Tanzania, mmedhibiti mijadala kwenye radio na Televishen, wanaharakati na wapinzani wamehamia space na zoom mmewafuata kuomba mic; It's Shame

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
May 18, 2019
762
6,980
Serikali na chama tawala wamedhibiti watu kusema na kujadiliana kwenye TV na Radio Kwa manufaa ya afya ya akili ya Watanzania. Wakafungia magazeti na baadhi ya online tv. Wakatunga sheria Kali na kuajiri TCRA wapambane na wakosoaji wa serikali.

Kwa kuwa wanaozuiwa kusema ni wale wenye akili timamu, wametafuta mbinu mpya ya kujadiliana bila kuvunja sheria ; wameanzisha club house, space na other online meetings. Kwa roho zetu mbaya tukaamua kuwazimia internet wakahamia kwenye VPN somehow expensive but walijua bure ni ghali. Baada ya mbinu zenu kukwama na tv kukosa mvuto mkanuna.

Kipindi mmenuna mkasikia Maria Sarungi space Ina host thousands of people world wide, mkasikia space ni zaidi ya mkutano wa siasa. Wapinzani na wanaharakati wakanunua Uhuru wao kwa mlango wa nyuma msioweza kudhibiti, wakaanza kuimarika na Sasa wameimarika mara dufu.

What's next, badala mdai Uhuru wa vyombo vya habari mkarudi kwao kuwaomba mjiunge nao. Mkawa observers lakini kwa kuwa mnakerwa na ububu mliojipa mkaamua liwalo na liwe Bora mfukuzwe chama lakini mseme. Sasa hivi mnang'ang'ania kupewa Mic na msipopewa mnalalamika space IPO biased. Kwa kuwa wanaondesha midahalo Wana hekima n wamesoma wakaeleimika wamekuwa wakiwapa mic na kuwafundisha hata namna ya kutumia technology mpya. Shukuruni.

Leo hii ambapo Kuna radio na Televishen nimeshtushwa kusikia hata miadala ya serikali kuhusu rasimali na see mbalimbali mmeipeleka space, zoom nk Je mnaona ubaya Gani kufungulia radio na Televishen I Hadi mkaongelee space ambapo Kuna kundi ya walioelimika TU? Mtawafikiaje wanyonge? Mmepeleka umeme wa REA then mkazima maoni, wanNchi wananufaikaje na habari?

Jaribuni kufikiri ni namna Gani mmekosa Uhuru wa Habari na kutoa maoni kwa makatazo yenu yasiyo n tija. Jiulizeni Kati yenu na wao Nani analoose? Wameanza kujirekodi na kusambaza kupitia WhatsApp so wananchi wanapata one side info ambazo nivigumu kwenu CCM na serikali kuzidisprove coz mijadaala kwenye TV mnakuwa wenyewe. Tafute
 
Serikali na chama tawala wamedhibiti watu kusema na kujadiliana kwenye TV na Radio Kwa manufaa ya afya ya akili ya Watanzania. Wakafungia magazeti na baadhi ya online tv. Wakatunga sheria Kali na kuajiri TCRA wapambane na wakosoaji wa serikali.

Kwa kuwa wanaozuiwa kusema ni wale wenye akili timamu, wametafuta mbinu mpya ya kujadiliana bila kuvunja sheria ; wameanzisha club house, space na other online meetings. Kwa roho zetu mbaya tukaamua kuwazimia internet wakahamia kwenye VPN somehow expensive but walijua bure ni ghali. Baada ya mbinu zenu kukwama na tv kukosa mvuto mkanuna.

Kipindi mmenuna mkasikia Maria Sarungi space Ina host thousands of people world wide, mkasikia space ni zaidi ya mkutano wa siasa. Wapinzani na wanaharakati wakanunua Uhuru wao kwa mlango wa nyuma msioweza kudhibiti, wakaanza kuimarika na Sasa wameimarika mara dufu.

What's next, badala mdai Uhuru wa vyombo vya habari mkarudi kwao kuwaomba mjiunge nao. Mkawa observers lakini kwa kuwa mnakerwa na ububu mliojipa mkaamua liwalo na liwe Bora mfukuzwe chama lakini mseme. Sasa hivi mnang'ang'ania kupewa Mic na msipopewa mnalalamika space IPO biased. Kwa kuwa wanaondesha midahalo Wana hekima n wamesoma wakaeleimika wamekuwa wakiwapa mic na kuwafundisha hata namna ya kutumia technology mpya. Shukuruni.

Leo hii ambapo Kuna radio na Televishen nimeshtushwa kusikia hata miadala ya serikali kuhusu rasimali na see mbalimbali mmeipeleka space, zoom nk Je mnaona ubaya Gani kufungulia radio na Televishen I Hadi mkaongelee space ambapo Kuna kundi ya walioelimika TU? Mtawafikiaje wanyonge? Mmepeleka umeme wa REA then mkazima maoni, wanNchi wananufaikaje na habari?

Jaribuni kufikiri ni namna Gani mmekosa Uhuru wa Habari na kutoa maoni kwa makatazo yenu yasiyo n tija. Jiulizeni Kati yenu na wao Nani analoose? Wameanza kujirekodi na kusambaza kupitia WhatsApp so wananchi wanapata one side info ambazo nivigumu kwenu CCM na serikali kuzidisprove coz mijadaala kwenye TV mnakuwa wenyewe. Tafute
Hivi kuna mtu tena anapoteza kusikiliza ule utumbo wa matv na maredio??
 
Serikali na chama tawala wamedhibiti watu kusema na kujadiliana kwenye TV na Radio Kwa manufaa ya afya ya akili ya Watanzania. Wakafungia magazeti na baadhi ya online tv. Wakatunga sheria Kali na kuajiri TCRA wapambane na wakosoaji wa serikali.

Kwa kuwa wanaozuiwa kusema ni wale wenye akili timamu, wametafuta mbinu mpya ya kujadiliana bila kuvunja sheria ; wameanzisha club house, space na other online meetings. Kwa roho zetu mbaya tukaamua kuwazimia internet wakahamia kwenye VPN somehow expensive but walijua bure ni ghali. Baada ya mbinu zenu kukwama na tv kukosa mvuto mkanuna.

Kipindi mmenuna mkasikia Maria Sarungi space Ina host thousands of people world wide, mkasikia space ni zaidi ya mkutano wa siasa. Wapinzani na wanaharakati wakanunua Uhuru wao kwa mlango wa nyuma msioweza kudhibiti, wakaanza kuimarika na Sasa wameimarika mara dufu.

What's next, badala mdai Uhuru wa vyombo vya habari mkarudi kwao kuwaomba mjiunge nao. Mkawa observers lakini kwa kuwa mnakerwa na ububu mliojipa mkaamua liwalo na liwe Bora mfukuzwe chama lakini mseme. Sasa hivi mnang'ang'ania kupewa Mic na msipopewa mnalalamika space IPO biased. Kwa kuwa wanaondesha midahalo Wana hekima n wamesoma wakaeleimika wamekuwa wakiwapa mic na kuwafundisha hata namna ya kutumia technology mpya. Shukuruni.

Leo hii ambapo Kuna radio na Televishen nimeshtushwa kusikia hata miadala ya serikali kuhusu rasimali na see mbalimbali mmeipeleka space, zoom nk Je mnaona ubaya Gani kufungulia radio na Televishen I Hadi mkaongelee space ambapo Kuna kundi ya walioelimika TU? Mtawafikiaje wanyonge? Mmepeleka umeme wa REA then mkazima maoni, wanNchi wananufaikaje na habari?

Jaribuni kufikiri ni namna Gani mmekosa Uhuru wa Habari na kutoa maoni kwa makatazo yenu yasiyo n tija. Jiulizeni Kati yenu na wao Nani analoose? Wameanza kujirekodi na kusambaza kupitia WhatsApp so wananchi wanapata one side info ambazo nivigumu kwenu CCM na serikali kuzidisprove coz mijadaala kwenye TV mnakuwa wenyewe. Tafute
Huwezo kupambana na watu wenye akili wakati wewe unatumia maguvu ukashinda. Ukandamizaji umesaidia watu kuibua mbinu mbadala.
 
Serikali na chama tawala wamedhibiti watu kusema na kujadiliana kwenye TV na Radio Kwa manufaa ya afya ya akili ya Watanzania. Wakafungia magazeti na baadhi ya online tv. Wakatunga sheria Kali na kuajiri TCRA wapambane na wakosoaji wa serikali.

