zoom

Zoom Cloud Meetings (commonly shortened to Zoom) is a proprietary video teleconferencing software program developed by Zoom Video Communications. The free plan allows up to 100 concurrent participants, with a 40-minute time restriction. Users have the option to upgrade by subscribing to a paid plan. The highest plan supports up to 1,000 concurrent participants for meetings lasting up to 30 hours.During the COVID-19 pandemic, there was a major increase in the use of Zoom for remote work, distance education, and online social relations. The increase led to Zoom being the 5th most downloaded mobile app worldwide in 2020 at 477 million downloads.

View More On Wikipedia.org
  1. green rajab

    Satellite ya Kijasusi ya ya Urusi ya zoom Dallas,Texas

    🇷🇺 Russia’s new satellites! Roscosmos showed the first image from Russia’s new Resurs-P satellite No. 4. It allows imaging with a spatial resolution of 70 cm and a swath of up to 38 km. Judging by the quality of the image, it will be very useful to geologists of the Russian Aerospace Forces...
  2. Trophic

    Kwa Wadau Wote Wa Muziki Humu: Naombeni Feedback Yenu [Zoom]

    Hello JF especially wadau wa muziki. Here's my new track; inastahili marks ngapi kati ya hizo kumi? Elements zipi niziadapt/nizibadili/niziongeze kwenye mix zijazo? Natumia Fl Studio + Ableton Live. Kuhusu style ya mziki, bado siko sure hii ni aina gani, but the whole idea ni kuunda...
  3. Mjukuu wa kigogo

    Zoom miwani ya Mu7

    Utakachokiona Siri yako
  4. T

    Natafuta Walimu wa hisabati kupitia mtandao wa zoom

    Natafuta walimu wa hisabati kupitia mtandao wa zoom. Wanaoweza kufundisha kuanzia kidato cha kwanza na zaidi
  5. Nyamwage

    Zoom camera ya infinix zero x pro nikufuru hilo nimelithibitisha mimi mwenyewe

    Habari. Hizi picha mbili nimezipiga mimi mwenyewe kwa kutumia hii simu ya infinix zero x pro kwa kutumia camera yake ya 8mp periscope telephoto 5x optical zoom OIS nilikua magomeni Morocco hotel na hilo jengo la watumishi house nililo zoom liko mwembe chai
  6. S

    Zoom picha hii kisha tuijadili kwa utulivu sana, ni nini kinaendelea kwenye vichwa vya wanawake?

    Wanamke kutamani kutembea uchi ama kuonesha maumbile na makalio yao:- (a) Wanasukumwa na nini nafsini mwao? (b) Lengo lao ni nini? (c) Ili wapate nini?
  7. luangalila

    Mtandao wa Zoom Tanzania wizara ya habari na mawasiliano muumulike

    Kuna mdogo wangu alifanya application ya kazi aliona tangazo la kazi ktk website tajwa hapo juu, sasa jana dogo katumiwa Sms anaambiwa atume 25k Akanishirikisha ilo swala basi nikaona ngoja niule ktk hii platform, credibility ya huu mtandao na ni vyema serikali ukau mulika ili.wamiliki waonywe
  8. B

    Tanzania, mmedhibiti mijadala kwenye radio na Televishen, wanaharakati na wapinzani wamehamia space na zoom mmewafuata kuomba mic; It's Shame

    Serikali na chama tawala wamedhibiti watu kusema na kujadiliana kwenye TV na Radio Kwa manufaa ya afya ya akili ya Watanzania. Wakafungia magazeti na baadhi ya online tv. Wakatunga sheria Kali na kuajiri TCRA wapambane na wakosoaji wa serikali. Kwa kuwa wanaozuiwa kusema ni wale wenye akili...
  9. S

    Godbless Lema: Nimeondolewa Zoom baada ya sura yangu kuonekana katika mkutano wa Balozi na Watanzania waishio Canada

    Amedai hivyo kupitia akaunti yake ya twitter: "Balozi wa Tanzania Nchini Canada Mh Mpoki Ulisubisya, alikuwa anaongea na Watanzania waishio Canada kwa njia ya Zoom. Nilipata link na kuingia ktk mkutano huo. Baada ya sura yangu kuonekana, waandaaji wa mkutano waliniondoa ghafla.Nafikiri Rais...
  10. TECNO Tanzania

    60x zoom and all-new Helio G96 mean a complete overhaul for TECNO’s new CAMON 18 series

    We recently got our hands on some photos about latest CAMON model from TECNO, rumored to be coming out in early October. Not many details were available about the new phone just yet, but the tri-camera set-up and classy chrome-inspired colors have got us wanting for more. The key feature that...
  11. B

    Ni fedhea Viongozi wa CCM kuandaa zoom meeting kuwajadili machinga. Ni Machinga gani ana muda wakuingia zoom kushiriki mjadala?

    Nimeana Zungu na wengine wameitisha mkutano kupitia Zoom kujadili kadhia ya machinga kuondolewa baadhi ya maeneo kwa lengo lakutaftiwa maeneo mengine. Swali ninalotaka kujiuliza, hiki kiburi cha hawa viongozi kwenda Zoom kuwajadili machinga wanakitoa wapi? Kwamba walishindwa kuwatetea Bungeni...
  12. TECNO Tanzania

    Tecno Camon 18 will offer triple camera and 5x optical zoom

    Tecno is one of the makers making great progress in the budget and midrange segment in the past year. Its Camon 17 series offered large screens, ample battery life and respectable cameras and we now have an extensive first look at the next generation Camon 18...
  13. The Khoisan

    Zoom Meeting ya Askofu Gwajima na Rafiki yake CEO wa Pfizer. Tunaomba marejesho

    Mwezi uliopita Askofu Gwajima Siku ya Jumapili akiwa madhabahuni alidai kuwa Jumanne iliyokuwa inafuata angekuwa na Zoom Meeting na rafiki yake ambaye ni CEO wa Pfizer pamoja na mgunduzi wa technology ya mRNA vaccine ambaye pia ni rafiki yake. Pia alidai kuwa atawapa waumini wake link kupitia...
  14. beth

    Mtandao wa Zoom kulipa Dola Milioni 86 kumaliza madai ya faragha

    Kampuni ya Zoom imekubali kulipa Dola za Marekani Milioni 86 kumaliza Mashtaka ya Faragha yaliyofunguliwa mwezi Machi mwaka 2020 huko California. Zoom ilidaiwa kuingilia Faragha ya mamilioni ya watumiaji kwa kutoa Taarifa zao Binafsi kwa Facebook, Google pamoja na LinkedIn. Vilevile...
Back
Top Bottom