Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Serikali na chama tawala wamedhibiti watu kusema na kujadiliana kwenye TV na Radio Kwa manufaa ya afya ya akili ya Watanzania. Wakafungia magazeti na baadhi ya online tv. Wakatunga sheria Kali na kuajiri TCRA wapambane na wakosoaji wa serikali.
Kwa kuwa wanaozuiwa kusema ni wale wenye akili timamu, wametafuta mbinu mpya ya kujadiliana bila kuvunja sheria ; wameanzisha club house, space na other online meetings. Kwa roho zetu mbaya tukaamua kuwazimia internet wakahamia kwenye VPN somehow expensive but walijua bure ni ghali. Baada ya mbinu zenu kukwama na tv kukosa mvuto mkanuna.
Kipindi mmenuna mkasikia Maria Sarungi space Ina host thousands of people world wide, mkasikia space ni zaidi ya mkutano wa siasa. Wapinzani na wanaharakati wakanunua Uhuru wao kwa mlango wa nyuma msioweza kudhibiti, wakaanza kuimarika na Sasa wameimarika mara dufu.
What's next, badala mdai Uhuru wa vyombo vya habari mkarudi kwao kuwaomba mjiunge nao. Mkawa observers lakini kwa kuwa mnakerwa na ububu mliojipa mkaamua liwalo na liwe Bora mfukuzwe chama lakini mseme. Sasa hivi mnang'ang'ania kupewa Mic na msipopewa mnalalamika space IPO biased. Kwa kuwa wanaondesha midahalo Wana hekima n wamesoma wakaeleimika wamekuwa wakiwapa mic na kuwafundisha hata namna ya kutumia technology mpya. Shukuruni.
Leo hii ambapo Kuna radio na Televishen nimeshtushwa kusikia hata miadala ya serikali kuhusu rasimali na see mbalimbali mmeipeleka space, zoom nk Je mnaona ubaya Gani kufungulia radio na Televishen I Hadi mkaongelee space ambapo Kuna kundi ya walioelimika TU? Mtawafikiaje wanyonge? Mmepeleka umeme wa REA then mkazima maoni, wanNchi wananufaikaje na habari?
Jaribuni kufikiri ni namna Gani mmekosa Uhuru wa Habari na kutoa maoni kwa makatazo yenu yasiyo n tija. Jiulizeni Kati yenu na wao Nani analoose? Wameanza kujirekodi na kusambaza kupitia WhatsApp so wananchi wanapata one side info ambazo nivigumu kwenu CCM na serikali kuzidisprove coz mijadaala kwenye TV mnakuwa wenyewe. Tafute
Kwa kuwa wanaozuiwa kusema ni wale wenye akili timamu, wametafuta mbinu mpya ya kujadiliana bila kuvunja sheria ; wameanzisha club house, space na other online meetings. Kwa roho zetu mbaya tukaamua kuwazimia internet wakahamia kwenye VPN somehow expensive but walijua bure ni ghali. Baada ya mbinu zenu kukwama na tv kukosa mvuto mkanuna.
Kipindi mmenuna mkasikia Maria Sarungi space Ina host thousands of people world wide, mkasikia space ni zaidi ya mkutano wa siasa. Wapinzani na wanaharakati wakanunua Uhuru wao kwa mlango wa nyuma msioweza kudhibiti, wakaanza kuimarika na Sasa wameimarika mara dufu.
What's next, badala mdai Uhuru wa vyombo vya habari mkarudi kwao kuwaomba mjiunge nao. Mkawa observers lakini kwa kuwa mnakerwa na ububu mliojipa mkaamua liwalo na liwe Bora mfukuzwe chama lakini mseme. Sasa hivi mnang'ang'ania kupewa Mic na msipopewa mnalalamika space IPO biased. Kwa kuwa wanaondesha midahalo Wana hekima n wamesoma wakaeleimika wamekuwa wakiwapa mic na kuwafundisha hata namna ya kutumia technology mpya. Shukuruni.
Leo hii ambapo Kuna radio na Televishen nimeshtushwa kusikia hata miadala ya serikali kuhusu rasimali na see mbalimbali mmeipeleka space, zoom nk Je mnaona ubaya Gani kufungulia radio na Televishen I Hadi mkaongelee space ambapo Kuna kundi ya walioelimika TU? Mtawafikiaje wanyonge? Mmepeleka umeme wa REA then mkazima maoni, wanNchi wananufaikaje na habari?
Jaribuni kufikiri ni namna Gani mmekosa Uhuru wa Habari na kutoa maoni kwa makatazo yenu yasiyo n tija. Jiulizeni Kati yenu na wao Nani analoose? Wameanza kujirekodi na kusambaza kupitia WhatsApp so wananchi wanapata one side info ambazo nivigumu kwenu CCM na serikali kuzidisprove coz mijadaala kwenye TV mnakuwa wenyewe. Tafute