeisha.
Lol....

Tatizo hajui amwambie nani maana ni wengi amewapa ahadi za kufunga ndoa
Hilo ndo tatizo lake kubwa
Michango wala sio issue kabisa ila tatizo nani awe mhusika sasa

mwishowe atakosa wote. Mjini hapa mimi nimeacha misala kibao mtaani watu walikuwa wananizingua mimi nikaamua kusepa zangu sasa wanarudi nafasi imejaaa
mjini bwana watu kibaaaaaaaaaao mwambie
:A S embarassed::A S embarassed::A S embarassed:.....Nitafutieni mchumba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom