"2011" – What a year it has been!!! KARIBU 2012....

Mafanikio:
Yapo mengi...namshukuru Mungu.
- Familia ipo poa, hakuna mikwaruzano na mamaa.
- nimepata marafiki wapya wengi na pia kukutana na wale tuliopotezana kwa muda mrefu.
...mengine nayaacha kwa sasa ili "SMU" wa JF aendelee kubaki hivyo!

Matarajio:
- nitaitikia wito wa kilimo kwanza kwa vitendo...maandalizi yashaanza! Natafuta watu proper kwa ajili ya execution.
- kuwa karibu zaidi na Mungu wangu na pia kujitoa zaidi kwa ndugu na jamii inayonizunguka
- kutekeleza wazo la kuachana na ajira.
Na mengine mengi tu...via mobile inakuwa ngumu kuandika kwa kirefu.


Nimependa the above parts.... Inaonesha you so look forward
to life na kwamba it is treating you good na you are not at all
dissapointed to date. Mungu azidi kukusimamia wewe na familia yako SMU.


Changamoto:
- bado nipo kwenye ajira....na hili linanikera sana......nimekuwa nikiamini kwa kiwango nilichofikia napaswa kujiajiri na pia kuanza kutoa ajira kwa watu wengine. Exit strategy yangu haikufanikiwa. Wife pia anahofu sana juu ya wazo hili.
- Nimeshindwa kufanya/kuhudhuria ibada kikamilifu na pia sijajishughulisha na shughuli za kujitolea vya kutosha..


Hii changamoto ulonayo am telling you inatusumbua tulo wengi, for hapa karibuni rafiki zangu more than three wanalalama hili suala and looking forward to positve changes via starting their own businesses and organisations. Hata hivo you have to take note kua sio rahisi na ahiitaji mtu akurupuke. inatakiwa kua makini saana hasa kama sasa una kazi, hakikisha all is good, mipango imekaa pouwa, usha draft, research na worked on what you want to do..... But najua you know better.... Best of Luck kwa yoote na hasa mwaka huo ujao.....
 
oooh me FL1 one nahisi nianze kulia kwanza nitarudi baadae my dear ashadii


Jamani FL... Umenifanya niruke post zingine niharakishe kukutuliza.... Mpenzi I understand. You have cried enough, inayobaki ni kua Srong for "YOU" For only "YOU" can make you stop crying.... Ingawa hata sie wa pembeni tuna nafasi, but at the end of the day it starts with you....

Dearest... kwako sitaki mwaka huu ulikua vipi.... Kwako nataka nini umepanga next year (God willing) BTW safari hii naona watubadilishia sura.... Umependeza, nahisi utakua umetoka saloon sasa hivi.....:biggrin:
 
kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa uhai na afya kwa mimi na familia yangu mpaka sasa na kumwomba kwa mwaka 2012 mwaka 2011 mipango haikuwa kama nilivyotarajia..... naamini 2012 nitajitahidi na kwa uweza wa Mungu naamini niliyopanga yatafanikiwa


Black woman napenda your sense of high spirits, wajua kua mwaka haukuenda ipasavo BUT bado una Hope kua Mungu atakusimamia safari hii.... Nami naomba Mungu aweze kusimamia, na awazidishie familia yako baraka, neema, mafanikio na furaha.

Huna ambalo waweza nidokeza kama one of the plans mwakani? lol
 
Nimependa the above parts.... Inaonesha you so look forward
to life na kwamba it is treating you good na you are not at all
dissapointed to date. Mungu azidi kukusimamia wewe na familia yako SMU.

Hii changamoto ulonayo am telling you inatusumbua tulo wengi, for hapa karibuni rafiki zangu more than three wanalalama hili suala and looking forward to positve changes via starting their own businesses and organisations. Hata hivo you have to take note kua sio rahisi na ahiitaji mtu akurupuke. inatakiwa kua makini saana hasa kama sasa una kazi, hakikisha all is good, mipango imekaa pouwa, usha draft, research na worked on what you want to do..... But najua you know better.... Best of Luck kwa yoote na hasa mwaka huo ujao.....
Nakushukuru....nami pia nakutakia mafanikio.

Mara nyingi tumekuwa waoga tu wa kufanya maamuzi 'magumu'. Nimejiandaa vya kutosha materially na hata professionally. Nina hiyo strategy ya kilimo cha kumwagilia ambayo kimsingi ni sehemu mojawapo ya exit strategy yangu. Kwa nature ya kazi zangu sio rahisi mtu 'kufa njaa' kama ni mtu wa kuchakalika.
 
@soraya
kupunguza 18kg you deserve an award
committment award for sure
hakuna part ngumu kama hii jamani
kama haijakukuta huwezi elewa

Salute!
 
Hahahahahhahahah,

Wewe ADi bwana, huwa unaniacha hoi na posts zako....

Ngoja nifikirie kwanza, ni kitu gani nimefanikiwa 2011!!

Hata hivyo 2012, lazima niachane kabisa na JF au niipe <25%!!!!!!

Babu DC!!
 
Japo kuna mengi niliyopanga hayakutimia na mengine kuvurugika kabisa, lakini mwaka huu umekuwa na mafanikio sana.
 
Black woman napenda your sense of high spirits, wajua kua mwaka haukuenda ipasavo BUT bado una Hope kua Mungu atakusimamia safari hii.... Nami naomba Mungu aweze kusimamia, na awazidishie familia yako baraka, neema, mafanikio na furaha.

Huna ambalo waweza nidokeza kama one of the plans mwakani? lol

Dear AD naamini yote yawezeka kupitia yeye (Mungu).
uzi mzuri sana umenikumbusha mambo mengi jioni ya leo
umemsoma SMU changamoto
ndio haswa nategemea 2012 Mungu atawezesha
nitaendelea kuwepo kwenye ajira lakini kuwepo
na kitu kingine binafsi cha kuweza kusaidia kuendeleza
sebene la maisha
Naamini Mungu anakwenda kutenda hilo
 
R' habari ya siku na how is you family? Siku nyingi pal hata pande zile naona hatujaonana kivile maana ni full mpishano.

Nimefurahi kusikia mwaka ulikua mzuri kwako na unatazamia utakua mzuri zaidi.... Una bahati saana. Hope unatambua hilo for kuna wengine matatizo yamewaandama mpaka wamemkufuru Mungu. Count your blessings na usisahau kumshukuru Mungu.
Asante sana dear
Kweli muda sana hatujaonana kokote ila nashukuru uzima wako.
Niko salama kabisa na familia iko salama.

Ni kweli dear napaswa kumshukuru Mungu kwa kila jambo.
Kiafya niko salama na familia pia
Kiuchumi sijayumba niko salama
Mipango yangu imeenda salama na natarajia mengi kwa mwaka ujao Mungu akinilinda.
Matarajio ni mengi sana ikiwa ni pamoja na kuongeza pale nilipofikia
Nikiomba ulinzi wa Mungu kunifanikisha kwa yale niliyopanga.
Kidogo nahitaji weight ibakie hapa hapa nisongezeke sana
 
Nakushukuru....nami pia nakutakia mafanikio.

Mara nyingi tumekuwa waoga tu wa kufanya maamuzi 'magumu'. Nimejiandaa vya kutosha materially na hata professionally. Nina hiyo strategy ya kilimo cha kumwagilia ambayo kimsingi ni sehemu mojawapo ya exit strategy yangu. Kwa nature ya kazi zangu sio rahisi mtu 'kufa njaa' kama ni mtu wa kuchakalika.


SMU I am impressed.... REALLY Impressed. Exit strategy yako kilimo? wachache wanaweza hio sector.... Na most tu waonga saana kuvamia kilimo tokana na ukweli na hali halisi ya soko related na kilimo. But tokana na maelezo yako na the way unaji-express inanifanya niamini you know exactly what you are doing na the chances of mafanikio ni makubwa kuliko kushindwa.....

If you don't mind nitakua nakusumbua kupata update (am genuienly interested hasa umepanga ni vipi utawezesha_)

Asante kwa kunitakia mafanikio...
 
@soraya
kupunguza 18kg you deserve an award
committment award for sure
hakuna part ngumu kama hii jamani
kama haijakukuta huwezi elewa

Salute!



Amini usiami hata mimi I am impressed, yaani kanipa hope kua kumbe it is possible..... I concur.... SALUTE.
 
Hahahahahhahahah,

Wewe ADi bwana, huwa unaniacha hoi na posts zako....

Ngoja nifikirie kwanza, ni kitu gani nimefanikiwa 2011!!

Hata hivyo 2012, lazima niachane kabisa na JF au niipe <25%!!!!!!

Babu DC!!



Niharakishe kuuliza WHY????? hapo colored. (sababu iwe ya kuniridhisha DC)

Alafu urudi bana, nataka nisikie full package... And Mzee DC Thanks for the Acknowledgement.
 
Japo kuna mengi niliyopanga hayakutimia na mengine kuvurugika kabisa, lakini mwaka huu umekuwa na mafanikio sana.


Katavi nafurahi saaana kusikia hivo aisee... HONGERA.

Mwakani Mungu akijalia una mpango gani mpya?
 
Thanx AD for your invitation,kiukwel kwanza nimefurah na bado naendelea kufurah wakat naandika msg hii kwa kuwa na rafiki kama ww,ukiwa ni miongon mwa marafiki weng niliowapata kwa mwaka huu hapa JF,Namshukuru MUNGU (herufi kubwa namanisha msisitizo) kwa kunipa afya njema 2011 na miaka ingne iliyopita mana siugui ovyo...lol,kwa mwaka huu nimefanikiwa baadh ya malengo yangu,ingawa mengne hayakufanikiwa,kwa 2012 nina mpango wa kuongeza elimu na nimeshaanza mchakato wa kuapply vyuo mbalimbali,na pia nina plan ya kuwa na ubavu wang wa kushoto mwenye sifa za kunifaa (naomba mungu alisimamie hili),zaid naomba afya njema il malengo yatimie
 
SMU I am impressed.... REALLY Impressed. Exit strategy yako kilimo? wachache wanaweza hio sector.... Na most tu waonga saana kuvamia kilimo tokana na ukweli na hali halisi ya soko related na kilimo. But tokana na maelezo yako na the way unaji-express inanifanya niamini you know exactly what you are doing na the chances of mafanikio ni makubwa kuliko kushindwa.....

If you don't mind nitakua nakusumbua kupata update. ...
Hasa ninaingia kwenye consulting business, lakini kuwa independent kutafanya iwe rahisi kwangu kumanage kilimo na changamoto zake.

Nitakupa updates bila ya shaka....hasa nitakapoanza kuvuna!
 
Dear AD naamini yote yawezeka kupitia yeye (Mungu).
uzi mzuri sana umenikumbusha mambo mengi jioni ya leo
umemsoma SMU changamoto
ndio haswa nategemea 2012 Mungu atawezesha
nitaendelea kuwepo kwenye ajira lakini kuwepo
na kitu kingine binafsi cha kuweza kusaidia kuendeleza
sebene la maisha
Naamini Mungu anakwenda kutenda hilo


Hapo in purple.... AMEEN!!

Kutambua kua inatakiwa ufanye la ziada ndo hasa wengi hukomea hapo. Hivo BW kama umefanikiwa tayari kujua hilo la ziada litakua nini na umeshajua ni namna gani utafanikisha, then una haki to look forward to 2012. Najua wajua sio kazi rahisi, hivo mie tu am hoping kua yooote utayopanga yakae katika mstari. Inapendeza saana mtu umeeajiriwa na una shuguli zingine za ziada... Kidogo maisha yanakua nafuu....
 
Niharakishe kuuliza WHY????? hapo colored. (sababu iwe ya kuniridhisha DC)

Alafu urudi bana, nataka nisikie full package... And Mzee DC Thanks for the Acknowledgement.


Nang'atuka tu....Tuwaachie wajukuu waendeshe jamvi!!

Full package....mhhhh...ngoja nikapate dinner kwanza ili akili isome vizuri kwenye data files!!
 
Thanx AD for your invitation,kiukwel kwanza nimefurah na bado naendelea kufurah wakat naandika msg hii kwa kuwa na rafiki kama ww,ukiwa ni miongon mwa marafiki weng niliowapata kwa mwaka huu hapa JF,Namshukuru MUNGU (herufi kubwa namanisha msisitizo) kwa kunipa afya njema 2011 na miaka ingne iliyopita mana siugui ovyo...lol,kwa mwaka huu nimefanikiwa baadh ya malengo yangu,ingawa mengne hayakufanikiwa,kwa 2012 nina mpango wa kuongeza elimu na nimeshaanza mchakato wa kuapply vyuo mbalimbali,na pia nina plan ya kuwa na ubavu wang wa kushoto mwenye sifa za kunifaa (naomba mungu alisimamie hili),zaid naomba afya njema il malengo yatimie


Samahani sana Jeff,

Una maana huko nyuma afya ilikuwa mgogoro?????....Au ni mawenge wenge ya Babu!!!!!
 
@soraya
kupunguza 18kg you deserve an award
committment award
for sure
hakuna part ngumu kama hii jamani
kama haijakukuta huwezi elewa

Salute!
Huyu lazima alikuwa kwenye ile show ya "The biggest loser". He he he!.
 
Back
Top Bottom