Kwa kuwa wanaozuiwa kusema ni wale wenye akili timamu, wametafuta mbinu mpya ya kujadiliana bila kuvunja sheria ; wameanzisha club house, space na other online meetings. Kwa roho zetu mbaya tukaamua kuwazimia internet wakahamia kwenye VPN somehow expensive but walijua bure ni ghali. Baada ya mbinu zenu kukwama na tv kukosa mvuto mkanuna.

Kipindi mmenuna mkasikia Maria Sarungi space Ina host thousands of people world wide, mkasikia space ni zaidi ya mkutano wa siasa. Wapinzani na wanaharakati wakanunua Uhuru wao kwa mlango wa nyuma msioweza kudhibiti, wakaanza kuimarika na Sasa wameimarika mara dufu.

What's next, badala mdai Uhuru wa vyombo vya habari mkarudi kwao kuwaomba mjiunge nao. Mkawa observers lakini kwa kuwa mnakerwa na ububu mliojipa mkaamua liwalo na liwe Bora mfukuzwe chama lakini mseme. Sasa hivi mnang'ang'ania kupewa Mic na msipopewa mnalalamika space IPO biased. Kwa kuwa wanaondesha midahalo Wana hekima n wamesoma wakaeleimika wamekuwa wakiwapa mic na kuwafundisha hata namna ya kutumia technology mpya. Shukuruni.

Leo hii ambapo Kuna radio na Televishen nimeshtushwa kusikia hata miadala ya serikali kuhusu rasimali na see mbalimbali mmeipeleka space, zoom nk Je mnaona ubaya Gani kufungulia radio na Televishen I Hadi mkaongelee space ambapo Kuna kundi ya walioelimika TU? Mtawafikiaje wanyonge? Mmepeleka umeme wa REA then mkazima maoni, wanNchi wananufaikaje na habari?

Jaribuni kufikiri ni namna Gani mmekosa Uhuru wa Habari na kutoa maoni kwa makatazo yenu yasiyo n tija. Jiulizeni Kati yenu na wao Nani analoose? Wameanza kujirekodi na kusambaza kupitia WhatsApp so wananchi wanapata one side info ambazo nivigumu kwenu CCM na serikali kuzidisprove coz mijadaala kwenye TV mnakuwa wenyewe. Tafute
Tatizo lipo wapi? Kuna mtu ameshikiwa mtutu kwenda upande wowote? Mnapigania uhuru lakini mnataka uhuru uwe upande mmoja tu. Kama wao wanafanya mijadala yao na wanapata watu wachache, nyie mnaopata watu wengi (hadi kutoka KENYA😊) mnapata hofu ya nini? Serikali iache kuongea na wananchi kisa kwa kufanya hivyo inaingilia uhuru wa "wanaharakati"? 🙄
 
Tatizo lipo wapi? Kuna mtu ameshikiwa mtutu kwenda upande wowote? Mnapigania uhuru lakini mnataka uhuru uwe upande mmoja tu. Kama wao wanafanya mijadala yao na wanapata watu wachache, nyie mnaopata watu wengi (hadi kutoka KENYA) mnapata hofu ya nini? Serikali iache kuongea na wananchi kisa kwa kufanya hivyo inaingilia uhuru wa "wanaharakati"?
We nae kule twitter unapiga block watu hovyo hovyo tu huo uhuru unaozungumzia ww mbona huanzi nao shame on you.
 
niliwahi kufanya kazi kwenye media house moja kubwa nchini tz enzi za utawala wa magufuli.

aisee asikwambie mtu, kuna censorship ya hatari kudhibiti habari ambazo zina maslahi mapana kwa umma.

chief news editors wanakimbizana kufanya proofing ili kuhakikisha kila habari inayotoka haiendi kinyume na utawala.
 
niliwahi kufanya kazi kwenye media house moja kubwa nchini tz enzi za utawala wa magufuli.

aisee asikwambie mtu, kuna censorship ya hatari kudhibiti habari ambazo zina maslahi mapana kwa umma.

chief news editors wanakimbizana kufanya proofing ili kuhakikisha kila habari inayotoka haiendi kinyume na utawala.
Duuuuuh
 
Hivi kuna mtu tena anapoteza kusikiliza ule utumbo wa matv na maredio??
Aiseee home kwangu Hadi Binti yangu wa miaka miwili hanaga time na TBC kabisa....sikumbuki mara ya mwisho kuangalia taarifa habari kwangu ilikua lini.

Alikuja Baba Mkwe 2017 kwangu sasa Ikawa inanibidi niwepo home sàa mbili, akawa anapenda sana TBC aagh nikapata kaujasiri Fulani hivi amazing nikamwambia ukweli ....

Hadi Leo na yeye haangalii Wala kufuatilia ujinga, kukiwa na issues ananipigia Nampa taarifa sahihi.

Sasa hivi Nampa updates za Ile kesi fake ya CCM vs Freeman, anafurahi sana
 
Tatizo lipo wapi? Kuna mtu ameshikiwa mtutu kwenda upande wowote? Mnapigania uhuru lakini mnataka uhuru uwe upande mmoja tu. Kama wao wanafanya mijadala yao na wanapata watu wachache, nyie mnaopata watu wengi (hadi kutoka KENYA😊) mnapata hofu ya nini? Serikali iache kuongea na wananchi kisa kwa kufanya hivyo inaingilia uhuru wa "wanaharakati"? 🙄
Umesoma na ukaelewa point yake au umejibu tu??
 
Umeandika kama kigogo2014
Tatizo lipo wapi? Kuna mtu ameshikiwa mtutu kwenda upande wowote? Mnapigania uhuru lakini mnataka uhuru uwe upande mmoja tu. Kama wao wanafanya mijadala yao na wanapata watu wachache, nyie mnaopata watu wengi (hadi kutoka KENYA) mnapata hofu ya nini? Serikali iache kuongea na wananchi kisa kwa kufanya hivyo inaingilia uhuru wa "wanaharakati"?
 
Kamugisha since umefufuka umekuwa msumbufu sana, nakumbuka uliaga humu kuwa una ugonjwa huwezi kupona! Umerudi kimya kimya bila hata kutoa mrejesho uliponaje! Now umejipa kazi ya kusambaza chuki dhidi ya Samia
 
Tatizo lipo wapi? Kuna mtu ameshikiwa mtutu kwenda upande wowote? Mnapigania uhuru lakini mnataka uhuru uwe upande mmoja tu. Kama wao wanafanya mijadala yao na wanapata watu wachache, nyie mnaopata watu wengi (hadi kutoka KENYA😊) mnapata hofu ya nini? Serikali iache kuongea na wananchi kisa kwa kufanya hivyo inaingilia uhuru wa "wanaharakati"? 🙄

Halafu unajiitaga Jasusi,

Jasusi wa michongo!

Punguza kiherehere.
 
Aiseee home kwangu Hadi Binti yangu wa miaka miwili hanaga time na TBC kabisa....sikumbuki mara ya mwisho kuangalia taarifa habari kwangu ilikua lini.

Alikuja Baba Mkwe 2017 kwangu sasa Ikawa inanibidi niwepo home sàa mbili, akawa anapenda sana TBC aagh nikapata kaujasiri Fulani hivi amazing nikamwambia ukweli ....

Hadi Leo na yeye haangalii Wala kufuatilia ujinga, kukiwa na issues ananipigia Nampa taarifa sahihi.

Sasa hivi Nampa updates za Ile kesi fake ya CCM vs Freeman, anafurahi sana
Ulimpa somo Baba mkwe aache ujinga. Hawa wazee bwana
 
We nae kule twitter unapiga block watu hovyo hovyo tu huo uhuru unaozungumzia ww mbona huanzi nao shame on you.
Mtu akishakuwa mwanacxm sijuagi akili anawekaga wapi. Kwakweli Evarist ananitia mashaka sana. Huo uzi wa Beatrice una shida gani? Yaani kisa kataja Space na kumtaja Maria.

Content ya mleta uzi ni kuwakumbusha wenye mamlaka walivyozima mijadala na sasa wao wamekuwa wahanga. Anaibuka mtu anaitqa jasusi anaponda. Inaskitisha sana. Au kanyimwa Mic huyu?
 
Back
Top Bottom