Ufaulu Umepanda.
Futatilia hapa.
https://www.youtube.com/live/uwbLeIIRXOc?si=m-Iyj06qeAYHlPCl
Kupata Matokeo fungua link hii: https://matokeo.necta.go.tz/results/2025/csee/index.htm
---
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne uliofanyika kuanzia...
Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar: Maadili kama Mkakati wa Kisiasa
Katika historia ya siasa za Zanzibar, Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) imekuwa ikitangazwa kama suluhisho la migogoro ya kisiasa na njia ya kudumisha amani. Hata hivyo, uzoefu halisi wa Wazanzibari unaonyesha kuwa mara...
China ni nchi kubwa inayoendelea, ambayo imekuwa mstari wa mbele katika kuzisaidia nchi nyingine zinazoendelea duniani zikiwemo za Afrika, kujipatia maendeleo kwa njia na mazingira yanayoendana na nchi husika. Kwa kupitia njia mbalimbali, China imekuwa ikitoa misaada kwa nchi hizo katika sekta...
Dr Hussein Mwinyi, Rais na Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar anapaswa kupongezwa na kupewa heko.
Ndugu zangu ukiona sehemu imepata maendeleo au jambo zuri linafanyika ni vema utambue ya kuwa watu wemewekeza nguvu, akili, muda, pesa na uhuru wao pia.
Ndani ya miaka mitano ya utawala wa...
Kwanza napenda ku declare interest kwamba mimi ni mnunuzi mzuri wa mabinti kwenye mitandao ya Tinder, Tagged na Badoo.
Kila nikifika eneo jipya huwa nakagua profile moja baada ya nyingine kwenye mitandao hiyo na kufanya mchujo hadi nipate watoa huduma 5 wenye mvuto zaidi ndio nawapiga mkuyenge...
Yaani Zanzibar wanatunywesha maji ya Chumvi kama Wanyama(Ng'ombe)
Kutoka Dar (Tanzania bara) hadi Kisiwani si mbali.
Wanasiasa wa Zanzibar wanachoweza ni kuzalisha Janjaweed wa kuua watu wanaoandamana bara kupinga tume ya Uchaguzi. Shame on you!
Akili zao eti zinawatuma kujenga daraja la...
Miafrica ndio tulivyo.. Mnategemea utalii halafu mnashindwa ku enforce usafi wa eneo mashuhuri.. Weka faini kubwa,Enforce usafi,Adhibu watu,tia bakora wanaokojoa baharini..
Katika kesi inayoendelea Zanzibar ya kupinga matokeo ya ubunge Zanzibar iliyofunguliwa na chama cha ACT mwanasheria mkuu wa serikali ameweka pingamizi akidai mahakama ilipofunguliwa kesi haina mamlaka ya kusikiliza kesi hiyo.
ACT imefungua kesi kwenye mahakama kuu ya Zanzibar ambayo...
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, hususan Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali, imekuwa ikihesabu somo la Elimu ya Dini ya Kiislamu (EDK) katika wastani wa ufaulu kwa wanafunzi wote, wakiwemo wanafunzi Wakristo, kwenye upimaji wa darasa la saba licha ya ukweli kwamba wanafunzi hao hawafanyi...
Wilaya unayotokea ingekuwa nchi ndani ya muungano inayojisimamia mambo yake mengi, yenye Rais wake, watumishi wake, Taasisi zake, n.k. lakini mnaweza kushika vyeo vikubwa hadi Urais, ajira za serikali za Bara, teuzi, ardhi, n.k, bado wangewaza kujitenga?”
Rombo na Hai, Mngekuwa na kanchi kenu...
Mgongano wa kikatiba umejitokeza katika Mahakama Kuu ya Zanzibar kufuatia kesi zilizofunguliwa na waliokuwa wagombea wa Ubunge kupitia Chama cha ACT-WAZALENDO kwa majimbo 19 ya Unguja
Mgongano huo umeibuka leo mbele ya Jaji Hajji Suleiman Khamis katika Mahakama Kuu ya Zanzibar iliyopo...
Khanga kubwa nzito kutoka Zanzibar zinapatikana. Zimebaki pc 5
Bei ya Khanga: sh 18,000/=
Tunapatikana tabata kinyerezi/Msasani (Biashara ni ya Mtandaoni), tunafanya delivery.
Mkoani tunatuma kwa gharama za mteja.
Delivery unalipia sh 2,000/= tu.
Mawasiliano: 0784 829565
@radhiyastore...
Wakuu nauliza huenda mwaka huu kabla ya pasaka nikawa visiwani kwa wala urojo mimi na wife hivyo nahitaji kujua nauli ya mtu mmoja mwanza to Zanzibar ama Zanzibar to Mwanza nauli ni sh ngapi?
Nakadiria kufanya booking mapema zaidi kati ya siku 21 hadi mwezi.
Mwenye Taarifa za uhakika anipe...
GT
Samia anachofanya wakati ninyi mkiamini amejificha lakini yeye anapeleka serikali huko na kuongeza mzunguko wa fedha.
Ikulu inapohamia mahali pilikapilika zinakuwa nyingi. Hotels na migahawa hufurika.magari yanakuwa na movement za hapa na pale.
In short huyo bi kidude anaipenda Zanzibar...
Khanga kubwa nzito kutoka Zanzibar zinapatikana.
Bei ya Khanga: sh 18,000/=
Tunapatikana tabata kinyerezi/Msasani (Biashara ni ya Mtandaoni), tunafanya delivery.
Mkoani tunatuma kwa gharama za mteja.
Delivery unalipia sh 2,000/= tu.
Mawasiliano: 0784 829565
@radhiyastore @prathrealestate...
Wanafunzi 62 wa Jimbo la Ole waliofaulu mitihani ya Michepuo wamepatiwa zawadi za motisha zilizotolewa na Mwakilishi wa Jimbo hilo, Seif Hamad Suleiman, katika hafla iliyofanyika Januari 4 Skuli ya Sekondari Ole.
Akizungumza wakati wa utoaji wa zawadi hizo, Mwakilishi huyo aliwapongeza...
Wananchi wa Jimbo la Fuoni lililopo wilaya ya Magharibi B mkoa wa Mjini Mgaharibi, Zanzibar wameendelea kujitokeza kushiriki katika uchaguzi mdogo wa Mbunge katika jimbo hilo.
Uchaguzi huo unafanyika hii leo Desemba 30, 2025 kufuatia kifo cha aliyekuwa mgombea Ubunge wa jimbo hilo, Abbas Ali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.